Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Wala haijulikani kabisaIlikuwa shilingi ngapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala haijulikani kabisaIlikuwa shilingi ngapi ?
Kwa hiyo ni taasisi inayoitwa "Samia"?Rais ni taasisi mjomba,
Akimaliza aende pale wodi za wagonjwa mfano kibasila akae mule ata siku 3 aone kama anaweza vumilia mazingira yale.
Hii tabia ya kila kitu kufanyika Dar ni upuuzi na sijui Huyo Waziri akipewa maelekezo na Rais yeye hawezi kutoa ushauri? Kwani Kazi ya wataalamu ni ipi kama sio kutoa maoni stahiki ya namna ya kutekeleza wazo la Mh.Rais?Hii inchi ina mikoa 26. Huo Ujinga wa Kujenga Flyover, Mwendokasi, na Hospitali Kubwa na za Kibingwa zote Dar UKOME mara moja. Hiyo ijengwe Mwanza.
Mhimbili Hosp yenyewe Haina Ramani sijui ili Designiwa na ma Eng wa Ardhi Univ? VERY POOR.
Ulishasikia Democrats wakitoa maagizo kwa serikali? Ni hii shithole country tu!Elewa mfumo wa Siasa unavyofanya kazi, naamini hutasumbuka. Chama tawala ni msimamizi wa Serikali, Serikali haitoi maagizo kwa Chama ila Chama ndiyo kinatoa maagizo kwa Serikali. Chama ndiyo kina dhamana ya kuongoza nchi maana kiliomba ridhaa kwa wananchi.
Shaka anakagua utekelezaji wa Ilani ya CCM kwenye kila eneo....
4.Bilionea Jiwe1. Bilionea Mo.
2. Bilionea Bakharesa.
3. Bilionea Samia.
Hii inchi ina mikoa 26. Huo Ujinga wa Kujenga Flyover, Mwendokasi, na Hospitali Kubwa na za Kibingwa zote Dar UKOME mara moja. Hiyo ijengwe Mwanza.
Mhimbili Hosp yenyewe Haina Ramani sijui ili Designiwa na ma Eng wa Ardhi Univ? VERY POOR.
Pengine ndio maana wametoa hizo bil.600 kufanya upanuzi zaidi wa hospital ya Muhimbili,japo wanaodai wanaijenga upya..Anabwabwaja tu. Inasikitisha sana.
Kazi iendelee kaka mkubwa,KATIBU ITIKADI NA UENEZI CCM SHAKA HAMDU SHAKA AFANYA ZIARA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE, MUHIMBILI.
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo akiwa kwenye ziara hiyo amepata nafasi ya kupokea taarifa zinazohusu taasisi hizo.
Aidha Shaka amepata nafasi ya kuzungumza na Wananchi mbalimbali waliokuwa wakipatiwa huduma mbalimbali.Pia katika ziara hiyo amezungumza na baadhi ya raia wa nchi mbalimbali za Afrika wakiwemo wa Rwanda,Burundi na Congo ambao wamekuja kupata huduma za matibabu ya afya.
Shaka amefanya ziara hiyo leo mchana na lengo la ziara yake pamoja na mambo mengine ilikuwa ni kwenda kumjulia hali mzazi wa Watoto mapacha waliotengenishwa Amina Amosi(18) Mkazi wa Simiyu aliyepo Hospitalini hapo.
Amemtia moyo huku akitoa maelekezo kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii kutembelea mzazi huyo na kumueleza namna ambavyo Serikali itamsaidia malezi ya Watoto.
Akiwa katika ziara hiyo Shaka amepokea taarifa ya mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya ikiwemo ununuzi wa vifaa tiba pamoja na uwekezaji katika miundombinu.
Aidha Shaka ameeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha sekta ya afya huku akizungumza mipango ya kuijenga Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo zaidi ya Sh.bilioni 600 zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha ujenzi huo ambao unakwenda kuandika historia nyingine katika sekta ya afya nchini.
Hata hivyo amewapongeza watoa huduma katika taasisi hizo kutokana na huduma bora ambazo wanazitoa katika kuwahudumia Wananchi huku akieleza kwamba Kuna mambo makubwa na mazuri yamefanyika tofauti na baadhi ya watu wanavyozungumza.
View attachment 2279400View attachment 2279404View attachment 2279405
Nchi hii Ina vijana wengi wajinga na wapumbavu sana wapenda kulamba makalio ya watawala😡Elewa mfumo wa Siasa unavyofanya kazi, naamini hutasumbuka. Chama tawala ni msimamizi wa Serikali, Serikali haitoi maagizo kwa Chama ila Chama ndiyo kinatoa maagizo kwa Serikali. Chama ndiyo kina dhamana ya kuongoza nchi maana kiliomba ridhaa kwa wananchi.
Shaka anakagua utekelezaji wa Ilani ya CCM kwenye kila eneo....
chama kushika hatamu za uongozi, nchi hii ina shida nyingi mno.anafanya kama nani?
Kwanini mwanza?Hii inchi ina mikoa 26. Huo Ujinga wa Kujenga Flyover, Mwendokasi, na Hospitali Kubwa na za Kibingwa zote Dar UKOME mara moja. Hiyo ijengwe Mwanza.
Mhimbili Hosp yenyewe Haina Ramani sijui ili Designiwa na ma Eng wa Ardhi Univ? VERY POOR.
Sanansana komredAnafanya kazi sana huyu mwenezi wa CCM.
Kama ilan yao ndio inatekelezwa kivitendo.wende hawajakatazwaWenzake nao wanaruhusiwa kupatembelea hapo?
Anatoa mfukoni mwake eti?????😂😂😂😂KATIBU ITIKADI NA UENEZI CCM SHAKA HAMDU SHAKA AFANYA ZIARA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE, MUHIMBILI.
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo akiwa kwenye ziara hiyo amepata nafasi ya kupokea taarifa zinazohusu taasisi hizo.
Aidha Shaka amepata nafasi ya kuzungumza na Wananchi mbalimbali waliokuwa wakipatiwa huduma mbalimbali.Pia katika ziara hiyo amezungumza na baadhi ya raia wa nchi mbalimbali za Afrika wakiwemo wa Rwanda,Burundi na Congo ambao wamekuja kupata huduma za matibabu ya afya.
Shaka amefanya ziara hiyo leo mchana na lengo la ziara yake pamoja na mambo mengine ilikuwa ni kwenda kumjulia hali mzazi wa Watoto mapacha waliotengenishwa Amina Amosi(18) Mkazi wa Simiyu aliyepo Hospitalini hapo.
Amemtia moyo huku akitoa maelekezo kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii kutembelea mzazi huyo na kumueleza namna ambavyo Serikali itamsaidia malezi ya Watoto.
Akiwa katika ziara hiyo Shaka amepokea taarifa ya mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya ikiwemo ununuzi wa vifaa tiba pamoja na uwekezaji katika miundombinu.
Aidha Shaka ameeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha sekta ya afya huku akizungumza mipango ya kuijenga Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo zaidi ya Sh.bilioni 600 zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha ujenzi huo ambao unakwenda kuandika historia nyingine katika sekta ya afya nchini.
Hata hivyo amewapongeza watoa huduma katika taasisi hizo kutokana na huduma bora ambazo wanazitoa katika kuwahudumia Wananchi huku akieleza kwamba Kuna mambo makubwa na mazuri yamefanyika tofauti na baadhi ya watu wanavyozungumza.
View attachment 2279400View attachment 2279404View attachment 2279405
Mwenezi wa nini?! PumbavMjinga ni wewe tu humjui mwenezi