Rais Samia atoa TZS Bilioni 600 Ujenzi wa Hospitali ya Muhimbili mpya
Hii inchi ina mikoa 26. Huo Ujinga wa Kujenga Flyover, Mwendokasi, na Hospitali Kubwa na za Kibingwa zote Dar UKOME mara moja. Hiyo ijengwe Mwanza.

Mhimbili Hosp yenyewe Haina Ramani sijui ili Designiwa na ma Eng wa Ardhi Univ? VERY POOR.
Hii tabia ya kila kitu kufanyika Dar ni upuuzi na sijui Huyo Waziri akipewa maelekezo na Rais yeye hawezi kutoa ushauri? Kwani Kazi ya wataalamu ni ipi kama sio kutoa maoni stahiki ya namna ya kutekeleza wazo la Mh.Rais?

This is nonsense, yaani kila mtu awe anasafiri maelfu ya km kuja Dar? Hebu viongozi muwe mnajitahidi kufikiria vizuri basi..
 
Elewa mfumo wa Siasa unavyofanya kazi, naamini hutasumbuka. Chama tawala ni msimamizi wa Serikali, Serikali haitoi maagizo kwa Chama ila Chama ndiyo kinatoa maagizo kwa Serikali. Chama ndiyo kina dhamana ya kuongoza nchi maana kiliomba ridhaa kwa wananchi.

Shaka anakagua utekelezaji wa Ilani ya CCM kwenye kila eneo....
Ulishasikia Democrats wakitoa maagizo kwa serikali? Ni hii shithole country tu!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii inchi ina mikoa 26. Huo Ujinga wa Kujenga Flyover, Mwendokasi, na Hospitali Kubwa na za Kibingwa zote Dar UKOME mara moja. Hiyo ijengwe Mwanza.

Mhimbili Hosp yenyewe Haina Ramani sijui ili Designiwa na ma Eng wa Ardhi Univ? VERY POOR.
 
Anabwabwaja tu. Inasikitisha sana.
Pengine ndio maana wametoa hizo bil.600 kufanya upanuzi zaidi wa hospital ya Muhimbili,japo wanaodai wanaijenga upya..

Kama ni ujenzi mpya ,hilo eneo la Muhimbili linatosheleza?

Hoja yangu wagonjwa wengi wa Muhimbili sio wakaazi wa Dar tuu bali wanatoka mikoani, Serikali ijenge miundombinu ya kutosha kwenye hospital za Kanda Ili watu tusiende kurundikana huko mhimbili.
 
KATIBU ITIKADI NA UENEZI CCM SHAKA HAMDU SHAKA AFANYA ZIARA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE, MUHIMBILI.

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo akiwa kwenye ziara hiyo amepata nafasi ya kupokea taarifa zinazohusu taasisi hizo.

Aidha Shaka amepata nafasi ya kuzungumza na Wananchi mbalimbali waliokuwa wakipatiwa huduma mbalimbali.Pia katika ziara hiyo amezungumza na baadhi ya raia wa nchi mbalimbali za Afrika wakiwemo wa Rwanda,Burundi na Congo ambao wamekuja kupata huduma za matibabu ya afya.

Shaka amefanya ziara hiyo leo mchana na lengo la ziara yake pamoja na mambo mengine ilikuwa ni kwenda kumjulia hali mzazi wa Watoto mapacha waliotengenishwa Amina Amosi(18) Mkazi wa Simiyu aliyepo Hospitalini hapo.

Amemtia moyo huku akitoa maelekezo kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii kutembelea mzazi huyo na kumueleza namna ambavyo Serikali itamsaidia malezi ya Watoto.

Akiwa katika ziara hiyo Shaka amepokea taarifa ya mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya ikiwemo ununuzi wa vifaa tiba pamoja na uwekezaji katika miundombinu.

Aidha Shaka ameeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha sekta ya afya huku akizungumza mipango ya kuijenga Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo zaidi ya Sh.bilioni 600 zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha ujenzi huo ambao unakwenda kuandika historia nyingine katika sekta ya afya nchini.

Hata hivyo amewapongeza watoa huduma katika taasisi hizo kutokana na huduma bora ambazo wanazitoa katika kuwahudumia Wananchi huku akieleza kwamba Kuna mambo makubwa na mazuri yamefanyika tofauti na baadhi ya watu wanavyozungumza.

View attachment 2279400View attachment 2279404View attachment 2279405
Kazi iendelee kaka mkubwa,
 
Elewa mfumo wa Siasa unavyofanya kazi, naamini hutasumbuka. Chama tawala ni msimamizi wa Serikali, Serikali haitoi maagizo kwa Chama ila Chama ndiyo kinatoa maagizo kwa Serikali. Chama ndiyo kina dhamana ya kuongoza nchi maana kiliomba ridhaa kwa wananchi.

Shaka anakagua utekelezaji wa Ilani ya CCM kwenye kila eneo....
Nchi hii Ina vijana wengi wajinga na wapumbavu sana wapenda kulamba makalio ya watawala😡
 
Nchi hii imeshatushinda!!! Na inaumiza sana mioyo ya wote wenye kupenda vitu kufanywa kitaalamu. Yaani ziara iliyopaswa kufanywa na waziri, au katibu mkuu au angalau kamati ya Bunge ya huduma za jamii - inafanywa na katibu mwenezi wa chama!!! Wakati ni marufuku kupiga honi maeneo ya hospital au hata kupiga kelele, wanatembea na microphone mawodini ili mgeni asikie au asikike vizuri!!

Sijui kama jambo hili anaweza kuruhusiwa katibu mwenezi wa ACT kulifanya!! Au ni "chama kushika hatamu?"
 
KATIBU ITIKADI NA UENEZI CCM SHAKA HAMDU SHAKA AFANYA ZIARA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE, MUHIMBILI.

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo akiwa kwenye ziara hiyo amepata nafasi ya kupokea taarifa zinazohusu taasisi hizo.

Aidha Shaka amepata nafasi ya kuzungumza na Wananchi mbalimbali waliokuwa wakipatiwa huduma mbalimbali.Pia katika ziara hiyo amezungumza na baadhi ya raia wa nchi mbalimbali za Afrika wakiwemo wa Rwanda,Burundi na Congo ambao wamekuja kupata huduma za matibabu ya afya.

Shaka amefanya ziara hiyo leo mchana na lengo la ziara yake pamoja na mambo mengine ilikuwa ni kwenda kumjulia hali mzazi wa Watoto mapacha waliotengenishwa Amina Amosi(18) Mkazi wa Simiyu aliyepo Hospitalini hapo.

Amemtia moyo huku akitoa maelekezo kwa Wizara ya Maendeleo ya Jamii kutembelea mzazi huyo na kumueleza namna ambavyo Serikali itamsaidia malezi ya Watoto.

Akiwa katika ziara hiyo Shaka amepokea taarifa ya mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan ambaye amefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya ikiwemo ununuzi wa vifaa tiba pamoja na uwekezaji katika miundombinu.

Aidha Shaka ameeleza mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha sekta ya afya huku akizungumza mipango ya kuijenga Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo zaidi ya Sh.bilioni 600 zimetengwa kwa ajili ya kufanikisha ujenzi huo ambao unakwenda kuandika historia nyingine katika sekta ya afya nchini.

Hata hivyo amewapongeza watoa huduma katika taasisi hizo kutokana na huduma bora ambazo wanazitoa katika kuwahudumia Wananchi huku akieleza kwamba Kuna mambo makubwa na mazuri yamefanyika tofauti na baadhi ya watu wanavyozungumza.

View attachment 2279400View attachment 2279404View attachment 2279405
Anatoa mfukoni mwake eti?????😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom