Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Unamchongea makonda weweWasalam,
Kwa ufupi, haya yanayomkuta Sabaya mama hakukurupuka akaamuru achunguzwe.
Wahusika walipaza sauti hadi kwa RC, PM mpaka Ikulu...
Kumbe ubalozi wamesemaje vile kumhusu?Wasalam,
Kwa ufupi, haya yanayomkuta Sabaya mama hakukurupuka akaamuru achunguzwe.
Wahusika walipaza sauti hadi kwa RC, PM mpaka Ikulu...
Tulisha malizana nao na wametupongeza kwa ushindi mkubwa
Njoo fastaaaMpuuzi wewe utakamatwa naye soon
Unajua wanapofeli haya mambo wanayapeleka kisiasa ndo mana system inawaangalia tuu maana hawajui chama ni kile kileili kufanya kazi iwe rahisi nadhani ni bora wenye malamiko kuhusu DC wao au RC wao, wapeleke malalamiko ili yafanyiwe kazi kwa pamoja kuliko leo huyu kesho yule.
kama kuna tuhuma za RUSHWA, unyang'anyi, uporaji wa ardhi, dhuluma, kuiba wake za watu au waume za watu, upendeleo n.k.
mlango uko wazi sasa
Hapana namtetea kijana mwenzangu yaani kawaachia mkoa wao na siasa zao lakini bado wanamuonea wifu na maisha yakeUnamchongea makonda wewe
Wewe ni mtuhumiwa aseeNjoo fastaaa
Amini hakuna kaburi hata moja mengi ni geresha tuuuMakabuli yana anza fukuliwa
Afende njoo unikamate bwanaWewe ni mtuhumiwa asee
TuliaAfende njoo unikamate bwana
Tuhuma zako kwa Makonda ni zipi? Na kama zipo nenda polisi, mbona kazi za polisi mmegeuza mnataka azifanye mama?Ninamkumbusha tu napo najua analijua.
Huyo Ni empty headman ht umtetee vipi ukilaza wake hauondoki...Hapana namtetea kijana mwenzangu yaani kawaachia mkoa wao na siasa zao lakini bado wanamuonea wifu na maisha yake
Duu kwa kweli mnamchukia saanaHuyo Ni empty headman ht umtetee vipi ukilaza wake hauondoki...
Hafai ht kuwa balozi wa nyumba kumi ukiachana na kuwa na vyeti feki...
Wapasue hao Kazi kudakia maneno ya watu tuuTuhuma zako kwa Makonda ni zipi? Na kama zipo nenda polisi, mbona kazi za polisi mmegeuza mnataka azifanye mama?
Kwangu mimi kutokana na Tuhuma zao (hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.
Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa
Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.