Kwangu mimi kutokana na Tuhuma zao (hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.
Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa
Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Habari yako kamanda! Bado unamashaka na serikali hii sikivu ya ccm?Hamna walichofanya hao ni kawaida yao kulindana tu, wanakutumbua wanakuondoa kwenye nafasi yako then wanakuacha, huyu Sabaya sidhani kama watampeleka mahakamani.
HahahaaaaHuyu sio king kong
Sasa unategemea wizi na wauza madawa wakuongee vizuri kama unawakwamisha mambo yako? Mama Samia alikuwa anamaanisha watu wema siyo wizi na wauza madawa."Chunga sana watu wasikuongee vibaya...." ukichukua hiyo kauli inakutosha kujua huyo kipenzi chako yuko kwenye fungu gani... Je mali alizojilimbikizia zinafanana na kipato chake? Je aliyowafanyia NASCO, GBP, Manji nk. Yalifaa? Je alivyovamia Clouds ilikuwa utumishi uliotukuka? Au hao watajwa hawana "watu" nyuma yao ambao wanamuongea vibaya "mungu" wa daslamu?
Je ni sahihi mtu kupora na kuonea "watu" ama kubambikiza makosa ili unufaike? Je hayo magari na makasri hayakutoka kwa wauza ngada??? Au umesahau kuwa kuna "mtu alikuwa anakula raha kuliko mtu yeyote!!?" Je umesahau kwamba kuna mtu alisimama akawaambia wakubwa "...yeye si mtu wa mchezo... hata wakubwa zao wanamjua waulizeni!!" Watu tukaonya YANA MWISHO...Sasa unategemea wizi na wauza madawa wakuongee vizuri kama unawakwamisha mambo yako? Mama Samia alikuwa anamaanisha watu wema siyo wizi na wauza madawa.
Wengi wanaomlalamikia Makonda ni wezi na wauza madawa.kwa kuwa Makonda aliwaharibia biashara zao. Kama unayoyasema ni ya kweli kwanini hamkwenda kufungua kesi mahakamani??Je ni sahihi mtu kupora na kuonea "watu" ama kubambikiza makosa ili unufaike? Je hayo magari na makasri hayakutoka kwa wauza ngada??? Au umesahau kuwa kuna "mtu alikuwa anakula raha kuliko mtu yeyote!!?" Je umesahau kwamba kuna mtu alisimama akawaambia wakubwa "...yeye si mtu wa mchezo... hata wakubwa zao wanamjua waulizeni!!" Watu tukaonya YANA MWISHO...
Utapora magari huzikwi nayo...
Utabambika kesi ili upewe rushwa lakini hazitadumu...
Utadhulumu hata kuua lakini hutopata amani...
Utajenga makasri na kuwa na wapambe kibao anguko lijapo litakuacha mpweke...
Utajisifia na kusifiwa mwisho wa sifa zote ni kudharaulika na kusahaulika... wamepita wengi kabla ya hao je wako wapi leo???
Yote kwa yote utalipwa kwa kila tendo wala hutopunjwa hata tone utalipwa kadri ya matendo yako...
Ikiwa ulitenda mema wema wako hautokutupa... ikiwa ulitesa nafsi hutokaa upate amani...
Kama tadinu tudanu...
Arudishe tu magari aliyopora na mali alizojilimbikizia kisha awakane "chawa" wake wanaomtetea ili wapate mlo wao wa kila siku... watanzania wana huruma sana akiomba msamaha maana sanaa anaiweza japo cctv zilimvurugia mipango ATASAMEHEWA!Wengi wanaomlalamikia Makonda ni wezi na wauza madawa.kwa kuwa Makonda aliwaharibia biashara zao. Kama unayoyasema ni ya kweli kwanini hamkwenda kufungua kesi mahakamani??
Mwezako Gilbert Kalanje alimtolea nape bastola tayri hukoNi wakati tu, watakuwa jela na Kisanduku wakigombea ugali
Sie gazet limepotosha.Yule sio askari ni mpambe wa bashite akishiriki operation za utekaji anaitwa henry Kisanduku au sniperMwezako Gilbert Kalanje alimtolea nape bastola tayri huko
Ni askari mimi namfahamu au nikupe force namba yake?Sie gazet limepotosha.Yule sio askari ni mpambe wa bashite akishiriki operation za utekaji anaitwa henry Kisanduku au sniper
Watu sijui vichaa?? Yaan mtu binafsi awe mlinzi wa MKUU WA MKOA NA APELEKE WATUHUMIWA MAHAKAMANI??Ni askari mimi namfahamu au nikupe force namba yake?
Ni mpambe wa bashite sie Kisanduku yuleNi askari mimi namfahamu au nikupe force namba yake?
Hawezi kutoa amri hiyo,yeye sio zuzuKwangu mimi kutokana na Tuhuma zao (hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.
Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa
Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.
Kesi sasa hivi inaunguruma mahakamani huyo kibaka mwenzenu soon ataungana na sabaya jela kugombea ugali maharage. Unasemaje kuhusu hili? Acha kutetea wezi wenzako kwa sababu uchwara.Wengi wanaomlalamikia Makonda ni wezi na wauza madawa.kwa kuwa Makonda aliwaharibia biashara zao. Kama unayoyasema ni ya kweli kwanini hamkwenda kufungua kesi mahakamani??
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama hangaya ataruhusu hilo kwa best akeKwangu mimi kutokana na Tuhuma zao (hasa walipokuwa katika Nyadhifa zao) namfananisha Ole Sabaya ni Papa na Paul Makonda ni Nyangumi.
Unatoaje amri ya kuchunguzwa kwa Papa Ole Sabaya na ukamuacha Nyangumi Paul Makonda? Hapa Rais Samia Mimi Krav Maga sijakuelewa
Rais Samia tafadhali hakikisha na hiki ulichokifanya kwa Ole Sabaya pia ukifanye kwa Paul Makonda kwani ana Madhambi yaliyomshangaza hata Shetani.