Rais Samia atoe amri Paul Makonda naye akamatwe kwa Tuhuma zake zinazoendana na za Ole Sabaya

Nimeelewa na Kuupenda Ushauri wako.
 
Acha kuendelea Kunikera sawa Ndugu?
 
Wote wapo Muhimbili kwa shida tofauti... Si kila aliyepo hospitali ama Muhimbili ni Mgonjwa, kuna wajawazito nao wamelazwa sijui nao utawaita wagonjwa? tambua utofauti... hospitali moja lakini mambo yanayofanywa in mengi na tofauti tofauti....
 
Tangia lini kisasi kilishamuacha mtu salama?

Tukianza kuombeana visasi hakuna atakae baki salama
 
Acha kuendelea Kunikera sawa Ndugu?
We mbona mtu wa ajabu sana! Kivipi useme nakukwaza wakati sijakutukana wala kukuvunjia heshima. Hi si mimi ndo nilipasa kukwazika kwa kuniita mimi mpuuzi?

Acha nongwa mzee bali kama huna uwezo wa kutetea hoja zako kaa kimya na si kutichimbana mikwara kwenye jukwaa hili la watu wa hoja.

Hapa JF jukwaa huru na kwahiyo usitajie kuingwa mkono na kila anayechangia hoja zako bali usiwaite wapuuzi wanakupa changamoto.
 
Hili nalo ni neno, konda anatakiwa ashtakiwe maana kwa alotenda yeye mwenyewe anajishangaa kwa nini bado yuko uraiani
 
Ole Sabaya amesimamishwa kazi...hajakamatwa....Sasa huyo Makonda asimamishwe kazi kwa kazi ipi aliyonayo Sasa? Au akamatwe kwa kosa lipi?

Ninachokiona Sasa ni kuwa Baadhi mnadhani nchi Hii imepinduliwa...mnatoa kauli za ajabu ajabu ....Mara Kuna the so called Sukuma gang Mara sijui Nini...
Mmejikita kwenye Sera za visasi...
Lakini watu making are just watching, at least for the time being...people are just watching....haya tusubiri tuone ...time will tell...
 
Barida...!!!
 
Wewe uwewahi hata siku moja ku undergo scientific IQ test au unajisemea tu kwa kuwa uliwahi kusikia watu wanazungumzia nasuala ya IQ, kwa taarifa yako mimi ni member wa MENSA najuwa kisayansi IQ yangu ni ya kiwango gani.

Reading between the lines ni wazi IQ yako ni dismal kabisa ndio maana badala ya kujenga hoja unaleta mipasho ya taarabu kama ya Khadja Kopa. Mtu wa barabarani utajuaje confidential file la TISS kuhusu Makonda kujitia ujuaji mwingii. Please revisit your skewed comments ni wazi unakuwa driven vile vile na rabid hatred kuhusu Makonda, kuwa mkweli hapa, je, aliwahi kukutimua kazi au kukudhurumu mali zako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…