Rais Samia atua Tanzania, aongelea mafanikio ya safari yake Marekani

Rais Samia atua Tanzania, aongelea mafanikio ya safari yake Marekani

Akizungumza baada ya kurejea Nchini Tanzania kutoka Marekani, amesema Watanzania wategemee matunda kutoka Filamu ya TheRoyalTour na Nchi ijitayarishe kupokea wageni wengi

Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii iliyoanguka kidogo kutokana na mlipuko wa COVID19

Aidha, Rais Samia amesema akiwa ziarani amezungumza na Serikali ya Marekani na kunyoosha pale palipokuwa na changamoto, akisema "Sasa tupo vizuri, tunaenda nao vizuri sana"
Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii iliyoanguka kidogo kutokana na mlipuko wa COVID19[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji2827][emoji2827]

KUNA SIKU ITAJULIKANA TUU HIZI PESA ZILITOKA WAPI.. Maana kila siku tunabadilishiwa santuri
 
View attachment 2203337

Akizungumza baada ya kurejea Nchini Tanzania kutoka Marekani, amesema Watanzania wategemee matunda kutoka Filamu ya TheRoyalTour na Nchi ijitayarishe kupokea wageni wengi

Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii iliyoanguka kidogo kutokana na mlipuko wa COVID19

Aidha, Rais Samia amesema akiwa ziarani amezungumza na Serikali ya Marekani na kunyoosha pale palipokuwa na changamoto, akisema "Sasa tupo vizuri, tunaenda nao vizuri sana"

Mambo zaidi aliyoongea Rais Samia.

Rais Samia Suluhu Hassan: Uhusiano wa Tanzania na Marekani umetimiza miaka 60 mwaka 2021. Zamani tulikuwa zaidi kunyoosha mikono, tunaomba hiki na kile

Lakini sasa tumekubaliana pamoja na kwamba hayo yatakuwepo, uhusiano mkubwa ni Uwekezaji na Biashara

Rais Samia: Tulifanya mazungumzo na Mashirika ya Fedha ya Kimataifa (Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani), tumekubaliana vizuri

Fedha kama ile tuliyoleta na kuipeleka kwenye Vituo vya Afya na Madarasa, tunatarajia kuna nyingine itakuja iende kwenye maendeleo

Rais Samia: Kuna kundi lilienda kufanya Mkutano na Meya wa Jiji la Dallas, na matokeo ya Mkutano ule ni kwamba wenzetu wamekubali na wana hamu wafanye undugu na Miji yetu

Tunaangalia uwezekano wa kuwa na ndege zitakazotoka moja kwa moja Dallas mpaka Tanzania kuleta wageni
Ngoja tuone ingawa hawa watu wa awamu hii ya uridhi hawaaminiki kabisa.

Wameenda kufanya deals kwaajili yao na matumbo yao...kwa mgongo feki wa watanzania.

#MaendeleoHayanaChama
 
Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii iliyoanguka kidogo kutokana na mlipuko wa COVID19[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji2827][emoji2827]

KUNA SIKU ITAJULIKANA TUU HIZI PESA ZILITOKA WAPI.. Maana kila siku tunabadilishiwa santuri
Pole kwa kuumia
 
Safi sana Mama, Mungu akulinde na akupe baraka tele.
 
a la kumbe unajuwa kwamba mama yako kuwa muongo ki vp au kamuongopea babaako kwamba wewe ni mtoto wake, wote uhuru huo wakati wa bwanawako magufuli usingethubutu kuandika hayo maneno.
Niliandika sn dada angu wala sijaanza leo
 
Mbona hiyo hela ya utengenezaji wa hiyo Movie kila siku ni habr mpya mpya tunafichwa nini?

Jibu Rahisi ni kwamba TUMEPIGWA!
Jibu ni rahisi kwako kwamba una low brain ya kujua mambo haya yako juubya uwezo wako. Ungepata div one angalau ukaenda udsm ungeelewa haya. Lakini div three yako na kwenda SAUT huwezi elewa.
 
Back
Top Bottom