Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Kazi wanafanya saa ngapi?Uwanja wa ndege KIA, wanawanchi wakiwa tayari kumpokea Mama
View attachment 2203333
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi wanafanya saa ngapi?Uwanja wa ndege KIA, wanawanchi wakiwa tayari kumpokea Mama
View attachment 2203333
Yupo busy na mambo ya msingi ya nchi yakeBiden hana muda na genge la wa laghai...anajua wameenda nchini mwake kupiga dili kwa jina ya watanzania.
#MaendeleoHayanaChama
Naona kama maneno matupu mepesi mepesi tu. Au nyie mnaonaje ndugu zangu?View attachment 2203337
Akizungumza baada ya kurejea Nchini Tanzania kutoka Marekani, amesema Watanzania wategemee matunda kutoka Filamu ya TheRoyalTour na Nchi ijitayarishe kupokea wageni wengi
Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii iliyoanguka kidogo kutokana na mlipuko wa COVID19
Aidha, Rais Samia amesema akiwa ziarani amezungumza na Serikali ya Marekani na kunyoosha pale palipokuwa na changamoto, akisema "Sasa tupo vizuri, tunaenda nao vizuri sana"
Mambo zaidi aliyoongea Rais Samia.
Rais Samia Suluhu Hassan: Uhusiano wa Tanzania na Marekani umetimiza miaka 60 mwaka 2021. Zamani tulikuwa zaidi kunyoosha mikono, tunaomba hiki na kile
Lakini sasa tumekubaliana pamoja na kwamba hayo yatakuwepo, uhusiano mkubwa ni Uwekezaji na Biashara
Rais Samia: Tulifanya mazungumzo na Mashirika ya Fedha ya Kimataifa (Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani), tumekubaliana vizuri
Fedha kama ile tuliyoleta na kuipeleka kwenye Vituo vya Afya na Madarasa, tunatarajia kuna nyingine itakuja iende kwenye maendeleo
Rais Samia: Kuna kundi lilienda kufanya Mkutano na Meya wa Jiji la Dallas, na matokeo ya Mkutano ule ni kwamba wenzetu wamekubali na wana hamu wafanye undugu na Miji yetu
Tunaangalia uwezekano wa kuwa na ndege zitakazotoka moja kwa moja Dallas mpaka Tanzania kuleta wageni
Rais Samia: Katika mazungumzo yetu na Wafanyabiashara wa Marekani tumesaini mikataba ya makubaliano ya miradi ya kuja kuwekeza Tanzania, thamani tuliyopiga ilifikia Trilioni 11.7
Kazi ni kwetu kuwapokea hawa watu bila usumbufu na kufanya uwekezaji wao uwepo Tanzania
Ukweli wko ni upi? Halafu huyu ni Rais wa nchi mpe heshima yake. Tuwe na ustaarabu ktk kutumia Uhuru wa maoni ndugu yangu. Siyo sahihi hicho ulichokiandika yaani kina kera.🙏🙏🙏Huyu maza ni muongo balaa
Acha ukereke, kwani nikisema maza wewe unaelewa nini inamaana Tz kuna maza mmoja? shame on youUkweli wko ni upi? Halafu huyu ni Rais wa nchi mpe heshima yake. Tuwe na ustaarabu ktk kutumia Uhuru wa maoni ndugu yangu. Siyo sahihi hicho ulichokiandika yaani kina kera.🙏🙏🙏
Hata mimi niko kama mawazo yako yalivyo, kuna tabia ya kutaka kuwa na Taifa la kupandikizana chuki bila kukosewa kitu na mtu.Baadhi ya approach za mama zinahitaji muda kumuhukumu. Muda ni mwalimu mzuri , kama italeta tija tutaona matokeo.
Unajuwa wewe ni fala sana, hii thread inamuhusu nani, na nani ametowa ahadi na wewe ukasemaje?Acha ukereke, kwani nikisema maza wewe unaelewa nini inamaana Tz kuna maza mmoja? shame on you
Tangu lini CCM wakawa wakweli?Huyu maza ni muongo balaa
nchi inamadini gesi mito maziwa bahari mbuga za wanyama aridhi bora kwa kilimo lakini cha kusikitisha imelaniwa kuwa na viongozi omba omba,View attachment 2203337
Akizungumza baada ya kurejea Nchini Tanzania kutoka Marekani, amesema Watanzania wategemee matunda kutoka Filamu ya TheRoyalTour na Nchi ijitayarishe kupokea wageni wengi
Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii iliyoanguka kidogo kutokana na mlipuko wa COVID19
Aidha, Rais Samia amesema akiwa ziarani amezungumza na Serikali ya Marekani na kunyoosha pale palipokuwa na changamoto, akisema "Sasa tupo vizuri, tunaenda nao vizuri sana"
Mambo zaidi aliyoongea Rais Samia.
Rais Samia Suluhu Hassan: Uhusiano wa Tanzania na Marekani umetimiza miaka 60 mwaka 2021. Zamani tulikuwa zaidi kunyoosha mikono, tunaomba hiki na kile
Lakini sasa tumekubaliana pamoja na kwamba hayo yatakuwepo, uhusiano mkubwa ni Uwekezaji na Biashara
Rais Samia: Tulifanya mazungumzo na Mashirika ya Fedha ya Kimataifa (Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani), tumekubaliana vizuri
Fedha kama ile tuliyoleta na kuipeleka kwenye Vituo vya Afya na Madarasa, tunatarajia kuna nyingine itakuja iende kwenye maendeleo
Rais Samia: Kuna kundi lilienda kufanya Mkutano na Meya wa Jiji la Dallas, na matokeo ya Mkutano ule ni kwamba wenzetu wamekubali na wana hamu wafanye undugu na Miji yetu
Tunaangalia uwezekano wa kuwa na ndege zitakazotoka moja kwa moja Dallas mpaka Tanzania kuleta wageni
Rais Samia: Katika mazungumzo yetu na Wafanyabiashara wa Marekani tumesaini mikataba ya makubaliano ya miradi ya kuja kuwekeza Tanzania, thamani tuliyopiga ilifikia Trilioni 11.7
Kazi ni kwetu kuwapokea hawa watu bila usumbufu na kufanya uwekezaji wao uwepo Tanzania
Akikujibu unitag mkuuRais Samia utalii unaanzia wapi na hii hali ngumu ya uchumi duniani?Beiden ulifanikiwa kumuona kwa sura ukiwa USA kwa wiki tatu?
Unachosema linaweza kuwa kweli Ila pia utakua na mapenzi nae binafsi.Hata mimi niko kama mawazo yako yalivyo, kuna tabia ya kutaka kuwa na Taifa la kupandikizana chuki bila kukosewa kitu na mtu.
Kwanza mpaka dakika hii mama amerudisha uhuru wa Watanzania kwa kiasi kikubwa na shughuri za kisiasa zinarudi, mengine apewe muda, binafsi namuona mama ni muungwana sana.
Kaongopa nini!?...na ukweli ni you!?..ukiwa Kama mtu anayepewa taarifa nyeti za nchi nzima na vyombo nyeti vya nchiHuyu maza ni muongo balaa
Kabla ya covid walikua wanakuja wangapi hiyo high season!?...ili tujue Kama royal tour imetulipaMama Samia aache utapeli wa kijinga, wageni watakuja kwakuwa ugonjwa wa Covid ni kama umepita, pia kwa sasa tunakwenda kwenye miezi ya high season. Hivyo bila hata hiyo royal tour bado wageni wangekuja. Isije ikaonekana wageni wanakuja watake kutembelea humo humo kuwa ni sababu ya royal tour. Wangalau wageni wakivuka 3m@year tunaweza kushawishika kuwa ni sababu ya royal tour.
Yaani hapo ndo naona tunakosea sana,nchi inamadini gesi mito maziwa bahari mbuga za wanyama aridhi bora kwa kilimo lakini cha kusikitisha imelaniwa kuwa na viongozi omba omba,
ndio kwenu na umekimbiaSafi Saaana Mh rais Samia Suluhu ....nasema Chapaaa kaziii narudia Chapaaaa kaazzii ...kama hukubaliane naye hamia Bunjumbula
Ni sekta ipi inayoingizia nchi fedha nyingi ikiwa utalii ni pety!?...Unachosema linaweza kuwa kweli Ila pia utakua na mapenzi nae binafsi.
Hadi sasa sijawa impressed kwa kuwa anadeal na petty issues tu, na pia maneno matamu ni mengi bila progress yoyote