Rais Samia atua Tanzania, aongelea mafanikio ya safari yake Marekani

Naona kama maneno matupu mepesi mepesi tu. Au nyie mnaonaje ndugu zangu?
 
Baadhi ya approach za mama zinahitaji muda kumuhukumu. Muda ni mwalimu mzuri , kama italeta tija tutaona matokeo.
 
Ukweli wko ni upi? Halafu huyu ni Rais wa nchi mpe heshima yake. Tuwe na ustaarabu ktk kutumia Uhuru wa maoni ndugu yangu. Siyo sahihi hicho ulichokiandika yaani kina kera.🙏🙏🙏
Acha ukereke, kwani nikisema maza wewe unaelewa nini inamaana Tz kuna maza mmoja? shame on you
 
Baadhi ya approach za mama zinahitaji muda kumuhukumu. Muda ni mwalimu mzuri , kama italeta tija tutaona matokeo.
Hata mimi niko kama mawazo yako yalivyo, kuna tabia ya kutaka kuwa na Taifa la kupandikizana chuki bila kukosewa kitu na mtu.

Kwanza mpaka dakika hii mama amerudisha uhuru wa Watanzania kwa kiasi kikubwa na shughuri za kisiasa zinarudi, mengine apewe muda, binafsi namuona mama ni muungwana sana.
 
Acha ukereke, kwani nikisema maza wewe unaelewa nini inamaana Tz kuna maza mmoja? shame on you
Unajuwa wewe ni fala sana, hii thread inamuhusu nani, na nani ametowa ahadi na wewe ukasemaje?

Some people are alive because is crime to shoot them, just stupid like you.
 
Reactions: Tui
nchi inamadini gesi mito maziwa bahari mbuga za wanyama aridhi bora kwa kilimo lakini cha kusikitisha imelaniwa kuwa na viongozi omba omba,
 
Mama Samia aache utapeli wa kijinga, wageni watakuja kwakuwa ugonjwa wa Covid ni kama umepita, pia kwa sasa tunakwenda kwenye miezi ya high season. Hivyo bila hata hiyo royal tour bado wageni wangekuja. Isije ikaonekana wageni wanakuja watake kutembelea humo humo kuwa ni sababu ya royal tour. Wangalau wageni wakivuka 3m@year tunaweza kushawishika kuwa ni sababu ya royal tour.
 
Unachosema linaweza kuwa kweli Ila pia utakua na mapenzi nae binafsi.

Hadi sasa sijawa impressed kwa kuwa anadeal na petty issues tu, na pia maneno matamu ni mengi bila progress yoyote
 
Kabla ya covid walikua wanakuja wangapi hiyo high season!?...ili tujue Kama royal tour imetulipa
 
Unachosema linaweza kuwa kweli Ila pia utakua na mapenzi nae binafsi.

Hadi sasa sijawa impressed kwa kuwa anadeal na petty issues tu, na pia maneno matamu ni mengi bila progress yoyote
Ni sekta ipi inayoingizia nchi fedha nyingi ikiwa utalii ni pety!?...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…