Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Rais Samia atuombe msamaha Wakristo, Simba wa Yuda kwetu ni Yesu Kristo peke yake

Umekaa kibishi, baki hivyo hivyo.
Tena mbishi kweli kweli linapokuja suala la haki.

Mleta mada hii kaileta kiushari. Mama Samia kamkosa nini? Eti aombe msamaha. Msamaha wa nini pambaf nyinyi.

Yesu toka lini alikuwa simba? Mie najuwa Yesu ni Yanga.
 
Kweli kumwita Hayati Magufuli Simba wa Yuda si sawa kabisa. Ni dharau kubwa sana kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo.

Maana kwetu sisi Yesu Kristo ndiye Simba wa Yuda.

Rais kweli hapa si sawa kabisa.
Hilo tumesamehe baada ya kuwapasha sukuma gang nidhamu ya wofa
 
Huyu aliyetokewa na shetani pangoni akapigwa makofi? Kwanza ni mbakaji angekuwepo angekula mvua ya maiaka 30! Hakuna mtume mzinzi kama huyo!
Hivi unajua kuwa msela alisha andaa sherehe ya ndoa huko mnakopaita Mbinguni na bibi harusi ni nyinyi?Usisahau tu kwenda na kilaini harusini.
 
Hapa ndipo maneno kutoka Timetheo wa pili sura ya nne ule mstari wa saba huwa yanatamkwa kidhihaka. Inabidi maaskofu, wachungaji na mapadri wajitokeze kukemea
Achaa ujinga unakariri vitu. wakriso huwaza na huongozwa na dhamiri kiroho. siyo vitu na majina, dhamiri ya samia haiusiani na yesu
 
Tena mbishi kweli kweli linapokuja suala la haki.

Mleta mada hii kaileta kiushari? Mama Samia kamkosa nini? Eti aombe msamaha. Msamaha wa nini pambaf nyinyi.

Yesu toka lini alikuwa simba? Mie najuwa Yesu ni Yanga.

Personality, Asante kwa kututukana.
 
Ingekuwa upande wa waislamu saiv barabara zote ingekuwa zimefungwa

Kifupi madam ameukashifu ukristo
 
Simba wa Yuda kumbe alikuwa JPM, duh, kuna jambo haliko sawa kwa SSH, mie nilijua Simba wa Yuda ni Yesu Kristo tu.
 
Yesu Kristo anabaki kuwa hivyo, sioni tatizo..labda kwa vile she was sarcastic in calling JPM a Simba wa Yuda, hili jina la JPM watu hawachoki kulitamka, huyu jamaa alikuwa mtu na zaidi kwa vitendo vyake.
 
Nyie nae hata mapadri na makasisi wasiooa wanaolawitiana mpaka na watoto wadogo kila kukicha mnawaita baba. Hamueleweki.

Basi tumwite panya wa Yuda.

Hapo Sasa!
Mapadri na makasisi wanaolawiti, hufanya hivyo kwa majina yao, na sio kwa niaba ya kanisa.

Anayelawiti, nafsi yake imekumbatia dhambi na anastahili hukumu ya Mungu. Kulawiti sio mpango wa kanisa. Hata kidogo.

Nasisitiza kujua tofauti kati ya mkristo na ukristo. Mkristo anaweza kuwa na hulka ya ulawiti kama ilivyo kwa mwislamu. Lakini ukristo hauna mafundisho ya ulawiti kama ilivyo kwa uislamu.
 
Mapadri na makasisi wanaolawiti, hufanya hivyo kwa majina yao, na sio kwa niaba ya kanisa.

Anayelawiti, nafsi yake imekumbatia dhambi na anastahili hukumu ya Mungu. Kulawiti sio mpango wa kanisa. Hata kidogo.

Nasisitiza kujua tofauti kati ya mkristo na ukristo. Mkristo anaweza kuwa na hulka ya ulawiti kama ilivyo kwa mwislamu. Lakini ukristo hauna mafundisho ya ulawiti kama ilivyo kwa uislamu.
Hii kitu itatusababishia majeraha makubwa sana. Mambo ya imani hayakupaswa kusababishwa na viongozi wetu kabisa...Its saaad!
 
Back
Top Bottom