Rais Samia aunda kamati kutathmini utendaji kazi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Rais Samia aunda kamati kutathmini utendaji kazi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Nadhani wanatafuta kula kichwa mama Tax;Waziri wetu mambo ya Nje.Kamati itakuja na mapendekezo kadhaa sio rafiki kwa Waziri na team yake.
Hana uzoefu wowote,alipwaya Ulinzi sasa anapwaya Foreign
Lkn kula kichwa mtu uliye mteua mwenyewe hadi upite njia zote hizo?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.

Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.

Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;

2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.

Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.


View attachment 2569232
Mabalozi hao hao wanaenda kujitathimini
 
Niliposoma mara ya kwanza hii mada ilivyowekwa, akilini mwangu wizara ya kwanza ilikuwa ni hiyo hiyo inayohusu Tanesco.

Huyu anazo sababu zake. Wanaovuruga huko kwenye hii wizara ya Mambo ya Nje, ni hao hao watu wa aina yake muunda kamati, na anajua hivyo.
Tatizo linafahamika linakotokea, tume ni ya nini tena kama siyo kufuja pesa.
Mkuu, yaani unahisi kwamba wewe utakua unayajua mambo na taarifa nyeti za kila wizara kuliko RAIS wa Nchi?

Kwanini huwa mnalitaka Jeshi la polisi lisijichunguze lenyewe dhidi ya tuhuma zinazolihusu?

Kwanini tusisubirie Report baada ya uchunguzi?
 
Hapana.

Mi naomba kukuuliza kwa uzoefu wako, kwa sababu unao uzoefu wa muda kitambo; chimbua na huko kwenye historia ya nchi hii.
Je, uliwahi kusikia kuundwa kwa kamati kutathmini kazi za wizara yoyote hapa nchini?

Ukishafanya hivyo, tutajadili hili jipya, manufaa yake au kukosa manufaa. Lakini mimi naanza na kushauri Zanzibar wapewe wizara yao ya Mambo ya nje. Halafu tufunge kazi. Upuuzi umekuwa mwingi mno sasa.
Kiukweli Huu ni ubunifu mpya

Labda mchakato wa katiba mpya Ndio umeanza
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.

Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.

Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;

2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.

Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.


View attachment 2569232
Mama kama hao walioko kwenye hiyo wizara huwaamini utendaji wao wa kazi Kuna sababu gani kuwaundia tume? Si uwaondoe waweke wenye weledi!
Watu wamestaafu wamepumzika
Unawapa kitumia pesa za walipa Kodi hata kama za Msaada! Kwani huoni mashida ya Wananchi wako?

Hili nalo ni tatizo. Then unatarajia kuletewa ripoti ya aina gani.
Polepole alitoa mafunzo mkamwona hafai!
Ungehangaika na KATIBA mama haraka sana.
Nchi ngumu sana.
 
Nadhani wanatafuta kula kichwa mama Tax;Waziri wetu mambo ya Nje.Kamati itakuja na mapendekezo kadhaa sio rafiki kwa Waziri na team yake.
Hana uzoefu wowote,alipwaya Ulinzi sasa anapwaya Foreign
Lkn kula kichwa mtu uliye mteua mwenyewe hadi upite njia zote hizo?
Stegomena Tax ni Sukuma gang anatafutiwa sababu mda si mrefu mtamuona pale mzanzibari!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.

Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.

Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;

2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.

Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.


View attachment 2569232
Mulamula alikuwa anakufaa sana ila CHAWA wako wanoko wamekuingiza hizi gharama na sidhani kama utaipata majawabu husika au unavyotarajia!!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.

Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.

Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;

2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.

Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.


View attachment 2569232
Huko ni kupoteza hela,Kuna yule Balozi wa Tanzania China,South Korea au Malawi hao ndio wanajua maana ya Diplomasia ya Uchumi,japo polepole Bado Mchanga.

Ondoa huyu tax aende Geneva au Newyork then mmjawapo wa watajwa hapo Juu awe Waziri na Naibu..

Na waambata au maafisa wa kibalozi huko wekeni watu wenye exposure ya biashara, Uchumi,Sheria za biashara nk yaani kiufupi tuwe na majasusi wa kiuchumi.

Hii ya kupachika pachika Watoto wa wanaccm ni kuua Nchi.

Mwisho kabisa Kuna Wizara ya Viwanda na Biashara hakuna inachofanya kwenye kuwezesha facilitation.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.

Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.

Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;

2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;

4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.

Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.


View attachment 2569232
Huyu kamati zake na wateule wake 60%+ huwa ni waislam wenzake[emoji57]
 
Kwani TISS hawawezi kufanya hiyo kazi?
Hiyo inaitwa cross checking ipo vizuri sana kwa watu wenye uelewa tu..

Ila wateuliwa wote ni diplomacy ni vizuri team ingeusisha wataalam wa taaluma muhimu kwa dunia ya sasa ili mfano wangemuela hata mtu bingwa wa ict, mtu bigwa wa investment na business na n.k ili wakija na majibu waje na maboresho hasa..
 
Kama vipi apewe tu Uwaziri wa heshima JK wa Msoga au arudishwe yule jamaa yetu aliyetaka kuwa Rais bwana Membe... Ikishindikana kabisa nipewe mimi Mh Nangu Nyau ila ofisi ya wizara itakuwa pale Manhatam.
 
Back
Top Bottom