Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
CCM ni janga kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza kamati ipo kikatiba na kisheria? mambo ya hovyo na gharama kwa wananchiMatumizi mabaya ya kodi
Kwanza ameunda kwa kutumia sheria ipi?Duh hii kali. Huyu mama sijui pesa hazinaga mambo ya msingi. Au hajui afanye nini nazo.
Nadhani kuna jambo fulani halipo sawa ndio maana Mheshimiwa Rais SSH ameunda hii kamati. Labda nikumbushe tu, juzi kwenye mabadiliko ya Makatibu wakuu wa wizara aliyekuwa Katibu Mkuu wa hii Wizara Balozi Sokoine aliwekwa kando bila kutoa maelezo yeyote.Niliposoma mara ya kwanza hii mada ilivyowekwa, akilini mwangu wizara ya kwanza ilikuwa ni hiyo hiyo inayohusu Tanesco.
Huyu anazo sababu zake. Wanaovuruga huko kwenye hii wizara ya Mambo ya Nje, ni hao hao watu wa aina yake muunda kamati, na anajua hivyo.
Tatizo linafahamika linakotokea, tume ni ya nini tena kama siyo kufuja pesa.
Pesa anatukamua wananchi kupitia tozo zimeshakuaa nyingi na hajui azifanyie nini.Duh hii kali. Huyu mama sijui pesa hazinaga mambo ya msingi. Au hajui afanye nini nazo.
Yaani hakuna mutu,basi tuchukue commonweathHii mupya, haijawahi tokea.