Mabalozi hao hao wanaenda kujitathiminiRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.
Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.
Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;
2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.
Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.
View attachment 2569232
Hauna baya bwashee, kwako yote mema..!!Ni jambo jema
Nilidhani Taifa stars
Mkuu, yaani unahisi kwamba wewe utakua unayajua mambo na taarifa nyeti za kila wizara kuliko RAIS wa Nchi?Niliposoma mara ya kwanza hii mada ilivyowekwa, akilini mwangu wizara ya kwanza ilikuwa ni hiyo hiyo inayohusu Tanesco.
Huyu anazo sababu zake. Wanaovuruga huko kwenye hii wizara ya Mambo ya Nje, ni hao hao watu wa aina yake muunda kamati, na anajua hivyo.
Tatizo linafahamika linakotokea, tume ni ya nini tena kama siyo kufuja pesa.
Kiukweli Huu ni ubunifu mpyaHapana.
Mi naomba kukuuliza kwa uzoefu wako, kwa sababu unao uzoefu wa muda kitambo; chimbua na huko kwenye historia ya nchi hii.
Je, uliwahi kusikia kuundwa kwa kamati kutathmini kazi za wizara yoyote hapa nchini?
Ukishafanya hivyo, tutajadili hili jipya, manufaa yake au kukosa manufaa. Lakini mimi naanza na kushauri Zanzibar wapewe wizara yao ya Mambo ya nje. Halafu tufunge kazi. Upuuzi umekuwa mwingi mno sasa.
Hakuna namna!Hauna baya bwashee, kwako yote mema..!!
Mama kama hao walioko kwenye hiyo wizara huwaamini utendaji wao wa kazi Kuna sababu gani kuwaundia tume? Si uwaondoe waweke wenye weledi!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.
Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.
Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;
2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.
Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.
View attachment 2569232
Kwani hao walochaguliwa ni nani au mpk aandike kuwa ni watu wa TISSKwani TISS hawawezi kufanya hiyo kazi?
Stegomena Tax ni Sukuma gang anatafutiwa sababu mda si mrefu mtamuona pale mzanzibari!Nadhani wanatafuta kula kichwa mama Tax;Waziri wetu mambo ya Nje.Kamati itakuja na mapendekezo kadhaa sio rafiki kwa Waziri na team yake.
Hana uzoefu wowote,alipwaya Ulinzi sasa anapwaya Foreign
Lkn kula kichwa mtu uliye mteua mwenyewe hadi upite njia zote hizo?
Mulamula alikuwa anakufaa sana ila CHAWA wako wanoko wamekuingiza hizi gharama na sidhani kama utaipata majawabu husika au unavyotarajia!!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.
Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.
Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;
2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.
Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.
View attachment 2569232
Huko ni kupoteza hela,Kuna yule Balozi wa Tanzania China,South Korea au Malawi hao ndio wanajua maana ya Diplomasia ya Uchumi,japo polepole Bado Mchanga.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.
Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.
Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;
2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.
Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.
View attachment 2569232
Huyu kamati zake na wateule wake 60%+ huwa ni waislam wenzake[emoji57]Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati kwa ajili ya kutathmini utendaji kazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ili kuiwezesha Wizara hiyo kutekeleza malengo ya Serikali katika kukuza diplomasia ya uchumi na ushirikiano wa kimataifa.
Ili kutekeleza azma hiyo amemteua Balozi Yahya Simba, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Zambia kuwa Mwenyekiti wa Kamati.
Aidha, amewateua wafuatao kuwa wajumbe wa Kamati:
1) Balozi Ramadhan Mwombe Mwinyi, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mstaafu;
2) Balozi Dkt. Mwanaidi Sinare Maajar, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
3) Balozi Peter Allan Kallaghe, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Uingereza;
4) Balozi Tovako Nathaniel Manongi, aliyekuwa Mwakilishi wa Kudumu wa
Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa New York, Marekani.
Kamati hiyo itazinduliwa rasmi tarehe 31 Machi, 2023 Ikulu Dar es Salaam, saa 08:30 mchana.
View attachment 2569232
Hiyo inaitwa cross checking ipo vizuri sana kwa watu wenye uelewa tu..Kwani TISS hawawezi kufanya hiyo kazi?
Tume inaundiwa tume
EeNchi hii ni kituko