Kama genius anaweza,unajua kuna vitu vinafikirisha sana.
mtu aliezaliwa 1987 (japo sura yake anaonekana ni 1977,1978, 1979) anaweza kuwa mkurugenzi wa shirika kama tpdc?
modi msifute au kuunganisha.
nataka tuende kwa mifano ya hapa kwetu kama yapo mashirika yenye maDG ya mtu wa 1987 or above.
View attachment 1744359
Kuna wapemba wamemuweka wakiwa pamoja na yule mkwe wa mama samia. Yule anayesimamia TISSunajua kuna vitu vinafikirisha sana.
mtu aliezaliwa 1987 (japo sura yake anaonekana ni 1977,1978, 1979) anaweza kuwa mkurugenzi wa shirika kama tpdc?
modi msifute au kuunganisha.
nataka tuende kwa mifano ya hapa kwetu kama yapo mashirika yenye maDG ya mtu wa 1987 or above.
View attachment 1744359
Ajipe muda wakati wananchi hususan wapinzani mlikuwa mnapiga kelele sana mama ateue baraza jipya na aunde cabinet yake???
Kama nyota ndo tatizo mbonyeza alama ya reli #Jamaa ni age mate lkn naona mwenzangu nyota inawaka na kuzima mi ya kwangu imezima kbsa haitaki kuwaka hta kidogo
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Mkuu mh 5 anasemaje huko kanda ya ziwaKama nyota ndo tatizo mbonyeza alama ya reli #
Just joking
Mnasemaga tuu hekma na busara, ukali unasaidia unapokuwa na watu wahuni na taasisi corrupt,angalia China,Japan,UAE ma Dubai ninani aliyanyanyua uone kalba zao ilikuwa busara tuu ama ukali ulinyoosha mambo!!Uongozi hauangaliwi kwa kukaripiana na kutishana. Uongozi na kuonyesha njia na katika kufanya hivyo tunatumia hekma na busara zaidi ya vitisho na makaripio.
Umetaja wanawake wangapi katika population gani? Hata katika huo udhaifu wao si ajabu kupata 1 katika ke 800 na kwa hivyo huyo 1 hawezi kufuta udhaifu wao. La msingi tuombe sana Mungu ili huyu Mama awe wa tofauti na ke wengine walioko katika jamii yetu.Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Hongera Rosemarie kwa kuthibitisha hilo.
Mwanamke kiumbe dhaifu peke yako usiejiamini usijumuishe wote.
Nikupe mfano tu: Ellen Johnson Sirleaf, Mwele Malecela, Msuya wa UNEP...
Mkuu mheshimiwa yupi,maana hata Mimi huku watu wananiita mheshimiwaMkuu mh 5 anasemaje huko kanda ya ziwa
Unataka awe na kiburi Cha mwendazakeTrust me tabia ya kiumbe yeyote mwenye uhai hutakiwi kuonyesha udhaifu wake na udhaifu wake ni siri yake hata mkeo au mumeo hatakiwi kuujua kwani akiujua kuna siku atautumia dhidi yako.
Wakiwa wanasema na ww faster unareact wanajua huu ndo udhaifu wake 19 March 2021 mama ndo kaingia ofisini kama Rais wa JMT chini ya mwezi mmoja amefanya maamuzi 3 makubwa kutokana na mitandao mfano ni jana tu chini ya masaa 24 kafuta uteuzi wa aliyemteua yeye mwenyewe kwa watu wa mitandao kupiga kelele kuna akili itajengeka kwa watu kuona kumbe ukitaka jambo au ajenda yako kupita ni kumpressure mama kupitia mitandaoni uoni kwamba kunasiku maadui wa Nchi hii wanaweza kupitisha ajenda zao kwa kusponsor wale wakuu wa mitandaoni kupressure kupitisha agenda zao hovu kwa vigezo hiki?
Ukikosea na ukajua umekosea usifanye maamuzi hapo hapo tulia fanya maamuzi siku nyingine kabisa lakini ukifanya maamuzi hapo hapo watu watajua kumbe ukifanya hv huyu lazima areact huu ni udhaifu mkubwa sana.. kuna siku utashindwa kufanya jambo kwa kuhofia wale wa mitandaoni watasemaje au kuna siku unaweza mtoa au kufukuza mtu kwa makelele wa watu wenye chuki tu ambao wamejaa mitandaoni.
Au nimrchanganya mafail kina dc wa kanda hzo msumbufu anaitwa mh 5Mkuu mheshimiwa yupi,maana hata Mimi huku watu wananiita mheshimiwa
Ha ha ha haKwa hili mama anaonekana ni kivuli kuna wanaume wa shoka wapo nyuma yake wanamuongoza, since day one anaapa mama alionesha wazi viatu vya uraisi ni vikubwa kwake...
Mama hawezi fanya maamuzi ona sasa anaabika kisa teuzi ndogo ndogo kama hizi...
Halafu teuzi nyingi za mama ni za kimehumko na kimajungu zaidi..
Ha ha ha nakomenti sehemu zinazonichekesha tu!Huyu mama ana matatizo,kwanza nilihisi kitu siku ile katibu mkuu kiongozi anaapishwa,huyu mama alisema aliletewa jina na alikuwa hamfahamu?
Huyu mama atatupeleka pabaya sana,mwanamke ni kiumbe dhaifu na nchi yetu hatupo tayari kwa sasa hivi kuongozwa na viumbe dhaifu,angemuuliza boss wake magu kwa nini alikaa miezi mitatu bila kuteua alikuwa na maana gani----
Kwa kweli ingekuwa udsm shaka na wasiwasi ungepungua sana aisee, vyuo vya kata ni gunduMaamuzi yangu yakwenda UDSM kumbe sikukosea aise. Maana nmegundua watu wapo sensitive na majina ya vyuo hatari.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]YOHANA UNIVERSITY
Mkuu kuishi na watu inahitaji nidhamu usimdharau MTU huwezi jua atakuja kua nani kwako, labda hawa walikua wanavimba sana enzi hizo yeye hana mamlaka ya kuwatengua kwahyo akawa amewaniawenye vyeo vyao sasa hivi wapoleee,maana hawajui SSH atashika break za uteuzi atakapofika ngazi ipi...wanatamani waseme hapo ulipofikia inatosha lakini ndiyo hawawezi
Lakini huyu Mama nae sababu za kuteua upyaaa watu wote hao ni nini tena hata mwezi hajamaliza ofisini ni nini hasa?
1:-kwamba kafanya nao kazi hizi wiki mbili wameshindwa ku deliver?
2:-au ni fasheni tu kila mmoja aanze na watu wake wapya?
3:-au wakati wanateuliwa hakushirikishwa?
kama ingekuwa ni kwa ajiri ya fasheni tu ya kuteua na kutengua,angeenda nao taratibu mmoja mmoja hadi awamalize
Yupo ila mama nadhani atafanya yake,kuna mwingine yuko Lindi anaitwa zambi mpuuzi sana yule,hana adabu,alishawahi nidharirisha mbele ya kadamnasi bwana yule,Au nimrchanganya mafail kina dc wa kanda hzo msumbufu anaitwa mh 5
Jina lenyewe tu zambi mkuu unategemea nn Kuna kipind nilikuwa nanunua ufuta maeneo ya kilwa vjijin huko alituwekea kauzibe Sana bwana zambi siji kumsahau piaYupo ila mama nadhani atafanya yake,kuna mwingine yuko Lindi anaitwa zambi mpuuzi sana yule,hana adabu,alishawahi nidharirisha mbele ya kadamnasi bwana yule,