Rais Samia autengua uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa TPDC. Amrejesha Mataragio

Kama genius anaweza,
Lkn kama ana elimu ya kuunga unga ya St Yohana University (evening class) hapana aisee!
 
Kuna Shida gani Kwenye Umri wake huo wa 34?

Huyu hakustahili kwa sababu Nyinginezo ikiwemo historia yake ya Nyuma, yale matendo yake ya (UCCM) Haswa lile la kumtishia Mh. Zito pamoja na kukosa uzoefu kwenye maswala ya Gase na Petrol While aliyekua anatoka ana CV iliyoshiba katika secta husika.

Umri wake sio hoja ya msingi.
 
Kuna wapemba wamemuweka wakiwa pamoja na yule mkwe wa mama samia. Yule anayesimamia TISS
Nia yao ni kupiga vitalu vya mafuta.

Yule jamaa wa sasa ni nyoko amewashika mapu** hawawezi kupiga.

Hata meko aliingizwa chaka ila akashtuka mapema na kumtudisha jamaa.
 
Uongozi hauangaliwi kwa kukaripiana na kutishana. Uongozi na kuonyesha njia na katika kufanya hivyo tunatumia hekma na busara zaidi ya vitisho na makaripio.
Mnasemaga tuu hekma na busara, ukali unasaidia unapokuwa na watu wahuni na taasisi corrupt,angalia China,Japan,UAE ma Dubai ninani aliyanyanyua uone kalba zao ilikuwa busara tuu ama ukali ulinyoosha mambo!!
Hakuna nchi duniani iliyonyanyuliwa kiuchumi kwakasi na mwanamke!!
 
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake. Hongera Rosemarie kwa kuthibitisha hilo.

Mwanamke kiumbe dhaifu peke yako usiejiamini usijumuishe wote.

Nikupe mfano tu: Ellen Johnson Sirleaf, Mwele Malecela, Msuya wa UNEP...
Umetaja wanawake wangapi katika population gani? Hata katika huo udhaifu wao si ajabu kupata 1 katika ke 800 na kwa hivyo huyo 1 hawezi kufuta udhaifu wao. La msingi tuombe sana Mungu ili huyu Mama awe wa tofauti na ke wengine walioko katika jamii yetu.
 
Unata
Unataka awe na kiburi Cha mwendazake
 
Ha ha ha ha
 
Ha ha ha nakomenti sehemu zinazonichekesha tu!
 
wenye vyeo vyao sasa hivi wapoleee,maana hawajui SSH atashika break za uteuzi atakapofika ngazi ipi...wanatamani waseme hapo ulipofikia inatosha lakini ndiyo hawawezi

Lakini huyu Mama nae sababu za kuteua upyaaa watu wote hao ni nini tena hata mwezi hajamaliza ofisini ni nini hasa?
1:-kwamba kafanya nao kazi hizi wiki mbili wameshindwa ku deliver?
2:-au ni fasheni tu kila mmoja aanze na watu wake wapya?
3:-au wakati wanateuliwa hakushirikishwa?
kama ingekuwa ni kwa ajiri ya fasheni tu ya kuteua na kutengua,angeenda nao taratibu mmoja mmoja hadi awamalize
 
Maamuzi yangu yakwenda UDSM kumbe sikukosea aise. Maana nmegundua watu wapo sensitive na majina ya vyuo hatari.
Kwa kweli ingekuwa udsm shaka na wasiwasi ungepungua sana aisee, vyuo vya kata ni gundu
 
Mkuu kuishi na watu inahitaji nidhamu usimdharau MTU huwezi jua atakuja kua nani kwako, labda hawa walikua wanavimba sana enzi hizo yeye hana mamlaka ya kuwatengua kwahyo akawa amewania
 
Au nimrchanganya mafail kina dc wa kanda hzo msumbufu anaitwa mh 5
Yupo ila mama nadhani atafanya yake,kuna mwingine yuko Lindi anaitwa zambi mpuuzi sana yule,hana adabu,alishawahi nidharirisha mbele ya kadamnasi bwana yule,
 
Yupo ila mama nadhani atafanya yake,kuna mwingine yuko Lindi anaitwa zambi mpuuzi sana yule,hana adabu,alishawahi nidharirisha mbele ya kadamnasi bwana yule,
Jina lenyewe tu zambi mkuu unategemea nn Kuna kipind nilikuwa nanunua ufuta maeneo ya kilwa vjijin huko alituwekea kauzibe Sana bwana zambi siji kumsahau pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…