Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wakati anampanga Kafulila Arusha alikuwa hajui kama ndiyo mgeni? mbona Makonda alianzia Dar?Raisi afanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa Kafulila apelekwa SImiyu na Mongela apelekwa Arusha
Amefanya mabadiliko leo alipokuwa akiwaapisha wakuu wa mikoa