Rais Samia awaapisha Wakuu wa Mikoa. Afanya mabadiliko madogo, Kafulila apelekwa Simiyu, Mongella aletwa Arusha

Rais Samia awaapisha Wakuu wa Mikoa. Afanya mabadiliko madogo, Kafulila apelekwa Simiyu, Mongella aletwa Arusha

Seniority imeua sana our economy. Business as usual. We need visionary leaders and managers irrespective of sex, religion, age, and "utumbili" wao.hili dai limhusu. Mwendazake tuu!? Hao independently versionar wangepata wapi hiyo freedom of exercise ,sana sana kwa mama sasa ndio wakati wakuwatumia seniors experiences versionar na junior wasimamie utekelezaji ,Au nasema uongo ndugu zangu !?
 
Amehofia huyo Kafulila angeirudisha Chadema madarakani kwenye uchaguzi mkuu ujao, au!!

Kwa hali hii, Katiba Mpya haikwepeki! Yaani unamteua mtu leo, kesho unamtengua/kumhamisha juu kwa ju, na hakuna wa kukuhoji!!

Only in Tanzania!!
Kwani ccm watashinda tena jimbo lolote tena 2025 lililo mjini?

Tuendelee kuwepo
 
Si amesema anaenda kuongea nao kwenye kikao cha kazi .
 
Mkuu ile kitu haichagui, maana mateso ni kwetu sote.

Gharama za business na maisha zinabadilika sana hali ya umeme ikiwa tete mkuu.

Hili la umeme naomba maza akopi kwa Magu aisee.
Hapana mkuu, mama na Magu ni watu tofauti, kwani we huoni kelele hizi zinzopigwa humu ili kupinga mama wasifanane kwa lolote na Magu?
 
Kwenu wadau wa jf.leo rais wa SSH amewapisha wakuu wapya wa mikoa pamoja na viongozi wengine .Kama ilivyo ada viongozi wakuu walio udhulia walipata nafasi ya kutuma salam kwa viongozi hao,Mbele ya mh Wetu mpenda Mama Samia Suruhu alie beba matumaini yetu makubwa .Hivo taifa leo lili tegemea Rais atasema jambo lolote(tunavutiwa na kauli za rais kama jana alipo kitaka jeshi la polisi usalama barabarani kuacha kubambikia makosa) la kimatumaini hasa kwetu sisi wananchi ,mbele ya viongozi hao wapya,Shahuku ilikua ni kubwa sana leo kwetu wananchi kumsikiliza Mh wetu lakini gafla shauku io iliondoka.
Tunaimani na mama ..
kazi iendelee mama sisi hatutachoka na hotuba zako.
Tulizoezwa vibaya si kila shughuli lazima kiongozi ahutubie halafu praise team wafanye ufafanuzi
 
Unauliza jibu

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Habari za wapi Yakheee!!! Kikwajuni, kibanda maiti au mchamba wimaaa!!! Rais wenu tuliye waazimisha kutoka Bara, anaendeleaje Yakheee?

Naona huyu mliyetuletea kutoka huko Yakhee anazinguaaa!! Yaani anateua leo, kesho anabadili!! Yaani hatumuelewi kabisa Yakheee!! Yaani kama anapika urojo Yakheee!! Kama vipi kila Nchi imchukue Rais wake Yakheee!!! Twaona nyie mwafaidi zaidi na huu mbadilishano Yakheee!!

Au unaonaje Yakheee!!
 
Wala haina tatizo kubadilisha for good!

Ndiyo maana kuna continuous improvements kwenye modern management style [emoji108][emoji108][emoji108]

The world is dynamic because of advanced changes in technologies!

The world is not static!
 
Sijafurahia reason ya kubadilisha wakuu wa mikoa. Mongela anapelekwa Arusha kwa sababu ni "mzoefu" na majiji na Kafulila ni mpya. This is not a reason for sure kwa sababu yule David, although ni "mpya" ni mbunifu sana kuliko Mongela (kwa mtazamo wangu).

Kama kweli hayo ndiyo majukumu ya mkuu wa mkoa as per VP Phillip, wakuu wa mikoa wanaoweza kufanya kazi hiyo popote pale ni Kafulila, Mtaka, and Queen.
Kama aliona mongela ana uzoefu,amemuhamisha kutoka mwanza wa nini? Angembakisha huku huku mwanza.
 
Sijafurahia reason ya kubadilisha wakuu wa mikoa. Mongela anapelekwa Arusha kwa sababu ni "mzoefu" na majiji na Kafulila ni mpya. This is not a reason for sure kwa sababu yule David, although ni "mpya" ni mbunifu sana kuliko Mongela (kwa mtazamo wangu).

Kama kweli hayo ndiyo majukumu ya mkuu wa mkoa as per VP Phillip, wakuu wa mikoa wanaoweza kufanya kazi hiyo popote pale ni Kafulila, Mtaka, and Queen.
Mwenye CV ya SSH tafadhali
 
Hapana mkuu, mama na Magu ni watu tofauti, kwani we huoni kelele hizi zinzopigwa humu ili kupinga mama wasifanane kwa lolote na Magu?

Hiyo inajulikana, kila mmoja ameumbwa kwa jinsi tofauti na mwenzake. Ila kama kuna mazuri aliyofanya mwendazake, si vyema kuyaacha yaende na mwendazake, mwendazake aende na maovu na mabaya yake, mazuri yabaki.

Kwangu umeme, barabara na kutodhurumiana ardhi natamani kuona tukiendeleza alipoishia jamaa.
 
Hata mimi natamani tu mama awe mkali, awe na misimamo yake kama kiongozi, unajua mpaka sasa hivi hatumuelewi Mama ni mtu wa aina gani, ni kama anajificha hivi makucha, juzi alisema yeye na magu ni kitu kimoja, ila matendo yake ni vitu viwili tofauti, Mama haeleweki, mama haaminiki... magu was very strict man , alikua hapindishi maneno wala kuyumba hovyo, akisema amesema, au kwa kuwa mama ni jinsia nyingine Ndio maana she is so kind? Sitaki kuamini hivyo
Tatizo mnataka mama acopy na kupaste kwa Magu. Ni kitu hakiwezekani. Hii ni awamu yake anatakiwa aongoze anavyoona yeye. Likiharibika jambo ni yeye ndo atasemwa na sio Hayati. Kama Kuna mahali makosa yalifanyika mama afanye masahihisho mapema. Na watu wakubali KILA nafsi itaonja mauti. Magufuli amefariki na hatarudi tena. Alifariki Nyerere na tukasonga mbele, hata hii ya Magu tutasonga mbele. Mama amronesha dira nzuri na wananchi huku nje wanamuunga mkono sana
 
Amehofia huyo Kafulila angeirudisha Chadema madarakani kwenye uchaguzi mkuu ujao, au!

Kwa hali hii, Katiba Mpya haikwepeki! Yaani unamteua mtu leo, kesho unamtengua/kumhamisha juu kwa ju, na hakuna wa kukuhoji!!

Only in Tanzania!!
Katiba mpya italishughulikiaje hilo? Tufafanulie - maana katiba mpya inaongelewa kana kwamba ina miujiza!
 
Akizungumza leo katika hafla ya kuwaapisha wakuu wa mikoa ,
Spika wa Bunge la JMT, Mh. Job Ndugai, kwa masikitiko makubwa amesema (Nanukuu) ' kumekuwa na uonezi na maonezi makubwa Sana katika taasisi ya TAKUKURU, ni vizuri mkajiangalia upya, sisi ambao tunawakilisha wananchi tunaona, Si mahali pa kusemea lakini Waziri na wenzake watawasaidia kwa upande mwingine, Si vizuri kuonea watu, haipendezi hata kidogo' alisisitiza zaidi Bw. Job Ndugai!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Katiba mpya italishughulikiaje hilo? Tufafanulie - maana katiba mpya inaongelewa kana kwamba ina miujiza!
Katiba Mpya itapunguza mamlaka ya Rais katika uteuzi kwa kuhusisha pia mamlaka nyingine kama Bunge na Mahakama!

Na pia Rasimu ya Katiba Mpya ya Wananchi, ilifuta hivi vyeo vya Wakuu Mikoa na Wilaya! Maana havina tija yoyote ile, zaidi tu ya kuongeza matumizi ya fedha serikalini.
 
Back
Top Bottom