mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Huwezi kupendwa na wote na huwezi kuchukiwa na wote !! That's life !!
Matendo yako yakiwa mazuri utaendelea kusiwa hata kama ulishakufa,lakini kama matendo yako yalikuwa mabaya utaendelea kubezwa hata kama ulishakufa.
Kumbuka Nyerere,Karume,Sokoine,Mandela,Kaunda,Nkrumah,Samora hao bado wanaimbwa kama mashujaa wa Afrika,lakini Idd Amin,Mabuto,Chiluba,Magufuri matendo yao yataendelea kuwahukumu.