Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

Kwa hoja zipi? Mie nimetoa mfano wa maziko yake hata mie sikutegemea kuwepo ummati ule yani watu waache kazi zao na kwenda kusimama barabarani na viwanjani halafu useme wale wanamchukia kama wewe mkuu?

Elewa kwamba sio kila mtu alikuwa anaugua kwa kumchukia Jiwe kama mlivyo wengine kiasi hadi cha kujikosesha amani ya moyo.

Umeongea vyema. Huyu jamaa ni mjinga sana, kwasababu anafanya generalizations za kipuuzi kabisa bila kujenga hata hoja moja tu ku justify anachoongea.

Tukirudi kwenye facts Kifo cha Magufuli watu waliomboleza mpaka nje ya Nchi. Mbali ya kifo cha Nyerere, Hakuna tukio la kitaifa lolote lililotuleta pamoja kwa wingi mkubwa kabisa kama Kifo cha Magufuli.

Watu walijazana mabarabarani katika mikoa yote kote mwili ulikoenda. Kilichotokea pale Uwanja wa Taifa ni historical. Kama walichoonyesha watu dhidi ya Magufuli baada ya kifo chake sio mapenzi ni nini basi?

Tuache unafiki wa kijinga.

Samia ana represent the Elite class katika Siasa, Uchumi na Biashara hapa nchini. Hawa hawakuwa marafiki wa Magufuli, na hawakumpenda. Na Magufuli hakuwapenda kwasababu kwa asili mabepari ni wanyonyaji.
 
Sasa kibaya hayo majivu bado yanakutesa ukisikia Jiwe anazungumziwa tu unachefukwa unakosa amani ya moyo.

Mimi mwenzako naenjoy tu kabla ya Simba wa yuda hajawa rais na hata alipokuwa rais pia sasa naendelea kuenjoy, nakuonea huruma wewe mkuu maana haipiti siku humu bila kutajwa simba wa yuda kitu ambacho kinakuchefua sana unakosa raha.
Sina muda wa kuongelea mizimu
 
Mhmm....fikiria upya
Huyu mama anataka uwachekee watumishi wa umma.

Heshima ya moyoni hiyo haipewe serikalini, hiyo inatolewa nyumbani.

Huyu mama anaishi kwenye nadharia ya wapi sijui.

Hofu ndio msingi wa kila kitu, mwanafunzi bila hofu ya kushindwa mtihani hawezi kusoma, binadamu bila hofu ya mungu atatenda dhambi (kama wanavyodai waumini wa dini)

Mfanyakazi wa Serikali asipokua na hofu ya kupoteza kazi na mshahara sasa hapo huyo ni mfanyakazi ama ndie muajiri?

Mtoto lazima awe na hofu kua nikifanya kosa hili baba ataniadhibu,

Hofu ndio inaongoza Dunia, hofu ya kutenda jambo kinyume na kuadhibiwa ndio inasabaabisha watu wanaogopa kutenda mambo mabaya kwa hofu ya kuadhibiwa.

Huyu mama mwambieni hawezi kuongoza nchi kwa hisia. Wanaomdanganya matokeo yake atauaona sio muda mrefu.

Tujiulize, enzi za mentor wa huyo mama, Kikwete, wafanyakazi wa serikali hawakua na hofu na chochote, asipokuhudumia mwananchi hana hofu yoyote ya kupoteza kazi, hana hofu ya kuiba mali za umma, hana hofu ya kuwahi kazini nk, na wakati wa awamu ya 5 ambako wafanyakazi wa serikali walijengenwa hofu ni wapi kulikua na faida kwa wananchi?

Huyu mama ni kimeo.
 
Umeongea vyema. Huyu jamaa ni mjinga sana, kwasababu anafanya generalizations za kipuuzi kabisa bila kujenga hata hoja moja tu ku justify anachoongea.

Tukirudi kwenye facts Kifo cha Magufuli watu waliomboleza mpaka nje ya Nchi. Mbali ya kifo cha Nyerere, Hakuna tukio la kitaifa lolote lililotuleta pamoja kwa wingi mkubwa kabisa kama Kifo cha Magufuli.

Watu walijazana mabarabarani katika mikoa yote kote mwili ulikoenda. Kilichotokea pale Uwanja wa Taifa ni historical. Kama walichoonyesha watu dhidi ya Magufuli baada ya kifo chake sio mapenzi ni nini basi?

Tuache unafiki wa kijinga.

Samia ana represent the Elite class katika Siasa, Uchumi na Biashara hapa nchini. Hawa hawakuwa marafiki wa Magufuli, na hawakumpenda. Na Magufuli hakuwapenda kwasababu kwa asili mabepari ni wanyonyaji.
Hakuna aliyesikitika magufuli kufa labda wajinga bendera gusta upepo na vibaraka wake wa kuua na kutesa
 
Wanaonufaika kwa sasa ni wale waliopo kwenye circle ya awamu ya nne.
 
Inasikitisha sana kuona kiongozi wa serikali anatamka maneno yenye kuleta mgawanyiko na mpasuko miongoni mwa watanzania. Mbaya zaidi kiongozi huyo huyo anasahau kwamba yeye ana madhaifu makubwa zaidi yanayotosha kabisa kumfanya akae pembeni akiwa muungwana.

Tazama hali ya upatikanaji umeme nchini, Tazama bei ya bidhaa mbalimbali, Tazama nidhamu katika utumishi wa umma,rushwa ufisadi n.k

Pamoja na yote hayo badala kiongozi mkuu awe mtetezi wa wananchi yeye amekuwa mtetezi wa kiti chake pamoja na wale aliowachagua Kula pamoja katika meza yenye urefu size ya kamba tofauti.

Waungwana husema Mtu mzima ukivuliwa nguo, Chutama.
KWA katiba Ipi we kiazi? Tuliwaambia tuandike katiba mpya hamtaki
 
Inasikitisha sana kuona kiongozi wa serikali anatamka maneno yenye kuleta mgawanyiko na mpasuko miongoni mwa watanzania. Mbaya zaidi kiongozi huyo huyo anasahau kwamba yeye ana madhaifu makubwa zaidi yanayotosha kabisa kumfanya akae pembeni akiwa muungwana.

Tazama hali ya upatikanaji umeme nchini, Tazama bei ya bidhaa mbalimbali, Tazama nidhamu katika utumishi wa umma,rushwa ufisadi n.k

Pamoja na yote hayo badala kiongozi mkuu awe mtetezi wa wananchi yeye amekuwa mtetezi wa kiti chake pamoja na wale aliowachagua Kula pamoja katika meza yenye urefu size ya kamba tofauti.

Waungwana husema Mtu mzima ukivuliwa nguo, Chutama.
Mbona Kangi Lugola alipomuita mwendazake sawa na Yesau haukuja hapa kupiga hizi porojo zako? Acha chuki binafsi utakufa na kihoro aisee
 
Back
Top Bottom