Hongera entire Kenyan population kwa kujitenga na mzuka wa Magufuli.
Kwenye maisha kuna mambo mengi sana ya kujifunza. Tuwe tunajifunza pia kutokana na makosa, ikumbukwe Magufuli aliwahi kuwakera Wakenya pale alipochoma moto vifaranga vya kuku na kukamata ng'ombe wao.
Raila Odinga alibugi sana kusema atatawala kama JPM. Bado isitoshe akamchukua Diamond na kumlipa Tsh 233 Million kwa dakika kumi, ilionyesha jinsi gani hawathamini Wakenya. Kenya inawasanii wengi Sana alishindwa nini kuchukua Wasanii wa huko.
Pole Sana RAILA OMORO ODINGA poleni wafuasi wa Azimio.
Mtu anachoma vifaranga, halafu unasema utaongoza kama yeye, kwa maana hiyo ukiingia madarakani, utavunja mahusiano kati ya nchi yako na nchi zingine. Amekomeshwa