Rais Samia awapongeza Wakenya kwa kumaliza Uchaguzi Mkuu kwa amani

Wabongo bhana! Jana kuna mwezio humu alikuwa analaumu kwanini kachelewa kumpongeza Ruto, wewe leo unalalamika kwanini kawahi. SMH
Ndugu yangu hii ndio Tz. Hata itokee umsaidia hela kipofu barabarani ujue utadhihakiwa tu . Tuchunguzeni ni chakula gani kinatuathiri jamani
 
Naona hiyo million 233 aliyolipwa Diamond imekuuma sana

Na wewe imba hapo Ufipa st
 
Pongezi Mh Rais!
Angetumia Lugha adhimu ya Kiswahili ingependeza zaidi.

..ametoa salamu kwa Kiingereza na Kiswahili.

..hatupaswi kukiogopa kiingereza, kifaransa, kireno, kichina, au lugha nyingine yoyote ya kimataifa.
 
OMG she is truly the one promised, a true stateswoman
 
Flattering approach with deception.........Ruto is a gentleman and clever for a prey; let them expose themselves as to who they are.............. East Africa bloc transformation is loading under Dr. Ruto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…