Rais Samia awarejesha kazini Watumishi zaidi ya elfu nne (4,000+) walioondolewa kipindi cha Magufuli kwa madai ya kugushi vyeti

Lakini hii serikali inatuonaje sisi wavuvi kata ya Kalya tulichomewa nyavu zetu na kuchukuliwa machine zetu za boat kimakosa kabisa tunalipwa lini tutendewe haki
Wavuvi hawana umoja. Mara nyingi miongoni mwao kuna wasaliti
 
4100 hawakufiji vyeti bali waliingia bila kukidhi vigezo vya ajira mfano mtu darasa la saba aliajiriwa na baadae kujiendeleza hadi kufika form four, huyu anastahili kurudishwa kwa kua hakufoji vyeti na hakuna jinai kwake
Uanapotosha makusudi magufuli wakati anahutubia watumishi kule bandarini aliwaambia kama wee ni lasaba ni umejaza lasaba hamna mwenye shida naye ila mtu la saba anafoji ni form four uki mwambia alete cheti cha form anaruka ruka
 
Kati ya 4000+ waliojiendeleza kielimu watakuwa wangapi? Waliofika mda wa kustaafu niwangapi?na zile stress mtu atajiendeleza kweli?

Wanasiasa wana udanganyifu sana
Si wamesema 4100
 
Kati ya 4000+ waliojiendeleza kielimu watakuwa wangapi? Waliofika mda wa kustaafu niwangapi?na zile stress mtu atajiendeleza kweli?

Wanasiasa wana udanganyifu sana
Hiyo kitu nimejiuliza sana!!
 
Unachosema ni kweli mama nasikia ana vikozi vya kuunga unga balaa ndo maana naye anashadadia ujjnga .mtu anafoji chei then anarudishwa
 
Elimu yenyewe haina maana!cheti kina maana gani sasa!!kama form six leaver anaweza fundisha vizuri tu kuliko hata mhitimu wa chuo cha ualimu!!!!Hata form six failure anaweza kufunzwa udaktari tu na akawa deep tu bila kujali ufaulu wake!!?
Una uhakika na hiki
 
Kosa la kimfumo lilishafanyika...siyo sahihi kuwatesa wa upande mmoja.....Mama anajaribu kufanya balance of nature
 
kwa sharti la kuwa wawe wamejiendeleza kielimu.
Hapa ndio mtego ulipo

Una masters ila ulifoji cheti cha 4m4 unajiendelezaje? Kuna ambao vigezo vitawatema ngoja tusubiri WARAKA tuone vigezo walivyoweka. USIAMINI saana maneno ya wanasiasa
 
Harafu wangetanabaisha kuwa watawalipa lin watu wajue si tu kuwa tutawalipa je ikifika 2025 au ndio wasubili? MATESO JE WALIO JINYONGA NA JE WALIO KUWA MUDA WAO WA KUSTAFU UMEFIKA JE NAO ITAKUWAJE WAACHA SIASA KILA KITU WAO WANAWAZA KUCHEZA NA AKILI ZETU
 
Kwa hiyo Kugushi cheti ni haki yao, kazi kweli kweli mwizi anapokuwa huru ingawa mmemkamata na vizibiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…