Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

Rais Samia awasili Oman kwa ziara ya siku 3

Naona huko Hakuna kuvaa barakoa.
Na mikono wanashikana.
Huku tunaandaa matamasha ya kuhamasisha chanjo.
Mambo ni mengi!
Akitoka oman apite saudia kusalimia ndg na jamaa!
Ni kweli kaenda, na watu hamsemi!
Screenshot_20220615-223931_1655322713883.jpg

Mna siri!
 
Back
Top Bottom