FEBIANI BABUYA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 1,916
- 3,850
This is the reason why i hate Politics.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna waziri flani wa viwanda alisema ukiwa na cherehani 10 na kuajiri mafundi 10 wa kushona ni kiwanda.Uongo wa mchana kweupeee; si tupo Tanzania hi hi tupo. Nambie, kiwanda gani kikubwa kilianzishwa baada tu ya Kalemani kutumbuliwa?
Yeah; nimekumbuka 😃 😀 😄Kuna waziri flani wa viwanda alisema ukiwa na cherehani 10 na kuajiri mafundi 10 wa kushona ni kiwanda.
Labda ya kizmkazii
Hakuna kilio kitakacho tokea zaidi ya furaha na tabasamu kwa watanzaniaMchina ameleta generator za solar za KV 1000 na anauza bei ndogo mno.Hiyo inatosha kuendesha miji midogo,ndio maana generator za mafuta zimeshuka bei.Huu umeme wa maji tuendelee kuombeana akili zaidi,huenda kukawa na kilio
Ni Maono ,akili ,maarifa, dhamira , ujasiri na uthubutu wa Rais Samia ndio umewezesha mambo haya makubwa kukamilikaHivi ni serikali imeweka historia au ni Mama Samia?
Mbona neno Serikali sasa limekufa na limebaki la mama tu?
Mnajua hii ni aibu sana enyi watu?
Hatari snNatamani ku shortlist, 🚶♂️🚶♂️maabusu.
Sidhani kama umeelewa alichokiandika narudia tena sidhani kama umeelewa hata kidogoHakuna kilio kitakacho tokea zaidi ya furaha na tabasamu kwa watanzania
Kwamba dogo una akili kunizidi mimi mpaka useme sijaelewa? Embu acha utani wako hapa basi wewe.Sidhani kama umeelewa alichokiandika narudia tena sidhani kama umeelewa hata kidogo
Hapana sina maana mbaya lakini na uhakika hujaelewa hata kdgKwamba dogo una akili kunizidi mimi mpaka useme sijaelewa? Embu acha utani wako hapa basi wewe.
Yule mzeee hata maadui zake sasahivi wanamshukuru ndo wanaanza kumuelewa ahaaa ahaaaaa , ni binadamu alikuwa na mapungufu yake machache lakini kaacha alama kuliko watangulizi wake woteMwenye Bwawa lake anajulikana; Afrika; Uarabuni na dunia nzima inamfahamu. Mwenyezi Mungu amrehemu
Analo bwawa binafsi la kuogelea au ?Mwenye Bwawa lake anajulikana; Afrika; Uarabuni na dunia nzima inamfahamu. Mwenyezi Mungu amrehemu
Kwa wale wanaowaza urefu wa kamba ya mbuzi,itakuwa sawa ila kwa wale wanaoona mbali wameshaona vilio tena vikubwaHakuna kilio kitakacho tokea zaidi ya furaha na tabasamu kwa watanzania
Amka usingiziniKwa wale wanaowaza urefu wa kamba ya mbuzi,itakuwa sawa ila kwa wale wanaoona mbali wameshaona vilio tena vikubwa
Huu ni mradi wa serikali na ulikuwepo toka enzi ya mwl. Nyerere. JPM alianza utekelezaji wake kama rais aliyepewa dhamana na wananchi wa JMT. Tujifunze kutofautisha vitu binafsi navya serikali.Kumekuwa na slogan Rais Samia katoa pesa billion kadhaa badala ya kusema serikali imetoa.Mradi Ni wa shujaa JPM Na mvua Ni ya Mungu hayo mengine Ni mapambo ya sanamu
Rais Samia alilikuta likiwa asilimia ngapi?Julius Nyerere Hydro power itabaki daima kuwa legacy ya Magufuli, Samia hahusiki aje na yake, matundu ya choo ile ni aibu na upotevu wa pesa