Rais Samia aweka rekodi ya Dunia. Tuna uwezo wa kuzalisha umeme hata mvua isiponyesha miaka 3. Lita bilioni 2 za maji bwawa la Nyerere zakusanywa

Akili yangu ni kubwa sana na huwezi ukalinganisha na hiyo yako
akili uzitoe wapi mtu anaeng'ang'ania mama wa watu kuwa mama yako wakati anawatoto wake na hawana muda wanakula wanasterehe wewe wa chimba unye huko umemganda mama wa watu kama kakuzaa
 
akili uzitoe wapi mtu anaeng'ang'ania mama wa watu kuwa mama yako wakati anawatoto wake na hawana muda wanakula wanasterehe wewe wa chimba unye huko umemganda mama wa watu kama kakuzaa
Kunywa sumu UFE tu maana naona unaumia sanaa😄😄
 
ninywe sumu kwasababu gani kukwambia ukweli wewe masikini wa akili na mali unatofauti gani na ng'ombe wewe anaefanya kyuma yake ngazi ya mav
Naona unaumia sana na mafanikio ya mheshimiwa Rais . Kufa tu maana huna faida yoyote y
 
 
Mvua isiponyesha mwaka mmoja tu nchi itakushinda utakimbikia kwenu zenji, sema yote ila achana na kitu kinaitwa mvua.
 
Nikionaga technical issues zinawekwa kwenye siasa, huwa inanisumbua sana.

Do you know why mpaka sasa mambo ya bwawa la Nyerere yapo kimya kimya??? Kuna uozo mkubwa sana upo huko. Nyie endeleeni kupamba tu, time will tell
 
Kumaanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…