Mkuu amini wenye akili kama za mtoa thread ni wengi. Yani badala ya kupendekeza mambo ya maana wao uchawa uchawa. Sasa hata tuseme kweli anafanya mazuri kwa mfano, kuwekwa kwenye sarafu kunatunufaishajeMtaji wa wanasiasa bongo, ni ujinga wa wananchi.
Ukweli ndiyo huo.Hata mumpambe vipi kwetu Tanganyika huyo ni kama Julius Von Soden. Muda wake ukifika tutamsahau kabisa.
Hana tofauti na magavana wa Kijerumani au Kiingereza waliotawala Tanganyika
Kumbuka hata Malkia alikuwa kwenye coin za Tanganyika. Ila kwa sasa ziko wapi hizo coin?
ndio maana nikasema nchi chache, mimi skusema yeye ndo wa kwanza, halatu tuna noti zaidi ya nne kwani mama akikaa kwenye noti moja kuna ubaya?Yeye si Rais wa kwanza Africa alikuwepo Ellen Johnson Sirleaf wa Liberia, Akaja Joyce Banda wa Malawi. Na wapo wa nyazifa za Urais kama Sahel Wok Zewde nk. Tumeisha jiwekea utaratibu kuwa baada ya Nyerere kuwa kwenye noti ya elfu moja. Hakuna mwingine mwingine ataka yewekwa kwenye noti zetu. Kuna Marais wamefanya makubwa kwa nchi hii na hawakupewa fursa hiyo seuse Mama. Atulie amepewa nafasi adhim ya kutawala hii inchi Tanganyika inatosha
Mna shida gani nyie Wazanzibari??? Uchumi umepanda kwenu siyo TanganyikaTanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
Mimi mbongo Pure tena MtanganyikaMna shida gani nyie Wazanzibari??? Uchumi umepanda kwenu siyo Tanganyika
Na ndio moja ya sababu ya nchi hii kutokuendelea, wajinga ni wengi mnooo, na werevu wanajitoa akili mradi mkono uende kinywaniMkuu amini wenye akili kama za mtoa thread ni wengi. Yani badala ya kupendekeza mambo ya maana wao uchawa uchawa. Sasa hata tuseme kweli anafanya mazuri kwa mfano, kuwekwa kwenye sarafu kunatunufaishaje
Acha tuyatangaze mazuru ya SamiaNa ndio moja ya sababu ya nchi hii kutokuendelea, wajinga ni wengi mnooo, na werevu wanajitoa akili mradi mkono uende kinywani
Nimegundua, ulitamani mama atukanwe!! Mpuuzi kweli weweHajauza bhana amewapa waendeshe kisasa zaidi ili kuboresha utendaji wa bandari.
mbn Dp world inaendesha bandari za nchi nyingi tu
Anaweza kuweka kwenye Sarafu maalumu ya kutimia miaka 100 ya Muungano.ndio maana nikasema nchi chache, mimi skusema yeye ndo wa kwanza, halatu tuna noti zaidi ya nne kwani mama akikaa kwenye noti moja kuna ubaya?
Kwa lipi na kwa kazi ipiTanzania ni moja ya nchi chache zenye bahati ya kupata Rais mwanamke.
Dr Samia kukalia kiti cha Urais kumebadilisha mtazamo wa wa Africa wengi kuweza kuwaamini wanawake.
Tangu mama ameshika nchi uchumi umekuwa kwa kasi na mambo yanaenda. Je, hamuoni kuwa ni sahihi mama awekwe kwenye noti yetu ili akumbukwe vizazi na vizazi?
Nawasilisha.
akili yako inafanyaje kazi mbn kama una abnormalitiesNim
Nimegundua, ulitamani mama atukanwe!! Mpuuzi kweli wewe
Hata kunijua hanijui ila tu nakubali kazi yakeSamia Mabango hayamtoshi tu amekutuma kwamba awekwe na sehemu nyingine?!.
Unapima upepo wewe au unafanya research ya ujinga was wanajukwaa!!?Dola moja ni Tsh 2800
mama yupo Fair sana ndio maana mnamdharau, ila aki retire tutamkumbuka sana
Jukwaa hili halina watu wajinga ila lina watu wenye mitazamo tofautitofautiUnapima upepo wewe au unafanya research ya ujinga was wanajukwaa!!
Mazuri gani, ukicompare ukuaji wa teknolojia na mambo mengine, nchi yetu ni kama tumerudi nyuma ama tumeganda pale pale.Acha tuyatangaze mazuru ya Samia
Badae ntaanzisha uzi wa kuelezea mazuri ya mama SamiaMazuri gani, ukicompare ukuaji wa teknolojia na mambo mengine, nchi yetu ni kama tumerudi nyuma ama tumeganda pale pale.
Umekula maharage ya wapi?Acha tuyatangaze mazuru ya Samia