Watalaamu bongo mbele ya mzungu.wanaopima ama wanaamua kuwa waafrika wajue mpaka hapa mwisho basi.

Ni kwa Nini wamekutoa kuwa ulipatwa na shida haitohusika.
 
Halafu sio Kila Jambo linahamasishwa kwa nyimbo,hili la chanjo linahitaji wananchi kupewa elimu na wataalamu sio mje na singeli inaitwa chanjo kwa mpalange.
 
Ile sio familia yake ni mkusanyiko wa vilaza ambao hana nasaba nao yoyote.
Kipenzi usiamini kila unachoskia, Gwaji sio kichaa kuamua kuongea vile na familia yake

Maendeleo hayana vyama
 
Takwimu za maambukizi Tanzania ulizapata wapi wewe ngumbaru?
Uwezo wetu mdogo sana, yani tumeshindwa hata kutuma watalamu watuletee report kwa nini nchi zilizoanza kuchanja tangu mwaka 2020 mfano Rwanda bado maambukizi ya corona ni makubwa kuliko Tanzania?
 
Hahahha gwajima, lazima PCB,CBG,PCM zipande ndo uweze kuwa na uwezo wa kuchangia kuhusu chanjo.

Mambo ya molecular biology lazima ujue. Analytical chemistry inahusika.

Wataalam wapo. Yaaan
Yeye kama zinapanda mbona chanjo tumeleta kutoka nje?
Lazima tujue kutofautisha wasomi na wanaokariri kilichoandikwa na wasomi
 
Kujiheshimu ni kitu kidogo sana Wala hakihusiani na umri unaweza kuwa mkubwa kumbe nanga tu
 
Kesho mapema naenda kuchomwa chanjo yangu.
chanjo ya JJ ni moja tu unakuwa umemaliza haina kurudia.
Ahsante Rais wetu kwa uamuzi sahihi.
 
Kipenzi usiamini kila unachoskia, Gwaji sio kichaa kuamua kuongea vile na familia yake

Maendeleo hayana vyama
Fuata ushauri wa Gwajima, ila sasa sijui gwajima yupi[emoji848][emoji848]. Utajua mwenyewe![emoji28][emoji28]
 
Kesho mapema naenda kuchomwa chanjo yangu.
chanjo ya JJ ni moja tu unakuwa umemaliza haina kurudia.
Ahsante Rais wetu kwa uamuzi sahihi.
Nenda si unadhani utapewa tuzo kimbiza kwato mapema
 
Nafikiri ungefungua uzi wako Ili uweke hizo hashtags zako,kwanye huu uzi unaonekana kichaa tu kwasababu hoja unazotoa na kinachojadiliwa ni tofauti.

Mimi ni mwanachama wa CCM ila unachokifanya hapa,kitafanya ile kauli ya BAVICHA kuwa "CCM imejaa vichaa" ionekane inaukweli.
 
Ok mkuu 👍
 
Uwezo wetu mdogo sana, yani tumeshindwa hata kutuma watalamu watuletee report kwa nini nchi zilizoanza kuchanja tangu mwaka 2020 mfano Rwanda bado maambukizi ya corona ni makubwa kuliko Tanzania?

Tunachanja we kalilie kwenye kaburi la Yule mchawi wenu shwaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…