UBORA WA CHANJO YA JOHNSON & JOHNSON AMBAYO NDIYO IPO NCHINI KWETU KULIKO CHANJO ZINGINE.
"Johnson & Johnson ni chanjo moja tu (one show). Ukichanja leo imetoka hiyo huna haja ya kurudia. Zile chanjo nyingine ndo unachanja mara mbili mbili. Lakini hii ukichanja leo uko free lakini usijiachie sababu kuna wengine bado hawajachanja. Kwahiyo niwakaribishe Watanzania kwenye chanjo. Mimi nko tayari kupata chanjo nikaendelee na mambo yangu."
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Julai 28, 2021 kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam.
"Johnson & Johnson ni chanjo moja tu (one show). Ukichanja leo imetoka hiyo huna haja ya kurudia. Zile chanjo nyingine ndo unachanja mara mbili mbili. Lakini hii ukichanja leo uko free lakini usijiachie sababu kuna wengine bado hawajachanja. Kwahiyo niwakaribishe Watanzania kwenye chanjo. Mimi nko tayari kupata chanjo nikaendelee na mambo yangu."
Mhe Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Julai 28, 2021 kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam.