Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hii kazi anaiweza sn zaidi ya hapo hakuna jipyamama wa kuzindua dar kila siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kazi anaiweza sn zaidi ya hapo hakuna jipyamama wa kuzindua dar kila siku
Nakubaliana na wewe kabisaHuu sio uzinduzi bali ni kampeni za 2025. Mama hajiamini ila ana uchu wa madaraka
Mvuto umepotea sn hasa baada ya kushindwa kusimama kama Rais wananchi wana hali mbaya snMbeleni itachosha kumwona Rais kila siku kwenye headlines.
Ikifika 2025 atakuwa hana jipya, hana upya, hana mvuto. Ni jambo la kufikiria.
Kwamba ni miradi ya awamu ya 5, yeye alikuwa sehemu muhimu ya urais tena kikatiba "presidency " kwa hiyo tusimtenganishe.
Tumpe haki anayostahili.
Leo ni ya tatu...Ila imekua too much, wiki yote hii kila siku.
Sawà mwambaHuku nanjilinji tunasubiri azindue msimu wa kilimo
Kwa hiyo alishiriki kwenye mazuri tu? Kwenye mabaya alikua jiwe peke yake? Acheni hizo.Wanataka kumnyanyapaa na kumbagua kila wanapoishiwa hoja za msingi za kujadili.
Kwenye mazuri tusimtenganishe, Ila kwenye mabaya tumtenganishe?Mbeleni itachosha kumwona Rais kila siku kwenye headlines.
Ikifika 2025 atakuwa hana jipya, hana upya, hana mvuto. Ni jambo la kufikiria.
Kwamba ni miradi ya awamu ya 5, yeye alikuwa sehemu muhimu ya urais tena kikatiba "presidency " kwa hiyo tusimtenganishe.
Tumpe haki anayostahili.
Hongera sana Kwa Mhe. Rais, unapoona miradi inazinduliwa au kuwekwa mawe ya Msingi inamaana kazi zimefanyika/Zinafanyika 👏👏👏💪
Ila napendekeza awe anapewa interval ya kupumzika kidogo.
Juzi alikuwa Chalinze, baadaye M/City kwenye kilele Cha Wiki ya Maji hadi saa 1 Jioni.
Jana alikuwa Magomeni Kota
Leo yupo Mjini Kati kuzindua Dalaja la Sulender.
Kama mtaona inafaa walau awe anapewa siku 3-4 kupumzika kabla ya tukio linalofuata.
Hahahaha...........wakiamua kula Perdiem hata wakiwa Dodoma si wataenda kuzindua/Kuweka mawe ya Msingi Mikoani?Inatafuta justification ya kuwa Dar mda mwingi..Na watu halo ndo wanazibua perdiems
Yeye na JPM ni kitu kimoja aliwahi kusema hivyo. Ufunguzi wa madaraja, mabenki na ununuzi wa ndege, vyote hivyo anaposimamia tusiwe wa kwanza kununa.Kwa hiyo alishiriki kwenye mazuri tu? Kwenye mabaya alikua jiwe peke yake? Acheni hizo. Mkimhusisha na mazuri yaliyopita, mhusisheni na mabaya
Fact!Hongera sana Mama...
Hata Magufuli mwanzoni alikuwa anazindua miradi ya JK.
#NyukiWaMama
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
Pambaf sana hawa jamaa..Hua nchi zingine wanaposema Rais wao yupo kwenye ziara flani, wanataja na chama anakotoka? achilia mbali wadhifa yake ndani ya chama.
Hii tabia ipo Tanzania tu, sometimes mnashusha sana hadhi ya Rais wa nchi kwa kutajataja Mambo ya uchama ndani yake.
Na kwenye kuteka kuua kufilisi tusimtenge piaYeye na JPM ni kitu kimoja aliwahi kusema hivyo. Ufunguzi wa madaraja, mabenki na ununuzi wa ndege, vyote hivyo anaposimamia tusiwe wa kwanza kununa.
Wakati mwingine Ndiyo inasababisha hata vikao vya chama kufanyika Ikulu. Huu ni udhaifu mkubwa sana tunao.Hua nchi zingine wanaposema Rais wao yupo kwenye ziara flani, wanataja na chama anakotoka? achilia mbali wadhifa yake ndani ya chama.
Hii tabia ipo Tanzania tu, sometimes mnashusha sana hadhi ya Rais wa nchi kwa kutajataja Mambo ya uchama ndani yake.
Uweke ushahidi hadharani kuliko kutegemea hisia tu.Na kwenye kuteka kuua kufilisi tusimtenge pia