Rais Samia azindua daraja la Selander (Tanzanite), ataka liwekewe nembo ya Tanzanite sio Mwenge

Rais Samia azindua daraja la Selander (Tanzanite), ataka liwekewe nembo ya Tanzanite sio Mwenge

Mbeleni itachosha kumwona Rais kila siku kwenye headlines.

Ikifika 2025 atakuwa hana jipya, hana upya, hana mvuto. Ni jambo la kufikiria.

Kwamba ni miradi ya awamu ya 5, yeye alikuwa sehemu muhimu ya urais tena kikatiba "presidency " kwa hiyo tusimtenganishe.

Tumpe haki anayostahili.
Mvuto umepotea sn hasa baada ya kushindwa kusimama kama Rais wananchi wana hali mbaya sn
 
Mbeleni itachosha kumwona Rais kila siku kwenye headlines.

Ikifika 2025 atakuwa hana jipya, hana upya, hana mvuto. Ni jambo la kufikiria.

Kwamba ni miradi ya awamu ya 5, yeye alikuwa sehemu muhimu ya urais tena kikatiba "presidency " kwa hiyo tusimtenganishe.

Tumpe haki anayostahili.
Kwenye mazuri tusimtenganishe, Ila kwenye mabaya tumtenganishe?
 
Hongera sana Kwa Mhe. Rais, unapoona miradi inazinduliwa au kuwekwa mawe ya Msingi inamaana kazi zimefanyika/Zinafanyika 👏👏👏💪

Ila napendekeza awe anapewa interval ya kupumzika kidogo.

Juzi alikuwa Chalinze, baadaye M/City kwenye kilele Cha Wiki ya Maji hadi saa 1 Jioni.

Jana alikuwa Magomeni Kota

Leo yupo Mjini Kati kuzindua Dalaja la Sulender.

Kama mtaona inafaa walau awe anapewa siku 3-4 kupumzika kabla ya tukio linalofuata.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Inatafuta justification ya kuwa Dar mda mwingi..Na watu halo ndo wanazibua perdiems


Hongera sana Kwa Mhe. Rais, unapoona miradi inazinduliwa au kuwekwa mawe ya Msingi inamaana kazi zimefanyika/Zinafanyika 👏👏👏💪

Ila napendekeza awe anapewa interval ya kupumzika kidogo.

Juzi alikuwa Chalinze, baadaye M/City kwenye kilele Cha Wiki ya Maji hadi saa 1 Jioni.

Jana alikuwa Magomeni Kota

Leo yupo Mjini Kati kuzindua Dalaja la Sulender.

Kama mtaona inafaa walau awe anapewa siku 3-4 kupumzika kabla ya tukio linalofuata.
 
Inatafuta justification ya kuwa Dar mda mwingi..Na watu halo ndo wanazibua perdiems
Hahahaha...........wakiamua kula Perdiem hata wakiwa Dodoma si wataenda kuzindua/Kuweka mawe ya Msingi Mikoani?

Hivyo swala la Posho kwao ni lazima

Mimi worry yangu ni kwenye afya ya Mhe. Manake hapewi muda wa kupumzika.
 
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.


WhatsApp Image 2022-03-24 at 3.43.29 AM.jpeg
 
Hua nchi zingine wanaposema Rais wao yupo kwenye ziara flani, wanataja na chama anakotoka? achilia mbali wadhifa yake ndani ya chama.

Hii tabia ipo Tanzania tu, sometimes mnashusha sana hadhi ya Rais wa nchi kwa kutajataja Mambo ya uchama ndani yake.
Pambaf sana hawa jamaa..

Uzinduzi wa daraja na chama wapi na wapi? Anazindua kama Rais na sio mwenyekiti wa chama!!
 
Hua nchi zingine wanaposema Rais wao yupo kwenye ziara flani, wanataja na chama anakotoka? achilia mbali wadhifa yake ndani ya chama.

Hii tabia ipo Tanzania tu, sometimes mnashusha sana hadhi ya Rais wa nchi kwa kutajataja Mambo ya uchama ndani yake.
Wakati mwingine Ndiyo inasababisha hata vikao vya chama kufanyika Ikulu. Huu ni udhaifu mkubwa sana tunao.

Ingefaa hata ikawekwa kwenye Katiba mpya (sijui kama ilipendekezwa kwenye ile rasimu), kwamba Kiongozi akiisha chaguliwa kuwa Raisi wa nchi hawezi tena kunedelea na uwenyekiti wa Chama chake.

Hii iko wazi kabisa kwamba inagonganisha maslahi ya nchi/serikali na chama tawala. Na ni hapo hapo inapelekea hata Bunge kukosa nguvu kama taasisi huru ya Taifa.
 
Back
Top Bottom