Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa kwenye camera siyo tatizo iwapo anaonyesha nini amefanya kwa wananchi na ndo kinachotakiwa, maana matendo yanajiuza ila maneno matupu ni kelele kama za chura au debe tupu likipigwa kwa ngoma.Mama kila siku mbele ya camera
Ni madarasa ya kovidi..soon ataenda kuzindua ya mfano huko jambiani..Miradi ya awamu ya 6 bado kuanza kuzinduliwa
Kwenye matendo mtu hachokwi kinachochokwa ni maneno matupu akizindua vitu vinavyooneka mpaka huko 25 bado ataendelea kung'aa tu kikubwa asiangushwe kwenye vitendo.Mbeleni itachosha kumwona Rais kila siku kwenye headlines.
Ikifika 2025 atakuwa hana jipya, hana upya, hana mvuto. Ni jambo la kufikiria.
Kwamba ni miradi ya awamu ya 5, yeye alikuwa sehemu muhimu ya urais tena kikatiba "presidency " kwa hiyo tusimtenganishe.
Tumpe haki anayostahili.
Jangwani anajengaIla Kwa kupendezesha mji sawa,ila Kwa msaada sidhani,añgekuwa anazindua leo Jangwani hapo nadhani ingekuwa fahari zaidi ya kule salenda
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
Watu kwa nongwa mumezidi tena.Huu sio uzinduzi bali ni kampeni za 2025. Mama hajiamini ila ana uchu wa madaraka
Tena wako juu juu juu kabisa!!!wadada waushungi noumaah 🙂
🙂🙂
Peleka porojo zako huko. Roho zinawauma tu, wanazi wa sukuma gang.Mbeleni itachosha kumwona Rais kila siku kwenye headlines.
Ikifika 2025 atakuwa hana jipya, hana upya, hana mvuto. Ni jambo la kufikiria.
Kwamba ni miradi ya awamu ya 5, yeye alikuwa sehemu muhimu ya urais tena kikatiba "presidency " kwa hiyo tusimtenganishe.
Tumpe haki anayostahili.
Mtaalam wa mambo ya protocol kutoka hanang na ukerewe akitoa ushauri.Hongera sana Kwa Mhe. Rais, unapoona miradi inazinduliwa au kuwekwa mawe ya Msingi inamaana kazi zimefanyika/Zinafanyika [emoji122][emoji122][emoji122][emoji123]
Ila napendekeza awe anapewa interval ya kupumzika kidogo.
Juzi alikuwa Chalinze, baadaye M/City kwenye kilele Cha Wiki ya Maji hadi saa 1 Jioni.
Jana alikuwa Magomeni Kota
Leo yupo Mjini Kati kuzindua Dalaja la Sulender.
Kama mtaona inafaa walau awe anapewa siku 3-4 kupumzika kabla ya tukio linalofuata.
Unajichanganya sasa, wewe mwenyewe umewahi kuleta mabandiko humu yakihusi hayo. Alafu Sasa hivi unauliza ushahidiUweke ushahidi hadharani kuliko kutegemea hisia tu.
Si mulisema hajatoa fedha za kuendeleza miradi iliyoanzishwa awamu ya tano? Anaizindua kuwaonyesha kwamba kazi inaendelea haikusimama.Ila imekua too much, wiki yote hii kila siku.
Hapo ilitakiwa pawe pa kwanza......Jangwani anajenga
Hua nchi zingine wanaposema Rais wao yupo kwenye ziara flani, wanataja na chama anakotoka? achilia mbali wadhifa yake ndani ya chama.
Hii tabia ipo Tanzania tu, sometimes mnashusha sana hadhi ya Rais wa nchi kwa kutajataja Mambo ya uchama ndani yake.
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
Huyo bibi wa mashuka kichwani ana bore hata kusikiliza taarabu zakePeleka porojo zako huko. Roho zinawauma tu, wanazi wa sukuma gang.
Ongeza sauti mkuuHuyo bibi wa mashuka kichwani ana bore hata kusikiliza taarabu zake
NSSF ndio waliwekeza hela za MafaoDaraja la kigamboni nalo tunataka liwe bure kama hili.