Rais Samia azindua daraja la Selander (Tanzanite), ataka liwekewe nembo ya Tanzanite sio Mwenge

Rais Samia azindua daraja la Selander (Tanzanite), ataka liwekewe nembo ya Tanzanite sio Mwenge

Mama kila siku mbele ya camera
Kuwa kwenye camera siyo tatizo iwapo anaonyesha nini amefanya kwa wananchi na ndo kinachotakiwa, maana matendo yanajiuza ila maneno matupu ni kelele kama za chura au debe tupu likipigwa kwa ngoma.
 
Daraja la kigamboni nalo tunataka liwe bure kama hili.
 
Mbeleni itachosha kumwona Rais kila siku kwenye headlines.

Ikifika 2025 atakuwa hana jipya, hana upya, hana mvuto. Ni jambo la kufikiria.

Kwamba ni miradi ya awamu ya 5, yeye alikuwa sehemu muhimu ya urais tena kikatiba "presidency " kwa hiyo tusimtenganishe.

Tumpe haki anayostahili.
Kwenye matendo mtu hachokwi kinachochokwa ni maneno matupu akizindua vitu vinavyooneka mpaka huko 25 bado ataendelea kung'aa tu kikubwa asiangushwe kwenye vitendo.
 
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.


===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo

Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022

Waabudu moto watakuja juu.
 
Mbeleni itachosha kumwona Rais kila siku kwenye headlines.

Ikifika 2025 atakuwa hana jipya, hana upya, hana mvuto. Ni jambo la kufikiria.

Kwamba ni miradi ya awamu ya 5, yeye alikuwa sehemu muhimu ya urais tena kikatiba "presidency " kwa hiyo tusimtenganishe.

Tumpe haki anayostahili.
Peleka porojo zako huko. Roho zinawauma tu, wanazi wa sukuma gang.
 
Hongera sana Kwa Mhe. Rais, unapoona miradi inazinduliwa au kuwekwa mawe ya Msingi inamaana kazi zimefanyika/Zinafanyika [emoji122][emoji122][emoji122][emoji123]

Ila napendekeza awe anapewa interval ya kupumzika kidogo.

Juzi alikuwa Chalinze, baadaye M/City kwenye kilele Cha Wiki ya Maji hadi saa 1 Jioni.

Jana alikuwa Magomeni Kota

Leo yupo Mjini Kati kuzindua Dalaja la Sulender.

Kama mtaona inafaa walau awe anapewa siku 3-4 kupumzika kabla ya tukio linalofuata.
Mtaalam wa mambo ya protocol kutoka hanang na ukerewe akitoa ushauri.
 
Just like that ANATAKA !!!, Sio kushauri / kushauriana au kuwauliza watu wanasemaje ?

Duh yaani we are more of a Monarchy kushinda hata walioko Buckingham Palace
 
Hua nchi zingine wanaposema Rais wao yupo kwenye ziara flani, wanataja na chama anakotoka? achilia mbali wadhifa yake ndani ya chama.

Hii tabia ipo Tanzania tu, sometimes mnashusha sana hadhi ya Rais wa nchi kwa kutajataja Mambo ya uchama ndani yake.

Usishangae Mkuu
Hii ni approach ya mijitu inayoishi kwa kusifia wengine na ni common kwa nchi zetu za dunia ya tatu! Huoni hata watu wanavaa majezi yao wakati ziara au kazi fulani ni ya Kitaifa!
 
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.


===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo

Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022

Mwenye kuifahamu miradi ya kimkakati iliyoanzishwa na serikali ya awamu ya sita tafadhali.​

 
Back
Top Bottom