Rais Samia azindua daraja la Selander (Tanzanite), ataka liwekewe nembo ya Tanzanite sio Mwenge

Rais Samia azindua daraja la Selander (Tanzanite), ataka liwekewe nembo ya Tanzanite sio Mwenge

Anafurahia kuzindua miradi ya mtangulizi wake, kwanza amepoteza ushawishi kwa 100% maana inajulikana anapokea amri kutoka kwa msoga Gang
Nikajua anapokea amri kutoka kwako na wewe sasa ndio una ushawishi kumbe fala mmja tuu 😬😬
 
Achana nao mkuu hao Wana chuki binafsi ndio maana namkubali Samia wala hajali,mtukane,mnune ila yuko focused kwenye masuala anayoyaamini na anawachana ukweli..

Samia hayuko Ofisini kutafutwa kupendwa na hata Hawa wanaojisemesha humu hakuna wanachoweza kufanya.
Taifa la malalamiko tu

Tumekuwa

Asingezindua wangesema ana hujum mirad ya mtanguliz wake

Ova
 
Taifa la malalamiko tu

Tumekuwa

Asingezindua wangesema ana hujum mirad ya mtanguliz wake

Ova
Wataishia hivyo hivyo,baba analalamika na watoto atawarithisha kulalamika..

Nchi za Kijamaa ni hovyo Sana kwa sababu wamezoea vya bure na huwa wanajifariji kwa vimaneno vya wanyonge Ili kutafuta justification ya kufaidi jasho la mwingine.

This time around huu upuuzi hakuna .
 
Hua nchi zingine wanaposema Rais wao yupo kwenye ziara flani, wanataja na chama anakotoka? achilia mbali wadhifa yake ndani ya chama.

Hii tabia ipo Tanzania tu, sometimes mnashusha sana hadhi ya Rais wa nchi kwa kutajataja Mambo ya uchama ndani yake.
Ungeyasema haya kipindi cha fascist jiwe ungeeleweka,lakini sasa hivi ni Wivu tuu...unaokusumbua.
 
Hata mamake Yesu, Bi Maryam, sijawahi muona akikosa "mashuka" kichwani.

Kwa kukujuza tu, ile huitwa mitandio, ni spesho kwa kazi hiyo, siyo nyinyi wakuja mnafungasha kitenge doti nzima kichwani.

Mama'ko vipi, hajifuniki "mashuka" kichwani? Au mpaka akieda mazikoni na kanisani tu?
Mamako je, anavaa nguo ya ndani akiwa msikitini?
 
Mamako je, anavaa nguo ya ndani akiwa msikitini?
Yanini? Ina faida gani?

Mamako wewe wakuja kaanza lini kulitupa kaniki? Hata hizo nguo za ndani mama'ko anazijuwa kweli? Ikiwa wewe huzijuwi itakuwa yeye?

Vipi, mashuka ya kichani huwa anafunga kitenge? doti ngapi?
 
Anazindua miradi ya Mtangulizi Wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanglizi wake ndio nani? Kama niMagufuli, hata yeye aliuanzisha huo mradi wa daraja kwa kuwa ujemzi tu ulianzia kipindi chake, sio waze lake wala hakuu initiate yeye, hata siku ya kuweka jiwe la msingi, balozi wa Korea alilisema hilo. Humjwi ni nani Master wa Miradi mikubwa yote Tanzania?
 
Ungeyasema haya kipindi cha fascist jiwe ungeeleweka,lakini sasa hivi ni Wivu tuu...unaokusumbua.
Yote niliyoyaandika kipindi Cha fascist unayakumbuka? Kubali kuyasema makosa au mabaya nyakati zote regardless ni kiongozi yupi anatawala.
 
Back
Top Bottom