Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hata mtangulizi wake naye alizindua miradi ya mtanguluzi wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo tunataka hii Serikali ilinunue hilo deni, yawezekana tu, hizo bil 250 zinatutesa sana - kwanza sasa hivi foleni asubuhi kulipia ni usumbufu mtupu.NSSF ndio waliwekeza hela za Mafao
Mwenye kuifahamu miradi ya kimkakati iliyoanzishwa na serikali ya awamu ya sita tafadhali.
Serikali iliyokuweo ni ya awamu ya tano.serikali ni ile ile.
Kasoro mtu mmoja hayupo
Serikali iliyokuweo ni ya awamu ya tano.
Serikali iliyopo ni ya awamu ya sita.
Hata Daraja la kigambon lilikuwa awam ya nne likazinguliwa awam ya TanoLini miradi ya wamu ya sita itaanza kuzinduliwa? Tyr tumeshaumaliza mwaka
Kungekuwepo na uchaguzi huyu mama ccm wangempa ubalozi nchini Botswana.Kwa uchaguzi upi awamu ya 6?
Kungekuwepo na uchaguzi huyu mama ccm wangempa ubalozi nchini Botswana.
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
Hata mama'ke Yesu, Bi Maryam, sijawahi muona akikosa kujitanda "mashuka" kichwani.Huyo bibi wa mashuka kichwani ana bore hata kusikiliza taarabu zake
Usipende vya dezondiyo tunataka hii Serikali ilinunue hilo deni, yawezekana tu, hizo bil 250 zinatutesa sana - kwanza sasa hivi foleni asubuhi kulipia ni usumbufu mtupu.
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
Miradi huwa ina cross over awamu, tofauti na mtazamo wako ulivyo.Miradi ya awamu ya 6 bado kuanza kuzinduliwa
Hata Mwendazake alizindua miradi ya Jk
Rais Samia Hana huo ujinga wa kufanya Kazi kwa mihemko Ili akufurahishe wewe.Ila ninachopendea siku za uzinduzi miradi, ni kwamba huwa ni siku za kutoa ahadi na matamko mapya yenye manufaa baadae
Inawezekana kabisa leo akaahidi na kutoa tamko kuwa ujenzi wa daraja la jangwani uanze maandalizi mara moja. Inawezekana kabisa.
Wewe ndio huna jipya kwa. Chuki zako ila Rais ana mapya kila siku.Hii kazi anaiweza sn zaidi ya hapo hakuna jipya
Achana nao mkuu hao Wana chuki binafsi ndio maana namkubali Samia wala hajali,mtukane,mnune ila yuko focused kwenye masuala anayoyaamini na anawachana ukweli..WABONGO HAMJUI MNATAKA NINI!
Rais asingelizindua hilo daraja mngeishia pia kulalamika
Kwa style hii acha wazidi kutunyoosha tu
Ova