Maamuzi ya hovyo ya serikali ya awamu ya tano. Utajengaje barabara ya kilomita moja kwa sh, 243 Bilioni katikati ya nchi maskini km Tanzania ambapo bado mikoa na wilaya karbu zote ni barabara ya vumbi eti unapendezesha mji wa DSM? Ni sawa na mradi wa daraja la Kigogo-Busisi unaogharimu zaidi ya Bilioni 700 kwa urefu wa k 3.2 tu! Kisa viongozi wao wanaishi katika hiyo miji mikubwa. Huu ni ubaguzi na unyanyasaji mkubwa kwa watanzania. Hebu angalia mji kama wa MBULU ULIOJENGWA MWAKA 1905 mpaka leo haufikiki kwa barabara ya lami ni umbali wa km 75 tu, gharama yake haifiki hata Bilioni 100. Nenda kaangalie vumbi liliko meneo km Loliondo, Kiteto, Simanjiro utafikiri ni maeneo ambayo bado hajapata Uhuru. Rais pekee nitakayemkumbuka ktkt maisha yangu ni JAKAYA MRISHO KIKWETE. HUYU MZEE HAKUONESHA HATA TONE LA UBAGUZI WA AINA YEYOTE. HAYATI MAGUFULI NDIO MUASISI WA HUU UBAGUZI NA MAMA BILA KUSTUKIA ANAUENDELEZA. SUBIRINI MTASTUKIA MMESAGAWA NCHI. MSIJEFIKIRI WA TANZANIA WANAOTAABIKA KTK BARABARA ZA VUMBI TANGIA NCHI IPATE UHURU WANAFURAHIA KUSHUDIA MAENEO MENGINE ZINAJENGWA BARABARA JUU YA BAHARI NA MAZIWA. HUKU NI KUWADHARAU, KUWAPUUZA, KUWABAGUA NDANI YA NCHI YAO. HT MRADI WA SGR UNA MSAADA MDOGO SANA KTK NCHI HII. NI MRADI UNAOPITIA KTK MIKOA MICHACHE SANA WAKATI HUKU MAENEO MENGI YA NCHI HII WANANCHI WAKITAABIKA NA VUMBI NA MATOPE NYAKATI ZA MVUAFuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
Nilikuwa nawaza ule mwenge pale darajani una maana gani.Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
Hata mtangulizi wake mwanzo alikua anazindua miradi ya kikwete!!
Ni kama mtangulizi wake nae alikua anazindua miradi ya kikweteMiradi ya awamu ya 6 bado kuanza kuzinduliwa
Ndio lipo sasa 😂😂 lisingekuepo kungekua na njia nyingine!!Inchi nyingi zilizoendelea lazima ziwe na barabara zaidi ya moja ya kuingia mjini.
Hvi Mfano daraja la salender lingekuwa halipo,
Leo watu wangekwendaje mjini na jangwani kumejaa maji?
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Wewe ni kenge,unaweza nipa idadi ya miradi aliyozindua Samia na mimi nikupe ya Mwendazake.Haikuwa Mingi kama Ya Jpm Tena Ukilinganisha na Mtu alokaa Madarakani
Sent using Jamii Forums mobile app
Akisafiri mnasema,akienda kuzindua mnasema.Wazee wa propaganda wa Sisiemu wanafeli sana...
Rais kila siku yuko kwenye runinga.
Sensa imewekwa mwezi wa kumi tena. So necta na tamisemi wajiandae kurekebisha ratiba zao??Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
Hii inamantiki, ahsante mama kuliona hiloFuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
Spesho = maalum?Hata mamake Yesu, Bi Maryam, sijawahi muona akikosa "mashuka" kichwani.
Kwa kukujuza tu, ile huitwa mitandio, ni spesho kwa kazi hiyo, siyo nyinyi wakuja mnafungasha kitenge doti nzima kichwani.
Mama'ko vipi, hajifuniki "mashuka" kichwani? Au mpaka akieda mazikoni na kanisani tu?
Ndy tungepita wapi sasa?Umesahau Jangwani pia inajaa maji mpaka mvua iache!!!!
Akisafiri mnasema,akienda kuzindua mnasema.
Kwanza naunga mkono hoja Rais azindue miradi mingi kadiri inavyowezekana ila tunaomba aje na mikoa mingine.
Kwa mda sasa amekuwa akitembelea Dar,Dom,Kaskazini , Lake zone na Zanzibar.
Kusini,magharibi na Nyanda za Juu sijamuona.
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022