Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 586
- 590
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Agakhan - Upanga jijini Dar Es Salaam ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Samia Suluhu Hassan anazindua daraja la Selander (Tanzanite) na barabara unganishi leo tarehe 24 Machi 2022.
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022
===
Rais Samia Suluhu Hassan ametaka alama ya Mwenge katika Daraja la Tanzanite iondolewe na iwekwe alama ya Tanzanite ili watu waione inafananaje. Rais amesema Mwenge ni tunu ya nchi, lakini wananchi wametaka Tanzanite ili kukamilisha jina la Daraja hilo
Pamoja na hayo Rais ametoa wito kwa wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika Oktoba 2022