#COVID19 Rais Samia azindua Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya COVID-19 Jijini Dodoma

Kama umewahi kufanya kazi taasisi za kimataifa
Inauguration ni kitu kinachopewa kipaumbeke na huwa na bajeti yake
Kinachofanyika ni public advocacy ambacho ni kitu muhimu sana
Kila activity huwa na budget cost kwaio wako ndani ya bajeti
 
Inapelekea huu mkutano wa Leo uzinduzi wa kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa taifa na mapambano dhidi ya uviko 19 umetumia fedha nyingi sana. Nikifuatilia utangulizi wake utangamua Hilo kwa idadi kubwa ya waalikwa
 
Ndio nauliza kweli tupo serious kabisa tunapambana nao ? Au tunafanya sarakasi ili kukidhi matakwa ya kupokea misaada ? Vyombo vya usafiri vinajaza nyomi kama kawaida, viwanja vya michezo, kkabu,bar...sioni mtu anayehangaika na UVIKO-19 kwa sasa

Hivi kweli cccm wanadhani watanzania vyote vichwa vyetu ni urembo tu si vya kufikiri? Punguzeni huo ujinga wenu japo kdg jamani.
 
Unalakubadilisha au unatuita ili tupige udaku kwa pesa waliotumia wakubwa..?
 
Si mmenivua cheo kwenye kamati ya bunge! poa bhana.
 

Rais Samia huwa anaswali lini na wapi? Kuuliza sio ujinga​

 
Mama ameamua wajameni sasa ni mwendo mdundo, haya ndio maendeleo ya kwelii.

#UTAIFA MBELE
#TWENDE NA MAMA
 
Kwa nilichokisikia kwa Waziri wa Fedha mama ameifanyia sekta ya Afya overhal ,haijawi kutokea hii.

Maji saizi ni kila sehemu,madarasa 18,000 ..ma Veta,noma sana nchi nzima itakuwa construction site safi Sana Mungu ambariki.

Nchi hii imekopa pesa miaka mingi ila tija yake hajakuwa kubwa sasa,sasa Tilioni moja imeibadili sekta ya Afya,elimu na maji kuwa yenye tija kwa umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…