Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Watu wa pwani wanapenda sana sherehe,ila Mkapa hakuwa mtu wa Pwani,haya mambo wangeweza kufanya tokea ikulu na mawaziri wachache tuYaani wanaongea maneno mengi hela zenyewe za kukopa! Yaani hawa hawana maana!
Noma sana saizi hata ukienda hospital una uhakika wa vifaa tiba.Mama ameamua wajameni sasa ni mwendo mdundo, haya ndio maendeleo ya kwelii.
#UTAIFA MBELE
#TWENDE NA MAMA
Ahahahaaha yaani nyie watu,hayo yote si ni matamanio tu,shida ni utekelezaji,shida yetu kama Taifa ni usimamizi wa matamanio yetuKwa nilichokisikia kwa Waziri wa Fedha mama ameifanyia sekta ya Afya overhal ,haijawi kutokea hii.
Maji saizi ni kila sehemu,madarasa 18,000 ..ma Veta,noma sana nchi nzima itakuwa construction site safi Sana Mungu ambariki.
Nchi hii imekopa pesa miaka mingi ila tija yake hajakuwa kubwa sasa,sasa Tilioni moja imeibadili sekta ya Afya,elimu na maji kuwa yenye tija kwa umma.
Nyie tukiwazoea,ni historian hiyo ndio maana inakuwa sherehe..MRI machine 29 kutoka 2 wewe unaonaje hapo?Watu wa pwani wanapenda sana sherehe,ila Mkapa hakuwa mtu wa Pwani,haya mambo wangeweza kufanya tokea ikulu na mawaziri wachache tu
Pesa zipo kwa nini yasitekelezwe? Una mashaka gani?Ahahahaaha yaani nyie watu,hayo yote si ni matamanio tu,shida ni utekelezaji,shida yetu kama Taifa ni usimamizi wa matamanio yetu
Wameaibika,afu Waziri kasema Wengine wamekopeshwa kwa riba kubwa sisi ni pesa za bure na mkopo wa riba ndogo.wale waliokuwa wanabeza safari za mama waje hapa
Mkuu sh Til 1.3 less bil 130 ya Zanzibar unabakia na karibu 1.17 T,,hapa pesa za ufuatiliaji na utawala ni hizo bil 170 ,kwa hiyo Til.1 ni bil.1,000 ni pesa mingi Sana.Hayo yote aliyoyasema Waziri wa Fedha yatatekelezwa. Hizo fedha zitatosha kweli???
Au kuna fungu lingine tofauti na hilo.
Tulia sindano za Samia zikuingie,Samia ndio ataweka historia kubwa nchi hii..Yaleyale ya Mquere!!!
Kilimo kwanza😆😆😆
Big results now😂😂😂
Tanzania Beyond Tomorrow🤣🤣🤣
Wizara ya Fedha na BoT wajitahidi kudhibiti mfumuko wa bei maana hii ni Neema kwa watu wa sekta ya ujenzi,manunuzi,zabuni nk..Naendelea kufatilia tukio hili ambalo liko Mbashara.
Maeneo yaliyonufaika na fedha hizi ni Huduma za jamii i.e Afya, Maji na Elimu. Licha ya kuwa fedha hizi zitakwenda kuhudumia maeneo hayo matatu lakini ni matumaini yangu fedha hizi zitakwenda kuongeza mzunguko wa fedha mtaani. Tunajua ukata uliopo mtaani, hivyo kupitia shughuli za Ujenzi wa Vyumba vya madarasa, vituo vya afya, miradi ya Maji n.k iwe kupitia Ukandarasi, Uzabuni, Local Fundi fedha hizi zitakuja mtaani
Kiukweli nitumie jukwaa hili kumpongeza Mhe. Rais kuhusu mgawanyo wa fedha uliofanyika hasa maeneo ambayo zimeelekezwa.
Wahandisi, MaQS let's join hata kuwa Local Fundi kupiga hizo deal za Ujenzi
kuongoza Tanzania n kazi watu wanamuonea wivu hadi Rais wa nchiWameaibika,afu Waziri kasema Wengine wamekopeshwa kwa riba kubwa sisi ni pesa za bure na mkopo wa riba ndogo.
Kuna zingine za kuimarisha reserves za forex ya nchi zinakuja tril.2.2 hivi maana Hali ya Uchumi ilianza kuanguka..
Juzi tuu Sida wamemwaga mabilioni yaani saizi nchi yote ni site ya Ujenzi..
Bajeti ya Mwaka ujao itakuwa kubwa Sana hasa kwenye miundombinu,maji,ajira nk Kwa sababu mzigo mkubwa utakuwa umepunguzwa mwaka huu
Utafikiri hivyo vitu na maendeleo anaenda kufanya nyumbani kwake 😆😆kuongoza Tanzania n kazi watu wanamuonea wivu hadi Rais wa nchi
Kuzindua kampeni ya maendeleo ndo kitu gani??Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan akizindua kampeni ya maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19 katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete jijini Dodoma leo 10 Oktoba 2021.
Fuatilia matangazo hapa