Wazenji ni mafii ya bata kichwani ni kama huyu zuzu Opportunity Cost The Sunk Cost FallacyNilikuwa nasikia tu kuwa wazanzibar wengi ni Vilaza ila sasa nimeamini ni Vilaza kweli na si ajabu shule zao kila Mwaka kushika mkia Mitihani ya NECTA
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Nani asiye jua kuwa alikuwa house girl wa kikwetiHuwezi kupewa, tatizo ni group of haters.
Mama ana exposure ya kutosha, amepiga shule UK halafu kuna wachamba wima wanaomchukulia powa kuzani hana uelewa wa mambo ya first world.
.Nani asiye jua kuwa alikuwa house girl wa kikweti
Kwa list ya May 2 2022, nchi inayoongoza kwa unafuu wa bei ya petroli ni Venezuela, Marekani ni ya 62, Tanzania ni ya 90.Alikua anasema bei ya mafuta hata Marekani ni kubwa na ni kubwa kuliko Tanzania
Ukimpara anakuparura.Tulishasema huyu Bibi uwezo mdogo mtafutieni kazi nyingne ya kufanya. Urais wa TZ hauwezi.
Aliekuambia tunayo ni nani? Hiyo gesi inamilukiwa na wenyewe tuliowapa bure kwa kupitisha mikataba kwa hati ya dharuraHivi si tuna Gas 55 trillion cubic meters, iko wapi yote? Ulaya wanatafuta mbadala wa kudumu. Wako tayari kumwaga pesa ili wapate usalama wa gas.
Na Maisha Marekani Ni Magumu kuliko Tanzania?[emoji38]
Kuongozwa na vihiyo ni kazi kweli. Ku-comprehend vitu vidogo kabisa inakuwa ni issue kubwa mno kwao.
Mshahara wa kima cha chini kwa Mfanyakazi wa Marekani nadhani ni mara ishirini kwa Tanzania.
Hii comment ina maanisha nini mkuu?Ukimpara anakuparura.
Umpapase na yeye atakupapasa huku anakupulizia ufuuu ufuuuu😄😄Hii comment ina maanisha nini mkuu?
Juzi hapa alisema mafuta yatapanda na kila kitu kitapanda...REASONING ABILITY yake ndo inaniacha na maswali, juzi tu hapa alisema hata MAREKANI umeme unakatika kwahiyo Wadanganyika tusimsumbe Waziri Makamba...
AiseeeUmpapase na yeye atakupapasa huku anakupulizia ufuuu ufuuuu😄😄