The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mpaka katoa USHUNGI ili naye aonekane ni Mjeshi.Amiri Jeshi Mkuu, yupo fiti.
safi sana.
Imara zaidi ya Chuma
Kweli bado mambo yanaongozwa Kimagufuligufuli ..... na itachukua muda mrefu Umagufuli kuondoka Tanzania. Maana kuna watu wanajaribu kutumia hiyo advantage ya huo mfumo!!