Double Elephants
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 522
- 464
Mbowe siyo gaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekuchafua wapi?Yaani Katiba Mpya idaiwe na Jambazi?!
hivi wewe unajua kuwa Katiba ni kitu kitakatifu hakiwezi kudaiwa na mtu MCHAFU kama Mboe!!!
Uko sahihiHuo ugaidi anaotajataja ipo siku Ugaidi wenyewe halisi utakuja ndio ataelewa
Gaidi mbona lilishazikwa huko Chat
Madhara ya chanjo...Wapi pana ugaidi?
Hivi mama yupo mzima kweli?
Atatuletea Msumbiji,then who else?
Mama kachoka akapumzike!
.....atoaye pumzi amemsikia, na anajua ujumbe wake ulimaanisha niniRais Samia amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi). Ameeleza hayo katika Ufunguzi wa Kikao cha Mkuu wa Majeshi kinachofanyika Ngome ya Lugalo
Ameeleza, "Kwa hulka ya Ugaidi, Mtu yeyote bila kujali Rangi, Dini, Umri, Itikadi, Kipato au Uraia anaweza kuwa mhanga wa Ugaidi. Mifano ipo nanyi mnaijua"
Rais ameongeza kuwa, "Mapambano dhidi ya tishio la Ugaidi si suala la Vyombo vya Ulinzi na Usalama peke yenu, bali linahitaji ushirikiano kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo Vyombo vya Habari na Asasi za Kiraia"
View attachment 2011253
Picha ya Rungwe imeingiaje hapo?===
Rais Samia Suluhu Hassan wakati akifungua kikao cha Mkuu wa Majeshi CDF, Chief of defence Forces General Venance Mabayo na makamanda wengine wa vikosi mbalimbali vya jeshi Lugalo jijini Dar es salaam,
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa amevalia Sara za Jeshi la JWTZ kama amiri Jeshi mkuu wa majeshi yote Tanzania alionekana kuvutia na kushawishi wengi hasa kutokana na ujasiri na ukakamavu wake aliouonesha kabla,wakati na baada ya kikao kile kwani alifanya kikao kingine Ikulu Jijini Dar es salaam na mwakilishi wa Bank ya dunia ( WB )
Rais Samia Suluhu Hassan amewashukuru na kuwapongeza askari wote wa majeshi yote kwa namna wanavyoendelea kuitunza na kuilinda amani ya Taifa letu la Tanzania kwa ustadi na umahiri mkubwa huku wakitanguliza wivu na Uzalendo kwa Taifa,
Aidha, Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza lazima amani ya Taifa letu ilindwe kwa "gharama yeyote" kwani amani ndio msingi wa maendeleo yote ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi,hakuna amani hakuna maendeleo hakuna Taifa,
Rais Samia Suluhu amesema hakuna mwekezaji yoyote awe wa nje au wandani anaweza kuwekeza mtaji wake mahali pasipokuwa na "amani " kwani amani ndio kigezo namba moja cha kukuza uwekezaji katika nchi yoyote ile hapa Duniani,Hakika hakuna kama Samia,
Mis post mjomba nimeitoaPicha ya Rungwe imeingiaje hapo?
Mama aliwaka Sana Jana aise,Rais Samia amepozi kama vile ni askari mzoefu jeshini
Ameonyesha ukakamavu na mamlaka aliyonayo lakini pia zilimkaa na kumpendeza.Mama aliwaka Sana Jana aise,
Kama Rais tu tumepata aise, Mama ni bonge la Rais,Ameonyesha ukakamavu na mamlaka aliyonayo lakini pia zilimkaa na kumpendeza.
Kwani Wapinzani ndio mnataka kuivuruga amani yetu?Akili za Viongozi wa Tanzania, ukiwasikia "tutailinda amani kwa gharama yoyote ile" basi wanamaanisha "dhidi ya wapinzani" na wala sio dhidi ya maadui kutoka nje!!
Nani amekuambia mimi ni mpinzani hadi usema "mnataka"?Kwani Wapinzani ndio mnataka kuivuruga amani yetu?
Amani mama yake HAKI, wao watailinda hata wasipotenda HAKIAkili za Viongozi wa Tanzania, ukiwasikia "tutailinda amani kwa gharama yoyote ile" basi wanamaanisha "dhidi ya wapinzani" na wala sio dhidi ya maadui kutoka nje!!