Rais Samia: Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi)

Rais Samia: Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi)

Rais Samia amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi). Ameeleza hayo katika Ufunguzi wa Kikao cha Mkuu wa Majeshi kinachofanyika Ngome ya Lugalo

Ameeleza, "Kwa hulka ya Ugaidi, Mtu yeyote bila kujali Rangi, Dini, Umri, Itikadi, Kipato au Uraia anaweza kuwa mhanga wa Ugaidi. Mifano ipo nanyi mnaijua"

Rais ameongeza kuwa, "Mapambano dhidi ya tishio la Ugaidi si suala la Vyombo vya Ulinzi na Usalama peke yenu, bali linahitaji ushirikiano kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo Vyombo vya Habari na Asasi za Kiraia"

View attachment 2011253
Jamani huyu aitwe haraka kwenye ushahidi wa kesi anayoibumba!
 
Embu ajaribu kumuuliza jirani yake mtoto wa muasisi wa jamhuri ya kenya kama ugaidi ni suala jipya au kuna ili tujue ugaidi ni nini.

Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app
 
Rais Samia amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi). Ameeleza hayo katika Ufunguzi wa Kikao cha Mkuu wa Majeshi kinachofanyika Ngome ya Lugalo

Ameeleza, "Kwa hulka ya Ugaidi, Mtu yeyote bila kujali Rangi, Dini, Umri, Itikadi, Kipato au Uraia anaweza kuwa mhanga wa Ugaidi. Mifano ipo nanyi mnaijua"

Rais ameongeza kuwa, "Mapambano dhidi ya tishio la Ugaidi si suala la Vyombo vya Ulinzi na Usalama peke yenu, bali linahitaji ushirikiano kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo Vyombo vya Habari na Asasi za Kiraia"

View attachment 2011253
Kwa mara ya kwanza nimeliona sikio zuri la dada SSH. Binti mbichi kabisa kumbe
 
Mpaka hapa "mbowe akichomoka hii kesi Basi akachinje ng'ombe mbuzi na kondoo mlimani kutoa shukrani .."


Kwa hizo kauli za raisi mbowe hawezi kuchomoka kwa namna yeyote ,awe gaidi aisiwe gaidi ....mbowe lazima atanyea jela ......

Pole Sana mbowe ....!!!!!
Mungu ndiye muweza wa Yote. Hatukati Tamaa tuna Mungu, Mungu wa Israel.
 
Jeshi la TZ ni mali ya serikali/rais. ndiyo sababu hata commission anawapa yeye hata kuwapandisha vyeo anaamua yeye, tofauti na nchi zingine kama Misri ambapo jeshi ni kama mhimili unajitegemea.

rais kuvaa gwanda la jeshi lake, tatizo liko wapi?
 
Wamarekani wanatafuta wateja wapya baada ya kuondoka Afghanistani, tujiandae na matukio ya kusetiwa ikiwa hawatopewa wanachokita. Msumbiji Mfaransa kala conrtact kupitia Mr.Slim, Guinea kaichukua kiulaini, Mmarekani nae hataki kupitwa.
 
Mboe na Genge lake la Kihalifu wamesha pata salamu.
Mnyika anapaswa awakataze viongozi wenzake na wana chama wake baadhi wenye tabia za kigaidi waache tabia za kihalifu kama vile;
kuiombea mambo mabaya nchi, kuvurunga amani, kuto kutii sheria, ujambazi, uzaji madawa, kupanga njama za kuwauwa viongozi wa serikali au kufurahia vifo vyao n.k waache.
Au sema tu ‘waache kudai katiba mpya!’ Hayo mengine ni ushuzi tu!
 
Gaidi nani? Hamza na Mbowe?pumbaf sana hawa, naona wanautaka ugaidi kwa nguvu ili kuwatia hofu wananchi then waonekane wao ndio wenye uwezo wa kuwalinda, kutofanyika uchaguzi au kuiba kura, michezo michafu mwisho wake ni aibu tuu, kukosekana kwa amani na hasara kubwa kwa taifa
 
Kama mlivyomfanyia gaidi Hamza, wapuuzi sana nyie na kama moto upo huo moto unawahusu
Mkuu kwani ugaidi una kwao ?!!!

Hata wale wanaojilipua na kuua wasio na hatia pia jamaa zao HUWAPONGEZA.....
 
Au sema tu ‘waache kudai katiba mpya!’ Hayo mengine ni ushuzi tu!
Yaani Katiba Mpya idaiwe na Jambazi?!
hivi wewe unajua kuwa Katiba ni kitu kitakatifu hakiwezi kudaiwa na mtu MCHAFU kama Mboe!!!
 
Magaidi si wa kuvumiliwa ...

Madhara ya ugaidi huwa ni maumivu makubwa kwa wasio na hatia......
 
Back
Top Bottom