The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Mpaka katoa USHUNGI ili naye aonekane ni Mjeshi.Amiri Jeshi Mkuu, yupo fiti.
safi sana.
Imara zaidi ya Chuma
Siku Magu amevaa hivi alitukanwa sana!Mcheki apo View attachment 2011263
Mbowe sio GaidRais Samia amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi). Ameeleza hayo katika Ufunguzi wa Kikao cha Mkuu wa Majeshi kinachofanyika Ngome ya Lugalo
Ameeleza, "Kwa hulka ya Ugaidi, Mtu yeyote bila kujali Rangi, Dini, Umri, Itikadi, Kipato au Uraia anaweza kuwa mhanga wa Ugaidi. Mifano ipo nanyi mnaijua"
Rais ameongeza kuwa, "Mapambano dhidi ya tishio la Ugaidi si suala la Vyombo vya Ulinzi na Usalama peke yenu, bali linahitaji ushirikiano kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo Vyombo vya Habari na Asasi za Kiraia"
View attachment 2011253
baada ya umeme na majiUgaidi umekuwa TATIZO JIPYA? 🙄
Huo ugaidi anaotajataja ipo siku Ugaidi wenyewe halisi utakuja ndio ataelewaRais Samia amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi). Ameeleza hayo katika Ufunguzi wa Kikao cha Mkuu wa Majeshi kinachofanyika Ngome ya Lugalo
Ameeleza, "Kwa hulka ya Ugaidi, Mtu yeyote bila kujali Rangi, Dini, Umri, Itikadi, Kipato au Uraia anaweza kuwa mhanga wa Ugaidi. Mifano ipo nanyi mnaijua"
Rais ameongeza kuwa, "Mapambano dhidi ya tishio la Ugaidi si suala la Vyombo vya Ulinzi na Usalama peke yenu, bali linahitaji ushirikiano kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo Vyombo vya Habari na Asasi za Kiraia"
View attachment 2011253
Hii kiboko yani hangaya badala alenge gaidi halisi anashoot sanamu...!
wacheni akaaandamizee.Mpaka katoa USHUNGI ili naye aonekane ni Mjeshi.
Kweli bado mambo yanaongozwa Kimagufuligufuli ..... na itachukua muda mrefu Umagufuli kuondoka Tanzania. Maana kuna watu wanajaribu kutumia hiyo advantage ya huo mfumo!!
Nadhani anakazia kesi.Rais Samia amesema Dunia kwa sasa inakabiliwa na tatizo jipya la Usalama (Ugaidi). Ameeleza hayo katika Ufunguzi wa Kikao cha Mkuu wa Majeshi kinachofanyika Ngome ya Lugalo
Ameeleza, "Kwa hulka ya Ugaidi, Mtu yeyote bila kujali Rangi, Dini, Umri, Itikadi, Kipato au Uraia anaweza kuwa mhanga wa Ugaidi. Mifano ipo nanyi mnaijua"
Rais ameongeza kuwa, "Mapambano dhidi ya tishio la Ugaidi si suala la Vyombo vya Ulinzi na Usalama peke yenu, bali linahitaji ushirikiano kutoka Taasisi mbalimbali ikiwemo Vyombo vya Habari na Asasi za Kiraia"
View attachment 2011253
Ndiyo ukweliMbowe sio gaidi
Gaidi mbona lilishazikwa huko Chato.Mbowe ni gaidi
Kweli tupuGaidi mbona lilishazikwa huko Chato.
subiri mumeo abambikwe kesi ndiyo utapata akiliMboe na Genge lake la Kihalifu wamesha pata salamu.
Mnyika anapaswa awakataze viongozi wenzake na wana chama wake baadhi wenye tabia za kigaidi waache tabia za kihalifu kama vile;
kuiombea mambo mabaya nchi, kuvurunga amani, kuto kutii sheria, ujambazi, uzaji madawa, kupanga njama za kuwauwa viongozi wa serikali au kufurahia vifo vyao n.k waache.
Bibie bila Ushungi anapendeza kilichobakia atupe Katiba Mpya tu.Mpaka katoa USHUNGI