kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,072
- 1,545
Ni sawa tu..kupanga bajeti Ni kuonesha umuhimu....kutumia kwa.shughili maalum Ni kutoa zwadi ka Umma badala yankuzilaIla kama Serikali haina mpango wa kuadhimisha Sherehe za Muungano, kwanini wanatenga bajeti yake kila mwaka!?
Kwanini fedha hizo in a first place zisipangiwe shughuli za maendeleo badala ya kuja kuzibadilishia gia angani ilhali kuna vifungu vingi tu vya muhimu vinakosa bajeti katika wakati wa kupanga.
Hili litam - cost..
Viongozi wetu hawa hawajui kuwa Wa - Tanganyika tulio zaidi ya 55,000,000 ukilinganisha na Wazanzibari wasiozidi 2,000,000 hawaoni mantiki ya kuongozwa na Rais raia toka taifa jingine dogo kabisa...
Huu muungano HAPANA. Binafsi mimi huwa sielewi huu ni muungano wa aina gani. Ni muungano wa kulazimishana...
HAYA MAMBO SIYO KABISA. Si ajabu hili lika - speed upya na haraka HISIA ZA UBOVU/KASORO za muungano huu...
I predict kuwa, mambo haya yanayoonekana kuwa madogo dogo, tutambue kuwa, yanaweza ku - speed mwisho wake kabla ya 2025...
Ajifunze kwa marehemu Magufuli. He was selfish President, si msikivu, aliyejidhania ni mtakatifu kuliko Mungu, mwenye kiburi, aliyejiona ana akili kuliko watanzania wote..
Mwisho wake, akafa kifo cha ajabu na çha kusikitisha...
Samoa jifunze kwa tukio hili. Go and follow the right path. I see her, she is almost going through the same way...
Tatizo la viongozi wetu ni ugumu wao au pengine hawataki kusikiliza na pengine kupokea ushauri wa watu "wadogo" na "wapumbavu" kama sisi...
Hapa ndipo anapofeli na wajanja wamepata nafasi ya kupiga, SSH kusema kweli atapata taabu sana naona wapigaji wakiongezeka kwa speed ya Joboasiishia hapo tu, tunataka kujua hizo pesa zimefanya shughuli gani, kipindi cha jpm tumeona hosptali ya ya uhuru dodoma, barabara za morocco- mwenge etc. samia amefeli kusema zikafanye shughuli zingine. ingekuwa jjpm angeshazialocate kabisa hizo hela zikafanye nini.
... futeni hilo neno Tanzania kwenye kirefu cha TRA tujue moja kwamba ni ya Tanganyika pekee. Huu muungano ni kizungumkuti sana.TRA haihusiki kabisa kule Zanzibar.
Zanzibar wanna taasisi yao ya kukusanya mapato
Zimepatikana vipi?Pesa ni za sherehe ya Muungano, lazima wanufaika wawe waliounda muungano akiwemo Zanzibar
oohh vizur, hiv makusanyo ya kodi kutoka zanzibar yanaingia kwenye muungano?Bara hakuna serikali, pesa zinatoka kwenye serikali ya Muungano
Ni kwa utaratibu ule ule ambao ulitumika kwa Chato. Mama SSH keshasema yeye na mwendazake ni kitu kimoja. Sasa umeshaonyeshwa mkia wa nyani ulipo sasa naniliu yake unataka kuitafutia wapi?Labda niulize kuwa pesa za gharama za Muungano huwa zinatoka wapi au kwa utaratibu gani.
Pili je Zanzibar kuna pesa ambayo wanachangia kwenye Muungano kusema sasa warudishiwe sehemu?
Kinyume na hapo Tanganyika haipaswi iendelee kuifadhili Zanzibar. Otherwise tuambiwe kuwa nao Zanzibar kuna pesa huwa wanachangia huku kwetu.
Mh Rais asitake sasa kuwa nyonya wabara kwa jasho lao kupafaidisha kwao. Haya ndo madhara ya kuwa na Rais kutoka Zanzibar. Kama kuna sehemu anaona Zanzibar wananyonywa aseme wazi na hiyo mianya izibwe.
Lakini siyo sisi huku tupigike halafu jamaa wawe wanakula tende na urojo tu mwisho wa siku wapate pesa zetu.
Pesa zigawanywe pande zote mbili kivipi sasa kwani kuna serikali ya Tanganyika pia?Labda niulize kuwa pesa za gharama za Muungano huwa zinatoka wapi au kwa utaratibu gani.
Pili je Zanzibar kuna pesa ambayo wanachangia kwenye Muungano kusema sasa warudishiwe sehemu?
Kinyume na hapo Tanganyika haipaswi iendelee kuifadhili Zanzibar. Otherwise tuambiwe kuwa nao Zanzibar kuna pesa huwa wanachangia huku kwetu.
Mh Rais asitake sasa kuwa nyonya wabara kwa jasho lao kupafaidisha kwao. Haya ndo madhara ya kuwa na Rais kutoka Zanzibar. Kama kuna sehemu anaona Zanzibar wananyonywa aseme wazi na hiyo mianya izibwe.
Lakini siyo sisi huku tupigike halafu jamaa wawe wanakula tende na urojo tu mwisho wa siku wapate Kwa
Bado sielewi Zanzibar wapewe hizi pesa kwa utaratibu upi? Zilipatikana kwa utaratibu upi? Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi. Wanakusanya wanatumia kwao. Kwa nini kodi zetu nao wapewe?
Kwanini hakushauri fedha hizi zisiwekwe kwenye hiyo budget mapema?Hii ni bajeti ya Mwaka 2020/2021 Ilishapitishwa kuwa kutakuwa na sherehe hizo. Mama kaamua kuondoa acha ujuaji
Kwa ufupi kila zama na mambo yake.... mwache aijenge zanzibar. Ni sebemu ya Tanzania 🇹🇿. Namsapoti asilimia 100%. Tuache unafki, mpenda kwao hutunzwa, waswahili walisema hivo.
Pesa za sherehe za Muungano zipo kisheria na Bunge wamepitisha hiyo bajeti sielewi Rais anatumia sheria ipi kuzitumia tofauti na makusudio yake lini amerudi Bungeni kuomba kubadilisha matumizi hayo na CAG atakagua vp mahesabu hayo tunarudi kule kule kwa MwendazakeDodoma!
Akizungumza Leo katika kongamano la Muungano jijini Dodoma, Makamu wa Raisi Dr . Philip Mpango amesema Raisi Samia Suluhu Hassan ameelekeza Fedha zilizotakiwa kutumika katika shughuli za maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zigawanywe pande hizo mbili (Tanganyika na Zanzibar) ili zikafanye shughuli za maendeleo!...