Hili litam - cost..
Viongozi wetu hawa hawajui kuwa Wa - Tanganyika tulio zaidi ya 55,000,000 ukilinganisha na Wazanzibari wasiozidi 2,000,000 hawaoni mantiki ya kuongozwa na Rais raia toka taifa jingine dogo kabisa...
Huu muungano HAPANA. Binafsi mimi huwa sielewi huu ni muungano wa aina gani. Ni muungano wa kulazimishana...
HAYA MAMBO SIYO KABISA. Si ajabu hili lika - speed upya na haraka HISIA ZA UBOVU/KASORO za muungano huu...
I predict kuwa, mambo haya yanayoonekana kuwa madogo dogo, tutambue kuwa, yanaweza ku - speed mwisho wake kabla ya 2025...
Ajifunze kwa marehemu Magufuli. He was selfish President, si msikivu, aliyejidhania ni mtakatifu kuliko Mungu, mwenye kiburi, aliyejiona ana akili kuliko watanzania wote..
Mwisho wake, akafa kifo cha ajabu na çha kusikitisha...
Samoa jifunze kwa tukio hili. Go and follow the right path. I see her, she is almost going through the same way...
Tatizo la viongozi wetu ni ugumu wao au pengine hawataki kusikiliza na pengine kupokea ushauri wa watu "wadogo" na "wapumbavu" kama sisi...