Rais Samia: Haiwezekani jeshi lifanye mauaji na lijichunguze lenyewe

Rais Samia: Haiwezekani jeshi lifanye mauaji na lijichunguze lenyewe

Watanzania ni wapumbavu sana. Juzi hapa mlikuwa mnalalamika kuwa haiwezekani JESHI LIJICHUNGUZE LENYEWE, leo Rais kaamua kuwe na tume huru ya kufanya uchunguzi huo bada mnalalamika. WAPUMBAVU
Uliniona kwenye hao watanzania wanaolalamika? hata kwa hao unaosema walikua 'wanalalamika' hawakuwa wanalalamika ni dhahiri jeshi haliwezi kujichunguza lenyewe, walikua na hoja ya msingi. Binafsi yangu nahoji matokeo ya hizi tume za uchunguzi huwa yanawekwa wapi??
 
Kwani polisi wanaripoti kwa waziri mkuu,? Mh. Rais Ana nia nzuri lakini kakosea njia sahihi ya kushughulikia hili suala.

Asante Mh. Rais kwa maamuzi hayo, japo unamtupia waziri mkuu kazi zisizomhusu.
 
Kwani polisi wanaripoti kwa waziri mkuu,? Mh. Rais Ana nia nzuri lakini kakosea njia sahihi ya kushughulikia hili suala.

Asante Mh. Rais kwa maamuzi hayo, japo unamtupia waziri mkuu kazi zisizomhusu.

Ukisema hivyo inamaana hata katibu mkuu wa wizara ya mambo ya ndani nae haimuhusu licha ya kupewa powers za kuwashusha vyeo Polisi kuanzia ACP's kushuka chini na pia powers za kuwafukuza kazi

Polisi wako chini ya mhimili wa Executive ambapo Wazori mkuu ndio mtendaji mkuu kwa mujibu wa katiba
 

D97FC82E-022E-4E46-BB69-17A888EBABFF.jpeg
 
IGP ndio target hapo, next CDF jipange baada ya hapo the Coup and total Islamization of Our land is complete!
 
Watu wanachotaka ni kamisheni huru na ya kudumu itakayosimamia muda wote majukumu ya jeshi la polisi na sio hizi tume za muda.

Ivyo nadhani mpumbavu ni wewe ambae ata kuelewa walichosema hukuelewa
Acha upumbavu, hayo mmedai lini?? Kila siku mnadai kitu kipya.
 
Asante Mama Samia na ubarikiwe.

Umesikia kilio cha wananchi na wazazi wa vijana waliouwawa, kijana wa madini na yule askari aliyedaiwa kujinyonga.

Hili litamwongezea mama heshima kwa maisha ya wananchi mbele ya Mola.
 
Mama safari ya 5 hiyo ukienda Mwanza huku Mtwara hujakanyaga hata Mara moja...hiyo tunaita imbalance presidential power...

Msije kutuletea vifaru kwny uchaguzi 2025..
Maendeleo Yana vyama
 
Sidhani kama Kuna mtu anaweza kupinga hatua hii aliyochukua. lakini hiyo haifanyi watu wasipingine mengine ambayo wanaona hayapo sawa.
Kuna fununu hiyo kamati itaongoza na mr Lisu,, [emoji23][emoji23]
 
However, huhitaji katiba mpya kuwa na chombo huru cha kusimamia taasisi ya jeshi la polisi.
Huwezi kuwa na katiba ambayo ni exhaustive namna hiyo. Kwamba kila kitu kiwe constitutionally covered. Mambo mengine yanahitaji kutungiwa tu sheria basi
Hizo sheria haziwezi kutungwa kamwe na hawa wanufaika wa utawala usio tii sheria wala katiba!
 
USA kuna katiba inayosimamia mambo yote haya.Bado Polisi wanafanya makosa na uoevu.
Mmomonyoko wa maadili na wahusika kutotimiza kazi zao kikamimifu na inavyotakiwa haya yasingetokea.
USA wana mfumo mzuri lakini ndio wanaongoza kwa kuwa na magereza zilizojaa wahalifu.
Hamna golden bullet ya matatizo yetu bali kila mtu atimize wajibu wake kwa uadilifu bila uonevu wala upendeleo.Sheria zifuatwe bila ubaguzi wewe ni nani na unatokea wapi.
Ndiyo sababu huko USA polisi wakilalamikiwa uchunguzi unafanyika mara moja tofauti na huku kwetu uchunguzi utafanyika kama haugusi maslahi ya wateule wachache!
 
Watanzania ni wapumbavu sana. Juzi hapa mlikuwa mnalalamika kuwa haiwezekani JESHI LIJICHUNGUZE LENYEWE, leo Rais kaamua kuwe na tume huru ya kufanya uchunguzi huo bado mnalalamika. WAPUMBAVU
Tatizo hizo kamati zinatoa taarifa sahihi? Ulisikia sababu za soko la mchikichini kuungua?
 
Muarobaini wa haya matendo ovu ya Polisi ni kuundwa chombo nje ya jeshi la Polisi ambacho kazi yake itakuwa kuoversee utendaji wa jeshi!
Napongeza hatua hiyo ya Rais lakini tuangalie mbali zaidi!Malalamiko ni mengi dhidi ya jeshi la Polisi,Sasa zitaundwa tume ngapi?
 
Back
Top Bottom