Rais Samia: Haiwezekani jeshi lifanye mauaji na lijichunguze lenyewe

Rais Samia: Haiwezekani jeshi lifanye mauaji na lijichunguze lenyewe

Wewe ndiye Mpumbavu. Polisi wameua raia na ushahidi upo wazi. Kamati unaunda ya nn badala ya kuchukua hatua Kwa wauaji??
Una uhakika waliohusika ni wale tu?? Nikikwambia walichukua Karibu Mil 800 utaamini?? Unajua kuwa walianza kumfatilia huyo dogo tangia 2020 utaamini?? Na je unajua kuwa kupitia fedha za huyo kijana askari hao wamejenga na kununua magari utaamini??
Kaa kwa kutulia, hiyo tume ndio itakupa mkeke kamili, polisi wametoa ripoti ikiwa ni sambamba na kuwalinda watu kadhaa.
 
Mkuu hayo ndio matamanio, lakini utekelezaji ni kinyume kabisa. Mfano halisi kuna takukuru, je traffic wameacha kuchukua rushwa barabarani?
Takukuru sio chombo mahususi Kwa ajili ya Traffic,kina operate Ina general kwa masuala ya rushwa kwenye maeneo yote nchini!
Halafu masuala ya rushwa ni magumu,maana ni Siri kati ya mtoaji na mpokeaje!Tofauti na issue za Polisi ambapo upande mmoja unakuwa umeumizwa hivyo ni rahisi kupata taarifa na kuzifanyia kazi!
Ukiwa una tatizo kwenye gari yako,traffic akachukua 5000,wewe huwezi lalamika maana kakufanyia wepesi kuliko ambavyo angekuandikia faini!Hapo ndio maana ni vigumu kumaliza rushwa Kwa traffic,maana ni win win situation!
 
Watanzania ni wapumbavu sana. Juzi hapa mlikuwa mnalalamika kuwa haiwezekani JESHI LIJICHUNGUZE LENYEWE, leo Rais kaamua kuwe na tume huru ya kufanya uchunguzi huo bado mnalalamika. WAPUMBAVU
Mwenzetu wewe raia wa nchi gani taja tuone kama wewe siyo mpumbavu maana umesema watanzania akiewemo mtanzania Samia ni wapumbavu..
 
Takukuru sio chombo mahususi Kwa ajili ya Traffic,kina operate Ina general kwa masuala ya rushwa kwenye maeneo yote nchini!
Halafu masuala ya rushwa ni magumu,maana ni Siri kati ya mtoaji na mpokeaje!Tofauti na issue za Polisi ambapo upande mmoja unakuwa umeumizwa hivyo ni rahisi kupata taarifa na kuzifanyia kazi!
Ukiwa una tatizo kwenye gari yako,traffic akachukua 5000,wewe huwezi lalamika maana kakufanyia wepesi kuliko ambavyo angekuandikia faini!Hapo ndio maana ni vigumu kumaliza rushwa Kwa traffic,maana ni win win situation!

Sawa mkuu.
 
Ndugu yangu,
Katiba mpya ndiyo ndio dawa. Tusijidanganye na mabadiliko/marekebisho ya sheria chini ya katiba hii hii mbofumbofu.
However, huhitaji katiba mpya kuwa na chombo huru cha kusimamia taasisi ya jeshi la polisi.
Huwezi kuwa na katiba ambayo ni exhaustive namna hiyo. Kwamba kila kitu kiwe constitutionally covered. Mambo mengine yanahitaji kutungiwa tu sheria basi
 
Mkuu bila kuwa na political will hata katiba iwe exhaustive kwa kiwango gani hakuna muujiza utakaotokea.
Nikupe mfano wa jambo ambalo liko sasa hivi kuhusu uvunjifu wa katiba. Katiba inataka mtu ili awe mbunge lazima atokane na chama cha siasa. Sasa nikuulize, Halima Mdee na wenzake 18 ni wabunge wa chama gani?
Hii katiba yetu ya sasa imeshindikana kusimamiwa na kutekelezwa, unadhani hiyo inayokuja muujiza gani utaifanya itekelezeke?
Ok ni kweli lakini hii inasababishwa na nafasi nyingi za uongozi kuwa za kuteuliwa.

Sasa mfano tuwe na katiba mpya ambayo nafasi nyingi za uongozi ziwe za kuchaguliwa, mathlani wakuu wa mikoa wawe wa kuchaguliwa, mawaziri wasiwe wabunge, wakuu wa wilaya wasiwepo kabisa, wabunge wa kuteuliwa na viti maalum wasiwepo, watendaji wakuu wa taasisi nyeti na kubwa za umma waidhinishwe na Bunge nk bila shaka kutakuwa na mabadiliko ya namna fulani katika mind set za watu wengi na hivyo kupunguza maovu tunayoshuhudia leo.

Ni mawazo yangu tu haya!
 
Huyu mama naye ni bonge la mnafiki, mbona jaribio la kumuua Lissu wanataka polisi ndio wachunguze wakati mtuhumiwa mkuu ni serikali ambaye ndiye mwajiri mkuu wa hao polisi.

The hijab wearing president is very hypocritical yet she pretends to preach justice but never administer the same.
 
Hivi hii tume ya haki za binadamu na utawala bora nayo haikuona wajibu wa kuchunguza haya mauaji? Sheria iliyoianzisha haiwapi mamlaka? Ni fedha wananyimwa? Ni uongozi wake vipofu? Wanataka waandikiwe barua ya malalamiko ndo wachukue hatua?
Mambo mengine yananishangaza sana sana.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
 
Hivi hii tume ya haki za binadamu na utawala bora nayo haikuona wajibu wa kuchunguza haya mauaji? Sheria iliyoianzisha haiwapi mamlaka? Ni fedha wananyimwa? Ni uongozi wake vipofu? Wanataka waandikiwe barua ya malalamiko ndo wachukue hatua?
Mambo mengine yananishangaza sana sana.

Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Hii tume ni just a toothless dragon
 
Watanzania ni wapumbavu sana. Juzi hapa mlikuwa mnalalamika kuwa haiwezekani JESHI LIJICHUNGUZE LENYEWE, leo Rais kaamua kuwe na tume huru ya kufanya uchunguzi huo bado mnalalamika. WAPUMBAVU
Watanzania ni wakuongoza kwa mkono wa chuma t mkuu wapumbavu sana sie,
Ukituchekea chekea vitu aviendi,
Ndo maana jiwe alituweza,
Yani kutuongoza watanzania inabidi ufanye tukuogope kwanza ili tuufayate..
Hatunaga jema sisi.
 
Kwa hili yuko sawa....lakini jeshi hilo linatakiwa kuundwa upya. PT imeoza. Ile tabia ya kinafiki ya kuwa mnajidanganya eti katika jeshi la polisi ni 'askari wachache wasio waaminifu' ifike mahali ikome. Kuna raia bongo anazaliwa hadi anazeeka hawajahi kukutana na askari mwaminifu. Kwa sasa jeshi hilo halifai.
 
Je na matokeo ya kamati yatasomwa openly, navl mapendekezo kufanyiwa kazi?
 
Polisi wamezidi uonevu, Wawekewe Ofisi ya kuwasimamia
kwanza nampongeza sana mh Rais wa JMT kwa tamko hili na maagizo yake kwa mh PM.

pia mdau umekuja na wazo zuri. nchi za wenzetu kuna kitu wanaita internal affairs department yaani idara ya mambo ya ndani. Hii inatakiwa iwe inajitegemea mbali kabisa na kazi ya upolisi. wawe na ujuzi wa kiuchunguzi na kazi yao kubwa iwe kusimamia mienendo ya polisi tu na report zao ziende kwa waziri husika.hii inaweza saidi sana lawama au kelele zinazotokea .
 
Una uhakika waliohusika ni wale tu?? Nikikwambia walichukua Karibu Mil 800 utaamini?? Unajua kuwa walianza kumfatilia huyo dogo tangia 2020 utaamini?? Na je unajua kuwa kupitia fedha za huyo kijana askari hao wamejenga na kununua magari utaamini??
Kaa kwa kutulia, hiyo tume ndio itakupa mkeke kamili, polisi wametoa ripoti ikiwa ni sambamba na kuwalinda watu kadhaa.
Sasa kama hayo yote Kwa muda wote huo mnayajua kwanini muhangaike kupoteza muda na tume badala ya kukamata wahusika kisha kuwapeleka Mahakamani wakatajane huko???
 
Takukuru sio chombo mahususi Kwa ajili ya Traffic,kina operate Ina general kwa masuala ya rushwa kwenye maeneo yote nchini!
Halafu masuala ya rushwa ni magumu,maana ni Siri kati ya mtoaji na mpokeaje!Tofauti na issue za Polisi ambapo upande mmoja unakuwa umeumizwa hivyo ni rahisi kupata taarifa na kuzifanyia kazi!
Ukiwa una tatizo kwenye gari yako,traffic akachukua 5000,wewe huwezi lalamika maana kakufanyia wepesi kuliko ambavyo angekuandikia faini!Hapo ndio maana ni vigumu kumaliza rushwa Kwa traffic,maana ni win win situation!
Sasa nini kifanyike Mkuu??
 
Back
Top Bottom