Rais Samia haupigi mwingi tena, kuna dalili za kutosha kuwa Uchumi utamuelemea

Anaupiga mwingi sana .... muacheni apige kazi
 
Matajiri wakifanywa kitu chochote, kwakweli tulipumua! Time to payback [emoji3]
 
... nendeni kwenye mikutano ya kisiasa/kampeni mkasikilize na kuchuja sera na ilani - hatuna nafasi sisi!
... someni sera za vyama na ilani zao mpate mwanga wa jinsi zitakavyosaidia au kuumiza maisha yenu watanzania - hayatuhusu sisi!..
Asante ndugu kwa hili andiko wengi husema siasa haiwahusu, leo ndio wajifunze kuwa ' Ushikwapo, shikamana' ndio maana yake hii. Siasa ndio inayoamua maisha yetu ya kila siku na hivyo yatupasa kuifuatilia kwa ukaribu.
 
Nadhani unasema huna imani na huyu rais na unashindwa kujieleza kwa kuogopa midnight knock at the door. Kwa sababu sielewi hata kitu kimoja ulichoandika.
Rais huyu siyo creative,siyo mbunifu. Hakuna feeling kwamba nchi Ina rais.
Lakini ukibishana naye utaambiwa unachukia wanawake.
 
Ndogo zako zimefikia wapi mkuu? Karibia ujikojolee 😬😬
 
Magufuli aliifirisi hii Nchi, acha Samia arekebishe uchumi wa Nchi
Kweli aachwe arekebishe inchi,,
-ukienda mloganzila hospital kumwona doctor sh 20000 .
-bima ya NHIF kwa watoto ilikuwa sh 50400 kwa mwaka wakati wa Magufuli ila kwa sasa ni 340,000/

Kweli aachwe arekebishe inchi..
Inchi inaelekea pazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…