Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Sasa nimeamini kumbe Wapinzani Walituchelewesha sana Kukusanya KODI
WATANZANIA hii inayoitwa KODI ya Uzalendo ndile ile KODI YA MAENDELEO nadhani MKAPA ALIIFUTA sasa umerudi Kwa Jina LINGINE Tutarajie KODI ya BAISKELI nayo INAKUJA TANZANIA imepania BARABARA ZA VIJIJINI KUWA ZA LAMI
WAPINZANI WALITUCHELEWESHA SANA.
Acha vihoja pandisha hoja humu.Tatizo la wapinzani ni kutumia michango wanayokusanya kutoka kwa nyumbu wao kwenda kulewea kama ilivyotokea kwa yule mwenyekiti alievunjika mguu kwa sababu ya konyagi, huku kodi zinazokusanywa na serikali zinatumika kujenga shule, barabara na hospital.
Anachojua ni kuteua kila sikuHatuna Kiongozi ... Nawaambia kama hamjafahamu mpaka sasa. Hamna kitu pale. Ni picha tu.... Ni Tumepata Salma Mtembezi. Hakuna anachoelewa. Si wa kupambania wananchi.
Tulisema anaupiga mwingi.. sasa anaendelea kuupiga mwingi usio na faida sababu ni nje ya uwanja. Haina maana kabisa.
Kabisaaah.Waswahili walisema "Ngoma ikuvuma sana mwishoe hupasuka"
DEDs/MDsAKirudi atarudi na mkeka wa ma-DAS
Ndiyo kazi anayo iwezaDEDs/MDs
Na kupaka rangi midomo..mxxxwwAnachojua ni kuteua kila siku
Bora angekua anapatia sasa!! Mwigulu, Waziri wa Fedha na Mipango!!! 🤭Anachojua ni kuteua kila siku