Rais Samia, hii kauli ya kuwaruhusu Mawaziri wajipimie, wasivimbiwe itolee ufafanuzi tena

Amekosea vipi kuyatamka wakati kwenye ile hotuba amesema kuwa ile ni mara ya pili anasema maneno yale?
Your browser is not able to display this video.
 
Kwa hili hata mimi ni shahidi, nimetuma proposal kibao, maoni mpaka nimekatatamaa...Hakuna mwenye kujali raia kila mtu anatengeneza fellowship yake ya kumaliza matatizo yake binafsi, nchi ni second to personal interets....Acha ni nukuu neno la Mungu kwa wale ambao wanakaribia kukata tamaa kama mimi.

Methali 28:1-25 BHN​


Mungu hajawahi kudhihakiwa, si kiziwi hata asisikie na wala si kipofu hata asiweze kuona machozi ya wanyonge ambao wameachwa kama yatima
 
Samia ni jipu kuuuuubwa ambalo lisipotumbuliwa mapema, litakuja kutuletea maafa makubwa sana hapa Wilayani Kivu ya Mashariki.
 
Form Four failure cant make a good president

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes...Let me prophesy:
Rest in the LORD , and wait patiently for him: Fret not thyself because of him who prospereth in his way, because of the man who bringeth wicked devices to pass. For evildoers shall be cut off: But those that wait upon the LORD , they shall inherit the earth. For yet a little while, and the wicked shall not be: Yea, thou shalt diligently consider his place, and it shall not be. But the meek shall inherit the earth; And shall delight themselves in the abundance of peace.
Psalm 37:7‭, ‬9‭-‬11 KJV
 
Upuuzi wakiwango cha Utopolo
Kawadanganye Wajinga sio Sie
Tanzania Ilisha patwa
 
Wana polisi, wana jeshi, usalama wa taifa. Huwezi kuiondoa CCM kwa kura za uchaguzi. Ingekuwa kura zinaondoa CCM ingekuwa chama pinzani miaka mingi
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • 20210191812.mp4
    980.3 KB
Kumtetea Rais Samia ni kazi sana...
Em ngoja tuone mwisho wake.

Damn this country.
 
Mods wameondoa ile video ya mpendwa wetu rais SSH akihimiza tujisevie kadri ya urefu wa kamba zetu aniwekee hapa!
 
mimi naona ana struggle for acceptance kutaka kumplease kila mtu ndio matokeo yake hayo unaongea utumbo
Mkuu upo sahihi asilimia mia moja.Anauza nchi in expense ya yeye kutokujiamini katika uongozi wake.

Siyo tu kwamba anaongea utumbo bali utumbo alioongea unaenda kutekelezwa na waliopo chini yake kwa speed ya mwanga.
 
Hapa kuna mawili....

1. Huenda Mama anaongea kauli tata kwa kumaanisha hivyo hastahili samehewa kwa vile anakijua kiswahili fasaha vizuri.
2. Mama ni mzanzibari na kama tunavyowajua wazanzibar wanafunguka mno ktk lugha, yaani wako 'too explicit'. Huku bara huenda tusiwaelewe ila kule visiwani ni Kiswahili mujaarab. Na huenda mpaka sasa wanatushangaa sana.

MY BASIC ARGUMENT...

Tujitahidi kumzoea Mama. Tunaweza mjaji vibaya kumbe waaalaa mtoto wa kiUnguja ana nia njema kabisa.

'kujipimia' huenda kwa maadili ya ki ISLAM ni norm..accepted.

Thread posted.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…