Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zangu kiswahili cha ZNZ na huku kwetu ni tofauti kabisa.Walewale wa kujipimia hakuna cha kiunguja nani hajui kuvimbiwa..? Nani hajui kujipimia..?
Mkuu una hasira kali. Ila watu waliosoma LINGUISTICS ....hapa watakupuuza sana.Nguvu kubwa inatumika kutetea upumbavu alioutamka HANGAYA
Nakumbuka jinsi alivyokuwa anatetea ile takrima wakati wa uchaguzi kwenye jumba la sheria....Mungu mwenyewe aingilie katialafu supika anaweza kuchukua mzee vijisenti msomi harvard...
tutafika mbinguni tumechoka sana.
Hayati alitamka upumbavu zaidi ya huu wa Samia. Ndio viongozi wetu hawa, sio malaika.Nguvu kubwa inatumika kutetea upumbavu alioutamka HANGAYA
Hakuna ambacho hakijaeleweka hapo.Hapa kuna mawili....
1. Huenda Mama anaongea kauli tata kwa kumaanisha hivyo hastahili samehewa kwa vile anakijua kiswahili fasaha vizuri.
2. Mama ni mzanzibari na kama tunavyowajua wazanzibar wanafunguka mno ktk lugha, yaani wako 'too explicit'. Huku bara huenda tusiwaelewe ila kule visiwani ni Kiswahili mujaarab. Na huenda mpaka sasa wanatushangaa sana.
MY BASIC ARGUMENT...
Tujitahidi kumzoea Mama. Tunaweza mjaji vibaya kumbe waaalaa mtoto wa kiUnguja ana nia njema kabisa.
'kujipimia' huenda kwa maadili ya ki ISLAM ni norm..accepted.
Thread posted.
Na alipostaafu alikabidhiwa V8 mpya kabisa... hiyo ilikuwa kauli ya ovyo kabisa kuwahi kutolewa na kiongozi kwa anaowaongoza! Ufisadi unatakiwa ukemewe kwa nguvu zote popote na yeyote; sio kuurembaremba kwa maneno ya ajabu ajabu sijui mle kwa urefu wa kamba zenu; mara msivimbiwe! Dah!
Anyway, the former CCM Secretary General aliwahi kunukuliwa live akisema, "Neno ufisadi halipo kwenye kamusi ya CCM", na hadi leo kauli ile haijawahi kukanushwa na yeyote!
Mtunga-sheria ndiye mwenye haki ya kuitafsiri sheria husika. Au siyo?Hapa kuna mawili....
1. Huenda Mama anaongea kauli tata kwa kumaanisha hivyo hastahili samehewa kwa vile anakijua kiswahili fasaha vizuri.
2. Mama ni mzanzibari na kama tunavyowajua wazanzibar wanafunguka mno ktk lugha, yaani wako 'too explicit'. Huku bara huenda tusiwaelewe ila kule visiwani ni Kiswahili mujaarab. Na huenda mpaka sasa wanatushangaa sana.
MY BASIC ARGUMENT...
Tujitahidi kumzoea Mama. Tunaweza mjaji vibaya kumbe waaalaa mtoto wa kiUnguja ana nia njema kabisa.
'kujipimia' huenda kwa maadili ya ki ISLAM ni norm..accepted.
Thread posted.
... hiyo ilikuwa kauli ya ovyo kabisa kuwahi kutolewa na kiongozi kwa anaowaongoza! Ufisadi unatakiwa ukemewe kwa nguvu zote popote na yeyote; sio kuurembaremba kwa maneno ya ajabu ajabu sijui mle kwa urefu wa kamba zenu; mara msivimbiwe! Dah!
Anyway, the former CCM Secretary General aliwahi kunukuliwa live akisema, "Neno ufisadi halipo kwenye kamusi ya CCM", na hadi leo kauli ile haijawahi kukanushwa na yeyote!
KWeLI watu mna risiti😆😆😆Unaikumbuka hii post yako? Samia atakuwa Rais bora kwa kuwa karuhusu kukosolewa
Huduma za jamii zitakuwa shida kupata kwa Sasa dhuruma kwa wanyonge itakuwa kubwa sana. Ukienda ofisini lazima utowe kianzio la sivyo hupati huduma, eg hospital office za serikali etcRais Samia, jana akiongea na mawaziri aliwaambia wajipimie ila wasivimbiwe tena mbele ya TV ya umma. Nilipigwa na butwaa ila nikahisi mambo yafuatayo.
1. Rais hajui kwamba mali anazowaambia mawaziri wajipimie ni za wananchi wanao msikiliza na kwamba wananchi wanataka alinde mali zetu kama kiapo kinavyomtaka?
2. Rais anajua hawezi shitakiwa hata kama atafanya lolote; hivyo kalewa madaraka.
Ushauri kwa rais; Hii kauli itolee ufafanuzi, huku mtaani kishanuka mno.
Hata hivyo mawaziri wapiga deal wanajulikana.
VEDIO HII HAPA
Nilikuwa nawaza kitu kama hiki.