Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Ni ushauri aliotoa Kikwete kwa Kagame ukataka kuwaka motoNajua si rahisi kabisa watu kuja na utamaduni huu mpya ukakubalika mara moja, si rahisi, kwangu kuna vikwazo kwangu kuna vikwazo.
Huwa napitia Jamiiforums naangalia maoni yenu kule ndani, nasoma nnacheka, nasema lakini huu ni utamaduni mpya, si rahisi kukubalika kwa ghafla, kwahiyo pande zote Tanzania nzima si rahisi kukubali utamaduni huu mpya kwa haraka.
Mama Samia anaijuwa Jamii Forums kabla haijawa Jamii Forums.Ameyaweka wazi hayo katika mkutano wa Bawacha katika siku ya mwanamke duniani.
Rais Samia akihutubia taifa kupitia mkutano huo amewaambia kuwa huwa anasoma maoni ya katiba mpya, wabunge wa Covid19 na mengineyo kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa JamiiForums.
My take:
Leo ndio nimejua kuwa kumbe Rais Samia nae ni mdau wa JamiiForums.
Hii imetuinua sana wana jukwaa hili.
Acha bahati yangu mie ndio Samia suluhu hassanHivi kwanini jamqni kuchekeshana mchana yote hii😆😆😆😆😆
Unyama mwingi wazee wa kuweka mzigo.Mbona huwa anaotoa sana odds kwenye jukwaa letu la " wazee wa kuweka mzigo kubeti".
Ni lazima TISS wawe na jicho huku kama kweli wapo serious..Kumbe wengi mpo JF lakini bado hamuijui JF.
Humu usalama wa Taifa wana desk lao kabisa kama ulikuwa hujui.
Scandal ya EPA Dr Slaa aliipata humu ndio akaipeleka kuikomalia bungeni.
Unajuwa kosa la Max kukamatwa kushtakiwa na kunyimwa dhamana na kupelekwa gereza la keko sababu ilikuwa ni nini?
Unatupanga sasaMama Samia anaijuwa Jamii Forums kabla haijawa Jamii Forums.
Mtu akiwa JF kuna namna fulani huwa namheshimu..tofauti na Facebook na Twitter.Yupo mitandao yote ya kijamii kuanzia Facebook, Instagram, Twitter nakadhalika.
Kwahiyo kama ni kuwaheshimisha basi amewaheshimisha hadi watumiaji wa Facebook nakadhalika.
Tokea mama awe rais hivi ushawahi kuona Faiza fox kucomments??Kumbe hua ana comment, ana like, ana bishana na kukosoa kwenye ule uzi wa kimashihara.
Inabidi nianze kwenda PM randomly naweza kuangukia popote. mara pa Ultimate magogoni