#COVID19 Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

#COVID19 Rais Samia: Ilikuwa ni vigumu kwangu kufanya kazi na Hayati Magufuli hasa alivyokuwa anakabiliana na suala la Covid -19

Hivi kosa lake ni kusema kwa maneno?
Mbona kila siku anafanya kinyume hakuna tatizo, kutamka tu imekuwa tatizo!

Kawaondoa wapambe wa Magufuli kawarudisha waliondolewa na JPM.
Rais SSH anahimiza chanjo, JPM ahakutaka kusikia kitu hicho
Rais SSH anazungumza wazi ufa wa udini, ukabila , JPM ilikuwa haikuwa hivyo
Orodha inaendelea kurasa 1001

''Marehemu hasemwi, yaliyopita si ndwele, tuangalie mbele'' kwa lengo la kufunika ya nyuma! fiddlestick

UK, PM Sir Churchill '' All men make mistakes, but only wise mean learn from their mistakes''

Nakubaliana JPM ameonyesha ubovu wa mifumo ingawa wengine tulisema miaka 10 iliyopita.

Ni muhimu tujifunze mifumo inavyoweza kutumika vibaya kwa mfano halisi wa Mwendazake

Rais SSH kueleza kilichomtokea ni kawaida. Kuna maswali hawezi kuyajibu bila kueleza 'position' .

JPM ni public figure kama Nyerere na Mkapa hana 'immunity' kwa masuala masuala yenye masilahi ya Taifa. JPM aliomba kazi akijua hadhi , mamlaka, ukubwa , majukumu na uwajibikaji wake ikiwemo kutokuwa na privacy au immunity katika scrutiny

JokaKuu amesema vizuri sana kuhusu deni, wadeni na mdaiwa !
Pamoja na yooote anafungwa na kiapo chake. Ana platforms za kuyasema haya na kurekebisha kwakua kauli kama hizi zinaligawa taifa, mbaya zaidi kasemea nje...Niliwaza hivyo...
 
Hata hivyo ni vyema Samia akaachana na habari za magufuli.ameshajilalia hawezi kujitetea
Natural justice pia inatuasa hivyo. Hii ni kama kuwa mshitaki, hakimu na bwana jela wewe huyo huyo huku mtuhumiwa akiwa hana nafasi wala uwezo wa kujitetea na yeye akasema upande wake na mzani ukaamua nani msema kweli nadhani ndiyo sababu kukawa na viapo ili kulinda mambo yafananayo kama hayo
 
Magufuri alikuwa fisadi muuwaji mwizi roho mbaya ya visasi
1650103199826.jpg
1649764692782.jpg
 
Nina imani hata Mama Pombe akihojiwa vizuri anayomengi alikuwa anatofautiana na Mumewe
 
Uwanja wa taifa waliaga mwili mamilioni na sehemu kibao misongamano mikubwa akiwemo mama Samia wakuu wa vyombo.vyote vya ulinzi na usalama na hakuna aliyekuwa kachanja au kuvaa barakoa uliona walikufa kwa Corona?
Unafurahia upumbafu wao.
 
Pamoja na yooote anafungwa na kiapo chake. Ana platforms za kuyasema haya na kurekebisha kwakua kauli kama hizi zinaligawa taifa, mbaya zaidi kasemea nje...Niliwaza hivyo...
Nakumbuka CAG mstaafu, Assad alizungumza mambo flani akiwa nje ya nchi, zilitoka kauli za kuitukana nchi na faster akaitwa Dodoma
 
Sasa ndio akasemee nje ? Kwani angesema akiwa nchini angedhurika?, huko ndio kujipendekeza kwa wazungu
 
Back
Top Bottom