Rais Samia ingia mtandaoni umsikilize Tundu Lissu kuhusu yanayoendelea Ngorongoro

Rais Samia ingia mtandaoni umsikilize Tundu Lissu kuhusu yanayoendelea Ngorongoro

Mhe. nakushauri uingie mariaspace muda huu (kama haujaingia) umsikilize Lissu akichambua yanayoendelea na ambayo yamekuwa yakiendelea huko Ngorongo na nakushauri usome na kitabu chake alichoandika kuhusu Ngorongoro.

Ukikosa nafasi, basi sikiliza hotuba yake ambayo bila shaka itapatkana ikiwa ni recorded (kumbuka amefanya utafiti katika eneo hilo).

Mama, Lissu atakusaidia sana katika hili jambo na tusingekuwa na mahusiano mabovu ya kisiasa, Lissu alipaswa kuwa mmoja wa washauri wako juu ya kutatua huu mgogoro wa Ngororo unaotokota chini chini kwa chini au tuseme unaotaka kuibuka.

Kama alivyomshauri Magufuli kwenye madini na akapuuzwa, ndivyo unaweza kufanya wewe, ila sidhani kama na wewe utakwepa yale matokeo yaliyomkuta mtangulizi wako katika ule mgogoro.
Anajua sn tatizo ni waliomzunguka
 
kwenye madini binafsi sikukubaliana na JPM kwenye baadhi ya mambo lakini TL hakuna lamaana aliloshauri zaidi ya makelele na baadaye nilihisi ana maslahi na Acacia kupitia watu fulani.

Ngoringoro its either Masai waondoke na Ngorongoro ibaki au Masai wabaki na Ngorongoro ipotee. Mwaka 1950 kulikuwa na Masai wangapi Ngorongoro na leo 2022 kuna Masai wangapi Ngorongoro...? Ukubwa wa Ngorongoro ni ule ule au umeongezeka..
Tatizo mnaropoka tu kama hamna akili vile. Hivi kabla kupitishwa kuwa hifadhi ya serengeti walikuwepo akina nani huko? Jina la serengeti linatokana na lugha gani? Haya wakakubali wahamishwe toka serengeti kwenda ngorongoro sasa tena wakoloni weusi wanatafuta sababu kudai kuwa hawa ni wavamizi...jiulize na hapo ngorongoro alikuwapo nani kabla kufanywa hifadhi? Kama kuzidi kwa idadi ya watu na dawa ni kuwaondoa, basi hili lifanywe kwa kila wilaya Tanzania. Twendeni pwani tuwafurumishe, tukimaliza tuahamie tanga, dodoma na kwingineko.

Wafugaji hasa wa jamii ya kimasai ni wahifadhi wazuri sana wa mazingira na sehemu zote wanakoishi ndio hifadhi zimeundwa...angalia manyara, tarangire, arusha national park. Imagine ingekuwa wakulima ndio waliachwa ngorongoro hiyo 1950s leo hiyo ngorongoro ingekuwaje?

Tukienda Loliondo na OBC since wakati wa Mh. Mwinyi...tukitaka kulinganisha maslahi nchi iliyopata na yakarudi kwa wananchi kuna chochote cha maana? Au maslahi ya mwarabu kuvuna bila kipimo wala kizuizi huku akinufaisha wachache...maana ndivyo wengi tunavyoamini maana yanayotendeka pale ni siri!
 
Wamasai wamejaa nchi nzima na ngo'mbe zao. Yani vurugu mechi. Ila tunaishinao hivyo hivyo. Leo tunacheka kesho tumenuniana. Ila inaonekana wao sehemu moja tu ndo. ......wakiondoka huko ndo itakuwa kama. .labda wote watakufa.

Hakuna mtu asiejua umuhimu wa sekta yautalii katika nchi yetu.

Sawa la pale ni rahisi sana. It's not rocket science. Wanyama watabaki hapo hapo. Itolewe namba ya wamasai watakao baki hapo. Hilo jukumu wapewe wazee wakimasai wenyewe wachaguane nani wakubaki, nani wakuondoka. Na tunawapa mwezi mmoja tu.

Hao wamasai wasitake kutuchanganya vichwa. Sio kwamba labda wao tabaka Lao ni la juu kuliko watanzania wengine. Hii nchi yetu sote. Lazima wote tuwajibike.
Wanajiona ni nyara ya Taifa ndiyo maana ni wanatembea na silaha huku mwananchi mwingine ukitembea na panga kiunoni unashtakiwa ugaidi!
 
Nilimuona Tundu Lissu siku moja enzi za ujana wake kwenye BBC documentary akihojiwa kama conservationists na mtaalamu wa maeneo hayo akiwaelezea nadhani historia ya Olduvai George na mambo ya symbiotic relation kwenye hayo maeneo alikuwa young kweli na mwajiriwa wa serikali.

Sikuamini nilichokiona binafsi tangia siku hiyo nilianza kumchukulia kama nyoka na hawa wanasiasa watanzania sio watu wakuwaamini 100% sikumbuki title ya ile documentary vinginevyo ningechukua screen shot.

So nakubali kabisa mtu akiniambia Tundu Lissu anauelewa mpana wa hayo maeneo na siasa zake. Ajabu hiyo historia ya maisha yake imefutwa na aipo kwenye CV yake wakati at one point Lissu worked in conservation areas as a government officer.
Hukawii kukuta yeye na ZZK Lao 1 wanatuchezesha mdumange Tu!😅
 
Hukawii kukuta yeye na ZZK Lao 1 wanatuchezesha mdumange Tu!😅
Nitawaletea huo ushahidi this is midweek watu tuna majukumu yetu atuwezi kuangaika na hizo videos za ushahidi.

But ninao huo ushaidi kwa by 100%, I just need to present the evidence and I will in due time.

Waambie wamuulize Lissu wakati natafuta evidence kama atakataa ajawahi ajiriwa as a conversationists wa Ngororo na serikali.

Huyo bwana hilo eneo la Ngorongoro ni government expert and sympathetic to historical context ya wamasaai on his arguments not because of passion but information and knowledge of the local culture context.
 
Wewe ndio unayetaka kuishi lala land na kujitoa ukweli for the sake of arguing.

Binafsi sikatai uelewa wa Lissu kuhusu Ngorongoro; politically, anthropological, legal, cultural and so forth because he is an expert who has worked and done extensive research on the region

Kitu ambacho umetuletea video na kukiri Lissu anayajua hayo maeneo; yet you are delusional kukubali ukweli part of his knowledge contributon is work experience kutoka serikalini.

Hizi ndio sababu ni chizi tu ndio anaoweza support CDM wakati wafuasi wake awapendi kusikia ukweli ata ukiwekwa mbele yao.

I am still in the past so ntamalizia na viva Magufuli

..Lissu ni Mtz kwa hiyo haina tatizo yeye kuajiriwa na serikali ya Tz kama raia wengine wa nchi yetu.

..Wewe umeleta jambo jipya na sisi tumeku-challenge kwasababu hujalitetea kwa ushahidi wowote.

..Na nadhani unafanya makusudi ili tuendelee kuku-challenge badala ya kujadili mambo muhimu ambayo yako ktk hoja za Tundu Lissu.

..Unataka tumjadili Lissu binafsi badala ya kujadili hoja zake.

..Mwisho, Lissu alishasema kwamba huku kwenye harakati na siasa alisukumizwa tu, yeye ndoto yake ilikuwa ni kuajiriwa na serikali kama mhadhiri wa sheria chuo kikuu Dsm.
 
kwenye madini binafsi sikukubaliana na JPM kwenye baadhi ya mambo lakini TL hakuna lamaana aliloshauri zaidi ya makelele na baadaye nilihisi ana maslahi na Acacia kupitia watu fulani.

Ngoringoro its either Masai waondoke na Ngorongoro ibaki au Masai wabaki na Ngorongoro ipotee. Mwaka 1950 kulikuwa na Masai wangapi Ngorongoro na leo 2022 kuna Masai wangapi Ngorongoro...? Ukubwa wa Ngorongoro ni ule ule au umeongezeka..
Maswali kuntu
 
Wamasai wamejaa nchi nzima na ngo'mbe zao. Yani vurugu mechi. Ila tunaishinao hivyo hivyo. Leo tunacheka kesho tumenuniana. Ila inaonekana wao sehemu moja tu ndo. ......wakiondoka huko ndo itakuwa kama. .labda wote watakufa.

Hakuna mtu asiejua umuhimu wa sekta yautalii katika nchi yetu.

Sawa la pale ni rahisi sana. It's not rocket science. Wanyama watabaki hapo hapo. Itolewe namba ya wamasai watakao baki hapo. Hilo jukumu wapewe wazee wakimasai wenyewe wachaguane nani wakubaki, nani wakuondoka. Na tunawapa mwezi mmoja tu.

Hao wamasai wasitake kutuchanganya vichwa. Sio kwamba labda wao tabaka Lao ni la juu kuliko watanzania wengine. Hii nchi yetu sote. Lazima wote tuwajibike.
Mantiki safi! Hata Kilimanjaro itapata watalii wengi zaidi kama Wachagga wanaondolewa. Mbeya Peak ni maridadi sana, isipokuwa Wasafwa na Wanyakyusa wameharibu mazingira. ..... Niendelee kwa kutumia mantiki yako??
 
Vyoo huwa ni kwa ajili ya wanawake na watoto,wanaume ni porini tu na ni mbolea tosha kwa mimea kutokanana aina ya chakula anachokula.😝
sasa uko kudondosha vinyesi kama wanyama ndio tunakopinga kwasababu kuna watalii wa kimataifa ambao hawajazoea maisha hayo wanakuja huko,w ataugua na kublacklist nchi yetu. awali mlikuwa wachache sasaivi mnazidi kuongezeka na uchafu utakuwa mwingi zaidi. tokeni kwenye mbuga mkaishi na wanadamu wenzenu kwenye makazi ya wanadamu.
 
Mantiki safi! Hata Kilimanjaro itapata watalii wengi zaidi kama Wachagga wanaondolewa. Mbeya Peak ni maridadi sana, isipokuwa Wasafwa na Wanyakyusa wameharibu mazingira. ..... Niendelee kwa kutumia mantiki yako??
kuna wachaga wangapi wanaishi kule mlimani? kule mbeya peak kuna mwanadamu anaishi? kuna wanyama? halafu hao uliowataja wote wamestaarabika, wanachimba vyoo. jilinganishe tena. usijifariji hampo kapu moja.
 
kwenye madini binafsi sikukubaliana na JPM kwenye baadhi ya mambo lakini TL hakuna lamaana aliloshauri zaidi ya makelele na baadaye nilihisi ana maslahi na Acacia kupitia watu fulani.

Ngoringoro its either Masai waondoke na Ngorongoro ibaki au Masai wabaki na Ngorongoro ipotee. Mwaka 1950 kulikuwa na Masai wangapi Ngorongoro na leo 2022 kuna Masai wangapi Ngorongoro...? Ukubwa wa Ngorongoro ni ule ule au umeongezeka..
Kama ni Ngoringoro basi kwa comment yako tumepigwa
 
kuna wachaga wangapi wanaishi kule mlimani? kule mbeya peak kuna mwanadamu anaishi? kuna wanyama? halafu hao uliowataja wote wamestaarabika, wanachimba vyoo. jilinganishe tena. usijifariji hampo kapu moja.
Kumbe haki za kibinadamu na haki za kiraia zinategemea kuchimba shimo? Cjui unachekesha au kuhuzunisha?
 
sasa uko kudondosha vinyesi kama wanyama ndio tunakopinga kwasababu kuna watalii wa kimataifa ambao hawajazoea maisha hayo wanakuja huko,w ataugua na kublacklist nchi yetu. awali mlikuwa wachache sasaivi mnazidi kuongezeka na uchafu utakuwa mwingi zaidi. tokeni kwenye mbuga mkaishi na wanadamu wenzenu kwenye makazi ya wanadamu.
Asili yake ni mfugaji hawezi kuja kuishi kinondoni na mifugo.
Usiwasikilize kina kitenge,masai ndani ya ngorongoro ni moja wapo ya kivutio cha utalii.

Asikwambie mtu,mamlaka ya ngoro2 ina wajibu wa kuangalia mazingira yasiharibiwe.
 
Asili yake ni mfugaji hawezi kuja kuishi kinondoni na mifugo.
Usiwasikilize kina kitenge,masai ndani ya ngorongoro ni moja wapo ya kivutio cha utalii.

Asikwambie mtu,mamlaka ya ngoro2 ina wajibu wa kuangalia mazingira yasiharibiwe.
zamani walikuwa wachache na walikuwa vivutio kwelikweli. sasaivi wapo 120,000 imagine watu wote hao hawana vyoo, na wana mangómbe rundo, baada ya miaka 20 watakuwa 500,000 zaidi wa watu walioko mkoa mzima wa Iringa, wote hao watakuwa ndani ya mbuga. wanachafua mazingira kwa kujifanya wao kuishi kiporipori ni asili yao, wanaoa wake hata 5 na watoto rundo ndio maana wanazaliana sana, mifugo yao inachangamana na wanyama wataambukizana magonjwa, hawana huduma za afya kwa ajili yao wenyewe, na wanafanya wanyama wakimbie makazi yao kwasababu ya moto. wanyama huwa wanakimbia sehemu moto unanukia. pia umesahau kuwa masai wapo hadi zanzibar.
 
Kumbe haki za kibinadamu na haki za kiraia zinategemea kuchimba shimo? Cjui unachekesha au kuhuzunisha?
ina maana huoni umuhimu wa kuwa na choo? sasa kama wewe unadondosha uchafu kama ngómbe utajiitaje binadamu mstaarabu sasa? tunawasaidia ninyi wenyewe muondokane na uporipori huo.
 
kwenye madini binafsi sikukubaliana na JPM kwenye baadhi ya mambo lakini TL hakuna lamaana aliloshauri zaidi ya makelele na baadaye nilihisi ana maslahi na Acacia kupitia watu fulani.

Ngoringoro its either Masai waondoke na Ngorongoro ibaki au Masai wabaki na Ngorongoro ipotee. Mwaka 1950 kulikuwa na Masai wangapi Ngorongoro na leo 2022 kuna Masai wangapi Ngorongoro...? Ukubwa wa Ngorongoro ni ule ule au umeongezeka..
Madhara ya punyeto ndo aya,idiotic writing
 
ina maana huoni umuhimu wa kuwa na choo? sasa kama wewe unadondosha uchafu kama ngómbe utajiitaje binadamu mstaarabu sasa? tunawasaidia ninyi wenyewe muondokane na uporipori huo.
Sijawahi kujiita "binadamu mstaarabu" maana nina wasiwasi kuhusu uarabu ndani yangu..... Angalau nimejifunza jinsi ya kuandika "ng'ombe" (siyo "ngómbe" kama wewe, endela kufanya majaribio, ustaarabu wako utakusaidia bila shaka..)
 
Back
Top Bottom