Pre GE2025 Rais Samia kamaliza kuwaadhibu Ummy na Makamba teuzi zinakuja. Nape yupo njiani kukamilisha genge la kukimbia na mabox ya kura

Pre GE2025 Rais Samia kamaliza kuwaadhibu Ummy na Makamba teuzi zinakuja. Nape yupo njiani kukamilisha genge la kukimbia na mabox ya kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Makamba na Ummy washamaliza kutumikia vifungo vyao, sasa hivi wapo vizuri na mama. Rais Samia kaonesha leo ni mtu wa visasi sana, ukionesha kitabia cha kumchallenge tu unafinywa fastaaa.

Naona safari ya Tanga ilikuwa maalum kwaajili ya kutoa msamaha🌚.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

Sasa tunasubiri msamaha wa Nape ukamilike. Kashasugua kisogo vya kutosha, akirudi ni kukaa mguu pande asubiri kukimbia mabox kama alivyotuambia kura haina maana bali yule anayekimbia na mabox😂😂.

Lissu na CHADEMA mko macho? Vijana mnasemaje, au uchawa unatosha?

Mambo yanazidi kuchangamka majimboni.
 
For Rich and For Poor - Ongeza Vibwanga hawata achana nzuri zaidi "aliachana na familia yake akaungana na familia ya mumewe - kwao hatakiwi"
b23f6eea888ab784020890c9cef7b353.jpg
 
Mara mtu wa Visasi, halafu anasamehe.
Lugha hii itanishinda sasa
 
Upuuzi majina yale yale miaka nenda rudi kana kwamba hakuna vijana wengine kwenye nchi hii kutumikia hizo nafasi.
 
Kwa moto wa Lissu haya mapicha picha ya akina Nape na January nilijua tu yataisha na kutudishwa kundini
 
Wakuu,

Makamba na Ummy washamaliza kutumikia vifungo vyao, sasa hivi wapo vizuri na mama. Rais Samia kaonesha leo ni mtu wa visasi sana, ukionesha kitabia cha kumchallenge tu unafinywa fastaaa.

Naona safari ya Tanga ilikuwa maalum kwaajili ya kutoa msamaha🌚.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

Sasa tunasubiri msamaha wa Nape ukamilike. Kashasugua kisogo vya kutosha, akirudi ni kukaa mguu pande asubiri kukimbia mabox kama alivyotuambia kura haina maana bali yule anayekimbia na mabox😂😂.

Lissu na CHADEMA mko macho? Vijana mnasemaje, au uchawa unatosha?

Mambo yanazidi kuchangamka majimboni.
KWA MATAKATAKA HAYA TUSAHAU NCHI KUENDELEA
 
Wakuu,

Makamba na Ummy washamaliza kutumikia vifungo vyao, sasa hivi wapo vizuri na mama. Rais Samia kaonesha leo ni mtu wa visasi sana, ukionesha kitabia cha kumchallenge tu unafinywa fastaaa.

Naona safari ya Tanga ilikuwa maalum kwaajili ya kutoa msamaha🌚.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

Sasa tunasubiri msamaha wa Nape ukamilike. Kashasugua kisogo vya kutosha, akirudi ni kukaa mguu pande asubiri kukimbia mabox kama alivyotuambia kura haina maana bali yule anayekimbia na mabox😂😂.

Lissu na CHADEMA mko macho? Vijana mnasemaje, au uchawa unatosha?

Mambo yanazidi kuchangamka majimboni.
Duh 🙄!
Hii mambo haipendezi kabisa inabidi watu waanze kumuogopa Mungu !
 
Wakuu,

Makamba na Ummy washamaliza kutumikia vifungo vyao, sasa hivi wapo vizuri na mama. Rais Samia kaonesha leo ni mtu wa visasi sana, ukionesha kitabia cha kumchallenge tu unafinywa fastaaa.

Naona safari ya Tanga ilikuwa maalum kwaajili ya kutoa msamaha🌚.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

Sasa tunasubiri msamaha wa Nape ukamilike. Kashasugua kisogo vya kutosha, akirudi ni kukaa mguu pande asubiri kukimbia mabox kama alivyotuambia kura haina maana bali yule anayekimbia na mabox😂😂.

Lissu na CHADEMA mko macho? Vijana mnasemaje, au uchawa unatosha?

Mambo yanazidi kuchangamka majimboni.
Uongozi wa Nchi sio mambo ya familia Hadi useme sijuo visasi and such nonsense blaa blaa.
 
Back
Top Bottom